Kuelekea mpambano wa Watani wa Jadi, Simba atafungwa Goli 3-0

Yanga zote mbovu.
Yanga ya gsm Shaban Juma,Mayele na Yanick Bangala ilicheza na Zanaco ikapigwa mbili.
Yanga ya Dr.Msola Yacouba,Kibwana Shomari na Mauya ilicheza na Rivers ikapigwa mbili nje ndani.
Ni simba gani ilifungwa na Tp mazembe?
 
Ni simba gani ilifungwa na Tp mazembe?
Mazembe sio Yanga.
Mazembe kwa ukubwa wake alikua na haki ya kuifunga Simba hata goli tano.ni haki yake Mazembe kuifunga Simba kwasababu sifa na ubora wa Mazembe upo juu zaidi ya Simba.

Lakini sifa na ubora wa Rivers ni wa chini sana kiasi kwenye CAF ranking River ni ya nne kutoka chini.mmefungwaje na wale madogo nyinyi?
 
Mazembe sio Yanga.
Mazembe kwa ukubwa wake alikua na haki ya kuifunga Simba hata goli tano.ni haki yake Mazembe kuifunga Simba kwasababu sifa na ubora wa Mazembe upo juu zaidi ya Simba.

Lakini sifa na ubora wa Rivers ni wa chini sana kiasi kwenye CAF ranking River ni ya nne kutoka chini.mmefungwaje na wale madogo nyinyi?
Hahaha nipe rekodi za matokeo ya simba na Yanga kwa misimu 3 nyuma mfululizo kwenye ligi kuu Tanzania bara
 
Mazembe sio Yanga.
Mazembe kwa ukubwa wake alikua na haki ya kuifunga Simba hata goli tano.ni haki yake Mazembe kuifunga Simba kwasababu sifa na ubora wa Mazembe upo juu zaidi ya Simba.

Lakini sifa na ubora wa Rivers ni wa chini sana kiasi kwenye CAF ranking River ni ya nne kutoka chini.mmefungwaje na wale madogo nyinyi?
Kwahiyo Simba ikifungwa na Yanga utatoa mlinganisho upi baina ya Simba na Yanga?
 
Ungeleta hoja ni kwanini una mtazamo huo. Au mzungu pori atakuwa ndiye striker?
Au unapiga ramli. Unabahatisha bahatisha ili baadae ikiwa hvyo urudi hapa ukijiona konki kuwa ulitabiri.


Sasa fanya hvi odd ya utopolo kushinda ni zaidi ya 3.
Weka yanga win & 3+ ukiweka milioni utapata si chini ya mil 5 faida.
View attachment 1949461


Ungeleta hoja ni kwanini una mtazamo huo. Au mzungu pori atakuwa ndiye striker?
Au unapiga ramli. Unabahatisha bahatisha ili baadae ikiwa hvyo urudi hapa ukijiona konki kuwa ulitabiri.


Sasa fanya hvi odd ya utopolo kushinda ni zaidi ya 3.
Weka yanga win & 3+ ukiweka milioni utapata si chini ya mil 5 faida.
hajismanara-20210923-0001.jpeg
Akili za Manara hizo!
 
Upo sahihi mkuu /simba msisahau kuja na paka walao
Ndugu yangu wa JF

Usipoteze muda na nguvu zako kunibishia au kunitukana au kunikashifu bure kwani habari hii ni ya ndani sana, ya uhakika, ya siri na imetoka kwenye vyanzo vya uhakika

Ieleweke kuwa hapa hakuna uchawi wala ulozi ila sayansi ndiyo inafanya kazi kikamilifu

Kama una tatizo la Pressure tafadhali usiende Uwanjani kabisa siku hiyo ili kuepusha maafa

Poleni sana ndugu zetu wa Msimbazi na kamwe msijaribu kupuuza andiko hili bali mjiandae kisaikolojia

Ni vema pia mkaweka kumbukumbu ya andiko hili kwa faida ya rejea yenu baada ya Jumamosi ya Septemba 25

Niwatakie mchana mwema

Aksanteni
 
Mechi ya mwisho Simba na Yanga inajulikana nini Yanga kilimpata kombe likiwa uwanjani.
Hatuzungumzii ushindi wa CHOPRICHOPRI, tunazungumzia ushindi wa wanaume wametimia uwanjani na sio ule wa kuwapunguza idadi wapinzani uwanjani ndo mnashinda
 
Hatuzungumzii ushindi wa CHOPRICHOPRI, tunazungumzia ushindi wa wanaume wametimia uwanjani na sio ule wa kuwapunguza idadi wapinzani uwanjani ndo mnashinda
Kilichofanya mpungue ni ushamba wa mchezaji wenu kucheza kung-fu uwanjani.kilasiku mnaambiwa sajili wachezaji sio wakulima.
 
Kama kocha wa Simba atapanga yale ma-double striker yake yasiyokuwa na tija na kuwaweka bench Banda na Sako, siioni Simba kutoboa. Huko kutakuwa ni kuuwa vipaji vyao kama alivyofanya kwa Chikwende ambaye naamini ni mchezaji mzuri tu.
Yanga wana fungika kiurahisi sana na wachezaji wanyumbulifu na kina Mugalu and the like.
Na ninaamini hakuna striker yoyote yule wa Simba atakayefikisha magoli kumi msimu huu kwani mpishi wao CCC hayupo tena.
 
Back
Top Bottom