GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,546
- 108,875
Habari zilizonifikia hivi punde tu zinasema kwamba ' Makomandoo ' wa Simba SC katika hali ya Kuonyesha kuwa hawana ' Utani ' kabisa hasa kuelekea Mechi yao ya Kesho dhidi ya Nkana Red Devils jioni ya leo wametembeza ' Kichapo ' kikali sana kwa Mashabiki wa Yanga ambao inasemekana walikuwa wanataka Kuingia Uwanjani ' Kuroga ' ili Simba SC ' ifungwe ' na Timu hiyo kutoka nchini Zambia.
Mtoa taarifa amesema kwamba ' Mzozo ' ulianza hasa pale ambapo katika hali isiyotarajiwa na ya ' Kipopoma / Kipumbavu ' kabisa Mashabiki hao wa Yanga SC walidai kuwa wanataka kuingia Uwanjani ( Kwa Mchina / Uwanja wa Taifa ) kufanya Mkutano Wao ndipo wakashtukiwa na ' Makomandoo ' wa Simba SC ambapo waliwafuata na kuwatembezea ' Kipigo ' cha Kikatili / Kishalubela ambacho kimewaacha wengine hadi sasa hivi ni kama vile ' Nusu Marehemu ' huku wengine wakiwa wamebahatika kupata ' Vilema ' vya Kujitakia ila wapo pia ambao leo walithibitisha kuwa Mbio za Masafa marefu au mafupi ' hakubarikiwa ' nazo tu Mwanariadha Bingwa wa dunia kwa sasa Usain Bolt na kwamba kumbe hata Wao wanaweza vile vile ila bado bahati haijawadondokea.
Napenda kuchukua nafasi hii Kuwashukuru mno na sana ' Makomandoo ' hao wa Simba SC kwa Kitendo hiki cha ' Kishujaa ' kabisa walichowafanyia ' Mashabiki ' wa Yanga SC na naamini wataenda ' Kusimulia ' huko waliko au Klabuni Kwao. Simba SC wakilitaka lao linakuwa na hakuna wa Kulizuia na ole Wao tena ' Wanafiki ' wengine Kesho tena wajifanye kuwasaidia Nkana Red Devils ili Simba SC ifungwe.
Nawasilisha.
Mtoa taarifa amesema kwamba ' Mzozo ' ulianza hasa pale ambapo katika hali isiyotarajiwa na ya ' Kipopoma / Kipumbavu ' kabisa Mashabiki hao wa Yanga SC walidai kuwa wanataka kuingia Uwanjani ( Kwa Mchina / Uwanja wa Taifa ) kufanya Mkutano Wao ndipo wakashtukiwa na ' Makomandoo ' wa Simba SC ambapo waliwafuata na kuwatembezea ' Kipigo ' cha Kikatili / Kishalubela ambacho kimewaacha wengine hadi sasa hivi ni kama vile ' Nusu Marehemu ' huku wengine wakiwa wamebahatika kupata ' Vilema ' vya Kujitakia ila wapo pia ambao leo walithibitisha kuwa Mbio za Masafa marefu au mafupi ' hakubarikiwa ' nazo tu Mwanariadha Bingwa wa dunia kwa sasa Usain Bolt na kwamba kumbe hata Wao wanaweza vile vile ila bado bahati haijawadondokea.
Napenda kuchukua nafasi hii Kuwashukuru mno na sana ' Makomandoo ' hao wa Simba SC kwa Kitendo hiki cha ' Kishujaa ' kabisa walichowafanyia ' Mashabiki ' wa Yanga SC na naamini wataenda ' Kusimulia ' huko waliko au Klabuni Kwao. Simba SC wakilitaka lao linakuwa na hakuna wa Kulizuia na ole Wao tena ' Wanafiki ' wengine Kesho tena wajifanye kuwasaidia Nkana Red Devils ili Simba SC ifungwe.
Nawasilisha.