Wadau, leo Mzee Warioba, amekabidhi Katiba Mpya ambayo itapelekwa kwenye Bunge la Katiba kabla ya kupigwa kwa kura ya Maoni; kuikubali au kuikataa Katiba Mpya.
Naleta swali ili tupige kura ya maoni hum JF; Je, Tuingie kwenye Uchaguzi Mkuu 2015 bila Katiba Mpya?
Naleta swali ili tupige kura ya maoni hum JF; Je, Tuingie kwenye Uchaguzi Mkuu 2015 bila Katiba Mpya?