Kuelekea msimu mpya Ulaya tupeane tetesi za usajili hapa

Blues pia wanataka kumsaini mshambuliaji wa Barcelona Philippe Coutinho, 26, ikiwa rufaa waliowasilisha kwa shirikisho la FIFA dhidi kupinga marufuku ya usajili wa wachezaji itapita msimu huu. (Cadena Ser via Daily Mail)

Atletico Madrid watafanya mkutano na mshambuliaji wa ufaransa Antoine Griezmann wiki hii, huku klabu hiyo ikiwa na wasi wasi kwamba mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28tayari amekubali kujiunga na Barcelona. (Cadena Ser - in Spanish)

Tottenham wanakamilisha mkataba wa thamani ya £25m kwa ajili ya mchezaji wa safu ya nyuma- kushoto wa timu ya England ya Fulham Ryan Sessegnon mwenye umri wa miaka. (Mail)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom