Jakubumba
JF-Expert Member
- Mar 5, 2011
- 1,624
- 500
Ni ukweli usiopingika kwamba wanaume sio waaminifu ktk mapenzi ukilinganisha na wanawake! Ktk utafiti niliofanya nimegundua kuwa asilimia 80 ya wanaume sio waaminifu ukilinganisha na asilimia 20 ya wanawake. Ktk mkesha wa x-mas wanaume hujifanya wanaenda kanisani kumbe wana mambo yao mengine. Haiingii akilini mwaka mzima unamuona mkeo au mpenzi wako anaenda kanisani wewe umelala then unakuja kukurupuka siku moja tu kwa mwaka. Hivo basi ni jukumu la wanawake kufuatilia mienendo yetu ktk sikukuu hizi maana inaaminika ndoa nyingi hukumbwa na dhuruba wakati huu. Tumsifu yesu kristu!