NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,286
- 24,002
Yanga zote mbovu.Chagua wewe unataka ufungwe na Yanga ipi?
Yanga ya gsm Shaban Juma,Mayele na Yanick Bangala ilicheza na Zanaco ikapigwa mbili.
Yanga ya Dr.Msola Yacouba,Kibwana Shomari na Mauya ilicheza na Rivers ikapigwa mbili nje ndani.