Steve Dii
JF-Expert Member
- Jun 25, 2007
- 6,402
- 1,254
Mitanzania bwana, je kama Shimbo anamaanisha hata JK akishindwa akubali matokeo? Hapo itakuwa sawa? Au bado mtabwatuka?
Naona nawe bado unawabwatukia tu bure Watanzania!! Hata kama ni Prof. Lipumba au Dkt. Slaa anashinda; kama ushindi huo si wa halali Watanzania wanahaki ya kupinga matokeo. Niambie kwanini hii 'mitanzania' iyakubali tu matokeo kwa vile tu yametangazwa hali vielelezo vya kuchakachuliwa vikiwepo??!
Plus... yeye kama Mnadhimu, na kwa kuzingatia profession yake; haihitaji kipaji cha sayansi za anga kujua kuwa kutoa tamko kama hilo katika kipindi hiki cha uchaguzi is simply unprofessional!!