Asha Abdala
JF-Expert Member
- Mar 21, 2007
- 1,131
- 43
MABADILIKO YA KWELI! UHURU WA KWELI!
KONGAMANO! KONGAMANO! KONGAMANO!
Katika kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani,Wanawake wa CHADEMA wameandaa Kongamano Kubwa la kihistoria na la aina yake.
Wapi?: Ukumbi wa Urafiki Ubungo-Nyuma ya Maghorofa ya Urafiki
Lini? Jumamosi, 08 Machi 2008, saa 2:30 mpaka saa 8:30 mchana
Kunani? Kongamano la Wanawake-kujadili mustakabali wa wanawake
Tanzania
Mgeni nani? Mhe Freeman Mbowe-Mwenyekiti CHADEMA Taifa
Mada? Kutakuwa na mada nne siku hiyo, 1.Uwajibishwaji wa
watuhumiwa wa ufisadi,2.Uchambuzi wa Baraza Jipya la
Mawaziri, 3.Hali ya Wanawake Tanzania na 4.Haki na Wajibu
wa Wanawake katika Maendeleo
Watoa Mada ? Wanasiasa na Wanaharakati Wanawake ndani na nje ya CHADEMA
Kwa maelezo zaidi piga simu au tuma ujumbe kwenda 0713 760534 au 0754 598422 au 0756 007671
Wanawake! Chimbuko la Maendeleo!
KONGAMANO! KONGAMANO! KONGAMANO!
Katika kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani,Wanawake wa CHADEMA wameandaa Kongamano Kubwa la kihistoria na la aina yake.
Wapi?: Ukumbi wa Urafiki Ubungo-Nyuma ya Maghorofa ya Urafiki
Lini? Jumamosi, 08 Machi 2008, saa 2:30 mpaka saa 8:30 mchana
Kunani? Kongamano la Wanawake-kujadili mustakabali wa wanawake
Tanzania
Mgeni nani? Mhe Freeman Mbowe-Mwenyekiti CHADEMA Taifa
Mada? Kutakuwa na mada nne siku hiyo, 1.Uwajibishwaji wa
watuhumiwa wa ufisadi,2.Uchambuzi wa Baraza Jipya la
Mawaziri, 3.Hali ya Wanawake Tanzania na 4.Haki na Wajibu
wa Wanawake katika Maendeleo
Watoa Mada ? Wanasiasa na Wanaharakati Wanawake ndani na nje ya CHADEMA
Kwa maelezo zaidi piga simu au tuma ujumbe kwenda 0713 760534 au 0754 598422 au 0756 007671
Wanawake! Chimbuko la Maendeleo!