Kuelekea Mfumo wa Utangazaji wa Digital: Maswali na Majibu Muhimu

ukiwa unatumia Startimes ni lazima signal zikate pale tu bili yako ya mwezi itakapoisha.kwanini? Tanzania ndo kwanza tunaingia kwenye huu mfumo( katika part ya terrestrial) hakuna station yeyote Tanzania inayo tangaza terrestrially digital signals, channel 10, mlimani tv wote bado wanatangaza kwa analogy.
kinachofamika ni kwamba local Tv zote unazoziona startimes zina mkataba nao, channel 10 wanatangaza kwa analogy, startimes wanazipokea na kuzikonvet kwenda kwenye digital au wanaweza pokea directly from satellite na wanazichanganya na signals from other station baada ya kuscramble then wanatuma terrestrially.
huwezi kupata hizi free channels kwa kupitia startimes decoder kwa kuwa decoder yao ni for terrestrial signals na kwa kuwa hakuna any TV inayotoa digital signals Terrestrially huta kaa ukamate signals hata ufanyaje..
ving'amuzi vya kichina vinaweza kwa kuwa kwanza kabisa unapokea signal directly form satellite lakini kwa case ya Startimes signals zipo katika UHF band ndo maana unapokea kwa kutumia Yagi YUDa antenna.
bili yako ya mwezi ikiisha utaendele kupata TBC kwa kuwa leseni waliyo nayo startimes kutoka TCRA inawalazImisha kuibakiza TBC hata kama hujalipi chochote.

CHANGAMOTO:
kutoka kwa TCRA nchi yetu itakuwa fully digital 2013 june, lakni binafsi sioni kama kunajitihada za kutosha kufanikisha hili. elimu zaidi inatakiwa hasa kwa watu waliopo vijijini wapate kuelewa.badala ya TBC (television ya taifa ) kuonyesha vipindi kama chereko nadhani ni muda sasa kuandaa vipindi maalumu kwa ajili ya kuhimiza na kuelimisha umma juu ya hili kinyume na hapo tutaleta mgongano wa kimawazo ifikapo 2013.

wenu katika ujenzi wa Tanzainia tuitakayo
Eng Mbako
 
Eng Mbako mimi nina swali,
Hivi hizi station zingine zikiamua kutojiunga na star times itabidi tununue ving'amuzi vingine tena au inawezekana kurusha matangazo moja kwa moja kwenye tv (digitaly) bila ya kutumia ving'amuzi?
 
Eng Mbako mimi nina swali,
Hivi hizi station zingine zikiamua kutojiunga na star times itabidi tununue ving'amuzi vingine tena au inawezekana kurusha matangazo moja kwa moja kwenye tv (digitaly) bila ya kutumia ving'amuzi?

kaka ni hivi,TCRA wametoa lesen kwa makampun matatu ting(agape),startimes,na wazee wa itv.startimes ni public use n the rest ni commercial. Local channels znaweza kurusha kwa digital terrestrially but ts too costier kwao 4 time being thats y wameopt kujiunga na startimes na agape kuwawezesha kufikia lengo la kuzima analog broadcasting zote by 2013........
Na kwa kusema hvyo Kama utahtaj kupata itv utahtajika kupata king'amuz chao au utumie dish...
Hli jambo linafanyka kishagabaghara thats y kuna makampun matatu but binafsi ningetarajia kampun moja ilopewa uwezo kufanya kaz hii ili kumwepushia mzgo na kumchafulia sebule end user...
 
na kuhusu suala la kutotumia kingamuzi,inawezekana ukiwa una iDTV,ambayo ina builtin decoder lakin kwa haya matube yetu lazma uwe na decoder kukuwezesha wewe kuaccess signalz
 
1. Mkuu DVB-T ni Cheap as Compared to DVB-S lajini vile vile I concur with kwamba We should encourage watu kuwa ni Ving'amuzi ambayo ni DVB-T, DVB-S and DVB-C )for cable) mkuu hivi vipo but they are bit expensive.

2. C-Band sasa hivi inasumbua sana sijui hata ni kwa nini

Ila Naona kama TCRA imelala vile maana kama sikosei mwisho wa Kurusha Matangazo ya Analojia ni 2012 na sioni kama sehemu nyingi za Nchi ni Teknolojia imefika. Natumai wahusika wataona mawazo yetu na kuyafanyia kazi

Ukisema expensive unamaana ni kama bilioni ngapi vile?
 
Tusipokuwa makini au kuwaelimisha hawa jamaa wa Tcra,tutajaza au kuchafua sebule zetu kwa ving'amuzi,
mimi pendekezo langu kwa Tcra ni kuwa watoe vibali kwa watu kuingiza ving'amuzi vingi ila kila king'amuzi kiwe na hizi local channel.ila wawaambie kuwa ushindani ni channel za nje.
Au nyie mnaonaje wakuu?.
 
Mimi swali langu ni jE hawa TCRA watawalazimisha haya makampuni ya ving'amuzi kuweka local channel zote kwa kila kampuni?
 
Mod unaonaje Ukaifanya Hii Thread kuwa Skicky? Kuna wadau wengi wangependa kuchangia na wengine kupata maoni na Elimu

Ombi Langu kwako Mod kama unaweza kuiweka Thread Hii ikanata itakuwa poa sana
 
Mimi ninatumia DVB-S nikiwa na dish la fut 6.Nimefunga KU-na C Band lakini sipati Aljazeera.nimejaribu kutafuta al;jazeera kwenye KU nimekosa nimeambulia kupata K24,Famliy TV na KBC1.naitafuta sana aljazeera nimefanyeje.niko tz

hivi ni kwa nini?

Mkuu inabidi ufunge Lnb nyingine ya C band single solution,pembeni ya hyo iliyopo. Ifunge kuipata Asiasat,hapo utapata Aljazeera English,NHK WORLD(JAPAN),ZNBC Tv1,2...na nyingine nyingi za Kihindi.
 
Nimetazama taarifa ya habari ya saa 2 usiku na kuwaona watu wa TCRA wakielezea kwa msisitizo kuhusu hii migration ya kutoka analog kwenda digital, kwamba Dec watazima.
Kinachonitatiza hivi ni kweli matatizo pekee yaliyopo ni tv za chogo vs tv flat tu, mbona tuna maswali mengi na hatupatiwi majibu?. Na hivi ni kweli hawa mabwana wakubwa hawaelewi kuwa si lazima tv flat iwe na uwezo wa kupokea matangazo ya digital au wameamua kuwalaghai wananchi?, maana wanasisitiza ni lazima watu wakanunue tv flat na kwamba tv za tumbo zitakuwa haziuzwi tena.
Swali ni kwa nini wakati kuna ving'amuzi?
 
Hao tcra wametokota wemetoa vibari toka mwaka juzi .na hayo makampuni yameshindwa kuzambaza hata nusu ya nchi hii je hiyo miezi iliyobaki wataweza kusambaza nchi nzima ? Huo ni uwongo wao wana ajenda ya kuhuza dekoda tu hawana lolote majua hao
 
Hao tcra wametokota wemetoa vibari toka mwaka juzi .na hayo makampuni yameshindwa kuzambaza hata nusu ya nchi hii je hiyo miezi iliyobaki wataweza kusambaza nchi nzima ? Huo ni uwongo wao wana ajenda ya kuhuza dekoda tu hawana lolote majua hao
 
Hao tcra wametokota wemetoa vibari toka mwaka juzi .na hayo makampuni yameshindwa kuzambaza hata nusu ya nchi hii je hiyo miezi iliyobaki wataweza kusambaza nchi nzima ? Huo ni uwongo wao wana ajenda ya kuhuza dekoda tu hawana lolote majua hao
 
Raha tele tutafika tu
tumetoka mbali
GRANFONE, PRAYER, KASETI, SINEMA, VIDEO TV, sasa DIGITAL
 
so Polo,nikinunua hicho king'amuzi kama cha kwako,it means nitatumia dish hilihili kubwa au kadogo kale kama ka dstv?na je kwa tulio na zile decorder/receiver za media com, gulf star..ina maana by huo mwezi wa 12 zitakua hazina dili tena hata kwa hiyo DVB-T?
 
Back
Top Bottom