Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,988
- 22,379
Habari wadau,
Kama ijulikanavyo, Zanzibar waislam ni 99% ya watu wote. Ni nchi yenye idadi ya watu inayokaribia 2M kwa sasa. Kikawaida kwa waislam, wao huwa ni waislam kabla ya mengine yote yaani kama ni utaifa basi wao ni waislam kabla kuwa Wazanzibari, kama ni mambo ya mipira , basi wao ni waislam kabla ya U-Yanga wao au U-Simba wao, kama ni uchama basi wao ni waislam kabla ya U-CCM wao au U-ACT wao.
Swali langu ni je, suala la Masheikh wa Uamsho linaweza likawa ni turufu kubwa ya uchaguzi huu kwa upande wa Zanzibar?
Nimesikia kwamba kuna mpango wa Mahakama kuwarudisha Zanzibar masheikh waje waendelee na kesi yao kule Zanzibar, uamuzi huu unawezekana ukawa umeshajihishwa na muelekeo wa hali ya siasa ulivyo kwa sasa visiwani humo?
Sisi wengine si wajuvi wa haya mambo. Wataalam hebu tusaidieni.
Nguruvi3
dos.2020
Kichuguu
Mmawia
Jumbe Brown
Zitto
Gavana
Sky Eclat
Mshana Jr
Magonjwa Mtambuka
Ado Shaibu
CUF Habari
Kikwajuni One
zanzibakwetu
Zanzibar-ASP
zanzibar huru
Erythrocyte
Kama ijulikanavyo, Zanzibar waislam ni 99% ya watu wote. Ni nchi yenye idadi ya watu inayokaribia 2M kwa sasa. Kikawaida kwa waislam, wao huwa ni waislam kabla ya mengine yote yaani kama ni utaifa basi wao ni waislam kabla kuwa Wazanzibari, kama ni mambo ya mipira , basi wao ni waislam kabla ya U-Yanga wao au U-Simba wao, kama ni uchama basi wao ni waislam kabla ya U-CCM wao au U-ACT wao.
Swali langu ni je, suala la Masheikh wa Uamsho linaweza likawa ni turufu kubwa ya uchaguzi huu kwa upande wa Zanzibar?
Nimesikia kwamba kuna mpango wa Mahakama kuwarudisha Zanzibar masheikh waje waendelee na kesi yao kule Zanzibar, uamuzi huu unawezekana ukawa umeshajihishwa na muelekeo wa hali ya siasa ulivyo kwa sasa visiwani humo?
Sisi wengine si wajuvi wa haya mambo. Wataalam hebu tusaidieni.
Nguruvi3
dos.2020
Kichuguu
Mmawia
Jumbe Brown
Zitto
Gavana
Sky Eclat
Mshana Jr
Magonjwa Mtambuka
Ado Shaibu
CUF Habari
Kikwajuni One
zanzibakwetu
Zanzibar-ASP
zanzibar huru
Erythrocyte