kadagala1
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 5,941
- 6,213
Walikuja wenyeweNendeni mkabebe vizoga yenu. Imelala kwenye Korido
Walikuja wenyeweNendeni mkabebe vizoga yenu. Imelala kwenye Korido
Mikia FC.Kocha wa Vyura; mimi sipo Dar nipo naenda Bakongo...
Vilevile kumbuka na fahamu kwamba kwenye kundi D hakuna timu nyingine ambayo IMEKUNG'UTWA (5x2)+2.
Unajua Mbumbumbu FC mna shida kubwa sana ya ufahamu vichwani na ndio maana Manara anaweza kuwagonga FIX ameandika barua FIFA nanyi mkakubali. Wewe Ghazwat , kama kila timu imeshida nyumbani kwake, mbona kuna timu 2 zina points 7?
Mnajijaza mapovu kichwani baadae mnaanza kulia hovyo, au unafikiri Bana Congo nao ukiwaweka juani wanachemsha engine kama Waarabu?
Daaahh huu mkeka umechanika kidogo sana
mechi na soura mliandika heading shoo ya kibabe... ghafla mkaingia mitini.. na huu uzi msije ukimbia tu
Imani nyingine hizi ni kumjaribu Mungu na matumizi mabovu ya akili.
Kama Simba huwa haifungwi uwanja wa Taifa basi wangekuwa ndio mabingwa wa Sport pesa mwaka huu, msidhani Watanzania ni wajinga au wamesahau.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anaishia kusoma na kumute tuHuyo member kila nikimqoute arudi kwenye Uzi, harudi..Yaonyesha amezimia kuamka labda keshoHataki kuwasikia BanaKongo wa BanaSimba...!