Usikariri
Katiba mpya sio muarobaini wa hayo unayoeleza.
Mtawala au Raia asieheshimu Katiba ya sasa hawezi kuheshimu katiba mpya kwa kuwa hakuna mechanism ya automatic ya kufanya aitekeleze.
Rejea nchi zenye katiba mpya jee Rushwa imeisha, mf Kenya?
Katiba mpya sio muarobaini wa hayo unayoeleza.
Mtawala au Raia asieheshimu Katiba ya sasa hawezi kuheshimu katiba mpya kwa kuwa hakuna mechanism ya automatic ya kufanya aitekeleze.
Rejea nchi zenye katiba mpya jee Rushwa imeisha, mf Kenya?
Mimi pia mwana CCM ila nataka katiba ile ya Warioba iwe instituted...Tuacheni usanii nchi hii kuna mambo hayafurahishi hasa ya waliopewa dhamana kutanguliza maslahi yao mbele na wapendwa wao huku waliowengi wakibakia kama watazamaji wa mpira uwanjani. Kuna watu wamejipa uhalali wakuwa raia zaidi ya wengine na maamuzi yao ndiyo mwisho, hawataki kuulizwa wala hawataki kuwajibishwa wanapokengeuka.