Kuelekea mpambano wa watani wa Jadi, ni mtihani mzito kwa wapenzi na mashabiki wa Yanga ambao Ni wakamaria.

Mc PIPI

JF-Expert Member
Feb 25, 2020
319
428
Roho ya wapenzi na mashabiki wa Yanga inakubali kuidhamini Simba kwenye mikeka yao japo hata double chance Kama si direct win kwa Simba maana wanajua kitwakwimu na tatumini ya Sasa Yanga yao Ni Underdog kwa Simba.Wakati akili na moyo ukifanya hivyo ili mkamaria wa Yanga apige mihela,mwili wake Sasa unampinga kabisa kwani lazima atakuwa jukwani na jezi yake kuonesha analipenda chama lake ingawa kiuhalisia endapo Yanga akishinda na mkeka wake ukachanika hataumia sana maana ushindi wa chama lake utampa raha sana and its vise versa is true.

Pamoja na kwamba pambano la watani wa Hadi halinaga mwenyewe lakini kwa wakamaria watatumia takwimu na mwenendo wa timu zote mbili kwa Sasa ambapo kiuhalisia takwimu nyingi zinampendelea Simba na watu hawabeti kwa mahaba.

USHAURI WANGU: Katika mechi hii afadhali ubeti kinyume na mahaba yako ili ufurahie upande mmoja baada ya mechi,nikimaanisha ikiwa wewe Ni shabiki wa Yanga Basi ipe Simba ili Kama Yanga akifungwa Basi utafutwa machozi na mkeka wako na ikitokea Yanga imeshinda Basi ushindi huo utakufuta machozi ya mkeka uliochanika.

Huu Ni mtazamo wangu tu wala maneno si sheria.Bet kistaarabu and bet what you can afford to loose.

Tukutane tr.08
 
Roho ya wapenzi na mashabiki wa Yanga inakubali kuidhamini Simba kwenye mikeka yao japo hata double chance Kama si direct win kwa Simba maana wanajua kitwakwimu na tatumini ya Sasa Yanga yao Ni Underdog kwa Simba.Wakati akili na moyo ukifanya hivyo ili mkamaria wa Yanga apige mihela,mwili wake Sasa unampinga kabisa kwani lazima atakuwa jukwani na jezi yake kuonesha analipenda chama lake ingawa kiuhalisia endapo Yanga akishinda na mkeka wake ukachanika hataumia sana maana ushindi wa chama lake utampa raha sana and its vise versa is true.

Pamoja na kwamba pambano la watani wa Hadi halinaga mwenyewe lakini kwa wakamaria watatumia takwimu na mwenendo wa timu zote mbili kwa Sasa ambapo kiuhalisia takwimu nyingi zinampendelea Simba na watu hawabeti kwa mahaba.

USHAURI WANGU: Katika mechi hii afadhali ubeti kinyume na mahaba yako ili ufurahie upande mmoja baada ya mechi,nikimaanisha ikiwa wewe Ni shabiki wa Yanga Basi ipe Simba ili Kama Yanga akifungwa Basi utafutwa machozi na mkeka wako na ikitokea Yanga imeshinda Basi ushindi huo utakufuta machozi ya mkeka uliochanika.

Huu Ni mtazamo wangu tu wala maneno si sheria.Bet kistaarabu and bet what you can afford to loose.

Tukutane tr.08
Kwenye hii gemu ya jumapili Yanga lazima wakae! Simba tumeapa kutorudia makosa tena ! Tulitoka nao sare ya 2 - 2, mzunguko uliopita, Hapa hakukuwa na mshindi bali tuligawana goli na point, cha ajabu wakachonga vibaya mno ni kama vile walishinda 2 - 0 ! Sasa kwavile ustaarabu hawaupendi , hebu acha tuuweke kando! Sasa tutatembeza kipigo tuu!
 
Kwenye hii gemu ya jumapili Yanga lazima wakae! Simba tumeapa kutorudia makosa tena ! Tulitoka nao sare ya 2 - 2, mzunguko uliopita, Hapa hakukuwa na mshindi bali tuligawana goli na point, cha ajabu wakachonga vibaya mno ni kama vile walishinda 2 - 0 ! Sasa kwavile ustaarabu hawaupendi , hebu acha tuuweke kando! Sasa tutatembeza kipigo tuu!
Hahahaaaaaaaa! Naona umeanza kuwapiga mkwara.
 
Yani hata mashabiki wa yanga huku mtaani hawana morali saana kama wa simba,hata mkianza kuzungumzia mechi ya tarehe 8 wanachangia kwa kuogopa yana ahawajiachii kama wa simba,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeandika wosia lakini?
Kwenye hii gemu ya jumapili Yanga lazima wakae! Simba tumeapa kutorudia makosa tena ! Tulitoka nao sare ya 2 - 2, mzunguko uliopita, Hapa hakukuwa na mshindi bali tuligawana goli na point, cha ajabu wakachonga vibaya mno ni kama vile walishinda 2 - 0 ! Sasa kwavile ustaarabu hawaupendi , hebu acha tuuweke kando! Sasa tutatembeza kipigo tuu!
[/QUOT
 
Kwenye hii gemu ya jumapili Yanga lazima wakae! Simba tumeapa kutorudia makosa tena ! Tulitoka nao sare ya 2 - 2, mzunguko uliopita, Hapa hakukuwa na mshindi bali tuligawana goli na point, cha ajabu wakachonga vibaya mno ni kama vile walishinda 2 - 0 ! Sasa kwavile ustaarabu hawaupendi , hebu acha tuuweke kando! Sasa tutatembeza kipigo tuu!
Itabidi ulinzi uimarishwe pia maana Kuna Kila dalili ya watu kuvunja viti uwanjani...hi ni kwa sababu baadhi wa upande Fulani tayari wana matokeo mfukoni...upo mwaka mikia walikwenda Brazili wakaja na kitu kinaitwa diagonal samba ...kwenye ligi Kila timu ikawa inaambulia kipigo Cha kuanzia goli tatu na kuendelea ...Simba ilikuwa na mawinga hatari Ibrahim malekano na sospeter mwaluko...siku ya yanga na mikia ikafika watu wakaenda uwanjani na matokeo mfukoni...dakika tisini zikaisha ...mikia 0 wanajangwani 3...na ukawa ndio mwisho wa majivuno ya diagonal samba...nakumbuka pia mwanzoni mwa miama ya tisini..
Mikia walifika fainali ya kombe la caf....game ya Kwanza ikapigwa Abidjan na stela ...matokeo ...0-0...game ya pili ikawa dar es salaam ....watu wakaenda na matokeo mfukoni...uwanja wa taifa uligeuka kuwa mwekundu kwa rangi nyekundu...Kila anayeingia uwanjani na tiketi alipewa kanga nyekundu...Mimi pia nilikuwa na hiyo kanga nyekundu....dakika tisini zikamalizika.,..matokeo yakawa stela 2 na mikia 0....magoli ya stela yalifungwa na dogo anaitwa Boli zozo...goli la pili akifunga kwa kukimbia na mpira kutoka katikati ya uwanja...ikawa ni kilio kikubwa katika jiji la dar...pale uwanjani warembo wa Simba wakawa wanagalagala uwanjani baada ya game...wengine wakawa wamezimia....nakumbuka baada ya game nilimbembeleza mrembo mmoja wa Simba pale uwanjani...nilimkumbatia na kumluwaza kwa dhati alikuwa analia mno.,kanga nyekundu zikazagaa karibu Kila nahali mitaani dar zikiwa zimetupwa na mashabiki wa Simba...Mimi na rafiki yangu mtangazaji mmoja maarufu wa tbc wakati huo tukawa na kanga hizo vichwani mwetu..tukaenda kwake mabibo na baadaye kwangu Sinza ...tukaingia kwenye bar na kuagiza bia za Stella Artois zilikuwa za kopo..tukanywa Tani yet.u ..mabaa yalikuwa na mashabiki wa jangwani tu wakibugia Stella Artois.,rafiki yangu mmoja niliyemkuta pale bar akaniagizia cartoon nne za Stella Artois.,bia zilikuwa rahisi mno wakati huo...siku ile ni miongoni mwa siku ambazo sitasahau kamwe kisoka pamoja na game ile ya nyamagana mwaka 1974...
 
Mi naenda zangu kununua jezi ya Yanga naivaa kwanzia Mliman city siivui hadi kesho Tushinde tusishinde lazima nilienzi Chama langu
 
Back
Top Bottom