GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,516
- 108,791
1. Tonombe Mukoko
2. Feisal Salum
3. Michael Sarpong
Kwa Mtu wa Mpira na aliyeifuatilia Yanga SC 95% ya Ushindi wake ( hasa katika Mechi zake ngumu na za Kimaamuzi ) ni kutoka kwa Wachezaji hawa Waandamizi niluowataja hapa Juu.
Kama 'Clip' ya Prisons FC niliyonayo ndivyo ambavyo watafanya Kesho wakicheza na Yanga SC, basi leo hii hii nawapongeza Prisons FC kwa Kutinga ASFC Semi Finals.
Kuna zoezi moja nimeliona leo na kama Mchezaji wa Yanga SC Tuisila Kisinda asipokuwa makini huenda Kesho akaishia tu ICU na akifanya mchezo hata Motuary kwa Rafu za 'Kigwaride' atakazopigwa na Wachezaji wa Yanga SC.
2. Feisal Salum
3. Michael Sarpong
Kwa Mtu wa Mpira na aliyeifuatilia Yanga SC 95% ya Ushindi wake ( hasa katika Mechi zake ngumu na za Kimaamuzi ) ni kutoka kwa Wachezaji hawa Waandamizi niluowataja hapa Juu.
Kama 'Clip' ya Prisons FC niliyonayo ndivyo ambavyo watafanya Kesho wakicheza na Yanga SC, basi leo hii hii nawapongeza Prisons FC kwa Kutinga ASFC Semi Finals.
Kuna zoezi moja nimeliona leo na kama Mchezaji wa Yanga SC Tuisila Kisinda asipokuwa makini huenda Kesho akaishia tu ICU na akifanya mchezo hata Motuary kwa Rafu za 'Kigwaride' atakazopigwa na Wachezaji wa Yanga SC.