Dusabimana
JF-Expert Member
- Oct 24, 2019
- 278
- 246
Siwamilele, Tatizo ni NIDA adhabu anapewa Mwananchi! Serikali inayo endesha mambo kwa kukurupuka utadhani Taifa hili ni changa limeanzishwa miaka ya hivi karibuni!
Amini mkuu wapo seriousMikwara tu hiyo tar 20/01/2020. tunaendelea na mawasiliano bila namba za Nida wala kitambulisho. Binafsi nitaenda NIDA watakavyorekebisha usumbufu wao.
Wanakubari mi binafsi nmemsajilia wife. Ila ukimsajilia mtu taarifa zake za usajili wa mwanzo zinafutika unasomeka usajili mpyaSasa mkuu niulize wewe hauna kitambulisho jina lako ni Vic Man na ndugu yako kitambulisho anacho anaitwa Van Vic watakubali sasa kusajiri line hio kwa jina la Van Vic?
Wanakubari mi binafsi nmemsajilia wife. Ila ukimsajilia mtu taarifa zake za usajili wa mwanzo zinafutika unasomeka usajili mpya
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuko wengi kumbe wa aina hiyo,Mimi ntakwenda tarehe 20 jioni kuangalia kama wameondoa usumbufu.Mikwara tu hiyo tar 20/01/2020. tunaendelea na mawasiliano bila namba za Nida wala kitambulisho. Binafsi nitaenda NIDA watakavyorekebisha usumbufu wao.
Uzembe upi unaosema hapa?! Huku Mikoani tangu NIDA wametusajili hatujapata Namba wala Vitambulisho!Poleni sana mtakaozimiwa line! Ni muhimu kufanya jambo kwa wakati sahihi na kwa muda sahihi si vizuri Sana kila Jambo ufanye dakika za mwisho/dakika za lala salama.
Usikate tamaa bado muda upo na usiruhusu hali ya kuupuza vitu, uvivu au uzembe ukutawale.
hakuna linaloshindikanaHii ni mikwara sina mda wa kufatilia hayo mambo na tutakuwa hewani safi tu,
Sent using Jamii Forums mobile app
Si ndugu awe ni mtu wa karibu sana either mtoto wako au mke. Insu ya ndugu ndugu Ku_monitor itakuwa vigumu. Ile mke hata mtoto akizingua sio mbaya mana wote wapo chini ya utawala wako hata wangezingua kwa namna yoyote utakuwa tu responsibleYes. Litasoma jina lako.
Kwa hiyo utakua resposible kwa hiyo laini.
Ndio maana kama unakubali kumsajilia mtu ni bora awe ndugu kwa usalama zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Si ndugu awe ni mtu wa karibu sana either mtoto wako au mke. Insu ya ndugu ndugu Ku_monitor itakuwa vigumu. Ile mke hata mtoto akizingua sio mbaya mana wote wapo chini ya utawala wako hata wangezingua kwa namna yoyote utakuwa tu responsible
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes. Litasoma jina lako.
Kwa hiyo utakua resposible kwa hiyo laini.
Ndio maana kama unakubali kumsajilia mtu ni bora awe ndugu kwa usalama zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila nadhani kuna sehemu atafika atakosa baadhi ya hudumaWanakubari mi binafsi nmemsajilia wife. Ila ukimsajilia mtu taarifa zake za usajili wa mwanzo zinafutika unasomeka usajili mpya
Sent using Jamii Forums mobile app
Teknolojia ya wapi hii? Hebu elezea kidogo BOSSIkifika saa 5:50 usiku wa tarehe 19, zima simu yako na utoe line kwenye simu hadi kesho yake.... utaendelea kudunda hewani kama kawa.
Thank me later.
Teknolojia ya wapi hii? Hebu elezea kidogo BOSS