cheetah255
JF-Expert Member
- Oct 19, 2017
- 1,373
- 2,385
Mkuu unamjua mwakinyo au ndio mara ya kwanza kumuona?.Kabutuliwa kama mtoto mdogo, wamemchukua mnywa mbege ili aende kumtengenezea rekodi yule mpinzani wake..
Mpinzani wake mwenyewe kapigana mapambano ma3 tu..
Sent using Jamii Forums mobile app