mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,276
- 12,335
Habari za saizi,
Wanajukwaa naombeni mnijulishe mambo kadhaa juu ya @tanpoltz kwa kulinganisha na majeshi mengne ya Polisi huko katika dunia ya kwanza
Tuanze na mambo yafuatayo:
1. Nini maana ya jeshi la Polisi?
2. Yapi majukum ya Polisi?
3. Upi ni wajibu wa Polisi?
4. Mgawanyo wa majukumu au division za Polisi
5. Ukomo /limitations za Polisi kwa wananchi (miiko ya kazi)
NB: Hivi kuna tofauti ya askari Polisi na afisa wa Polisi?
Wanajukwaa naombeni mnijulishe mambo kadhaa juu ya @tanpoltz kwa kulinganisha na majeshi mengne ya Polisi huko katika dunia ya kwanza
Tuanze na mambo yafuatayo:
1. Nini maana ya jeshi la Polisi?
2. Yapi majukum ya Polisi?
3. Upi ni wajibu wa Polisi?
4. Mgawanyo wa majukumu au division za Polisi
5. Ukomo /limitations za Polisi kwa wananchi (miiko ya kazi)
NB: Hivi kuna tofauti ya askari Polisi na afisa wa Polisi?