Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,617
Wapuuzi nyie mnatumia mali za umma kwa manufaa yenu binafsi
Tuwakumbushe pia kuwa tarehe 01/04 ni siku ya wajinga dunianiWapuuzi nyie mnatumia mali za umma kwa manufaa yenu binafsi
NakaziaTuwakumbushe pia kuwa tarehe 01/04 ni siku ya wajinga duniani
Kuna nini cha AJABU Zaidi ya KUOGOPA KATIBA MPYA?SASA KUMEKUCHA DODOMA, NI APRILI 01, TANZANIA ITARINDIMA NA MKUTANO MKUU MAALUM WA CCM.
...
Unakula utu? Kwanini uwe na hofu kama wewe si mhalifu? Mhuni?Tanzania tumebahatika sana mama Samia ni Rais. Jest imegin bwana yule angeendelea kuwa Rais hadi leo. Licha ya hali ya uchumi kuwa mbaya na mfumuko wa bei duniani kote kuwa juu ila nchini kuna utu hofu imetoweka.
Tarehe mosi April ni siku ya Wajinga Duniani. Jee wanafanya mkutano mkuu maalumu Dodoma?Utasubiri Sana mdau
Kwahakika umenena kweli yote, CCM juu!Tunapoelekea karne toka nchi imepata Uhuru na nusu karne toka CCM imezaliwa bado Taifa lina kumbukumbu isiyofutika ya uzuri wa CCM.
CCM kikiwa ndicho chama pekee chenye itikadi isiyokufa ya Uafrika na Utanzania nayo ni Ujamaa kimefanikiwa kutuvusha kwenye nyakati za raha na tabu.
Two boy's men choice ?! Au ??Kuna mtu anaenda kukabidhiwa kadi yake inayokisiwa aliny'ang'anywa japo bado manayo ila kupitia mkutano huo ni kum_boost awe na nguvu mpya.
Tunza hii reply.
Wajinga 2000 wanaenda kubadili katiba yao ila ya wananchi tusubiri after 2025!Wanaogopa kivuli chao wenyewe.Kuna nini cha AJABU Zaidi ya KUOGOPA KATIBA MPYA?
CCM ni zao la ujinga wa watanzania. By any standards CCM ilipaswa iwe chama kilichosahaulika.
Wajinga 2000 wanaenda kubadili katiba yao ila ya wananchi tusubiri after 2025!Wanaogopa kivuli chao wenyewe.
Sisi wananchi Wa Tanzania tunataka kuandika Katiba mpya ya JMT.Hayo ya mkutano Wa Siku rasmi ya wajinga tuwaachie wenyewe.
Mimi pia mwana CCM ila nataka katiba ile ya Warioba iwe instituted...Tuacheni usanii nchi hii kuna mambo hayafurahishi hasa ya waliopewa dhamana kutanguliza maslahi yao mbele na wapendwa wao huku waliowengi wakibakia kama watazamaji wa mpira uwanjani. Kuna watu wamejipa uhalali wakuwa raia zaidi ya wengine na maamuzi yao ndiyo mwisho, hawataki kuulizwa wala hawataki kuwajibishwa wanapokengeuka.Hawaendi kubadili Katiba ya Chama ya 1977 wanaenda kuiboresha tu
Pengine unadai Katiba mpya kwa kuwa hujui ya sasa pia inaweza kuboreshwa ku accomodate hivyo vipengele mtakavyo