ukienda airtel wanakwambia netwok ipo down njoo kesho... ukifika kesho wanakwambia ipo pending njoo keshoNIDA kumekuwa na folen ya kufa mtu sio kwa kuwa watu wanataka vitambulisho vya Taifa bali kwa kuwa wanapigania namba zao za simu zisizimwe
Yaan watu hawana mpango na vitambulisho sema tu inabidi wawe nacho kukamilisha usajili
I.e line ya simu ni muhimu kuliko kitambulisho
ikitangazwa kuwa usajili wa line sio muhimu kitambulisho cha NIDA basi folen inaisha fasta
Binafsi nilijiandikisha tena mara mbili lakini nimefuatilia namba zangu NIDA kama naomba mkopo benki. Hakuna nilichoambulia. Uzembe wa NIDA usumbufu nabebeshwa mimi.
Matokeo yake naambiwa nijiandikishe upya, yaani nianze taratibu za kwenda kwa Mtendaji, Uhamiaji halafu NIDA.
Acha wafungie nimejiandaa kisaikolojia!
Sent using Jamii Forums mobile app
ndalichako, posi na kabudi wa jalalani ndiyo waliotengeneza ile PhD inayopenda kutisha watu pale ikuluPoleni third world dwellers yani mnatawaliwa na misomi uchwara yenye PhD uchwara
Naelewa sana mkuu!Kajiongeze kwa wale mawakala watakufanyia mchakato
Umejiandaaje sasa!Hii ni mikwara sina mda wa kufatilia hayo mambo na tutakuwa hewani safi tu,
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata pale mwananchi anaponyanyaswa na serikali yake bila hatia kazi yako ww nikujikomba kwa jiwe ili upate mlo!Naona mnadanganyana hahahaha mlikuwa wapi siku zote? NIDA kuna shida lakini watanzania tuna shida zaidi,,,,, kuna namba nyingi sana zimeshatoka lakini hadi leo hazijasajiliwa ,,,,,,,,
Bonge la point...pia tutajipunguzia usumbufu wa matangazo yao kwa njia ya smsKisaikolojia fanya haya. Kama una smartphone utaendelea na internet kwa wi fi ya mtu mwingine karib. Utaacha aina zote za mikopo ya mitandaon. Utafanya mawasiliano ya kupiga kwa internet tu bila line kwenye whasapp, viber etc. Utarudia mifumo ya kibenk kuhusu pesa hasa huduma ya cardless. Mwisho wa yote utaambulia usumbuf kias lakin kampun zitapoteza makato meng yanayokuhusu na serkali itapoteza mapato ya kodi.
Huo muda unao.Yaani nimecheka kwa sauti ya juu hapo kwenye kupatia maisha ... Mkuu bado sema mimi kipindi kile cha kujiandikisha NIDA sikuukataa wito nilifanya hivyo kwa siku tatu mfululizo mpk kuja kufikia sehemu ya kupiga picha nakumbuka nikaenda halafu nikachana na hiyo biashara nikaja kutumiwa msg sijui baada ya miezi zaidi ya minne nikafuata kitambulisho.
Mimi huwa sina tabia ya kupuuzia mambo huwa nasema ngoja nifanye ikae hapo huwezi jua....
Ahahahahahahahah.Hawa jamaa wana nongwa sana,nikidhamilia kutosajiri line,juzi nataka niwakope songesha wananigomea mpaka nikamilishe,nikaona duh hii sasa balaaa.
Sent using Jamii Forums mobile app