Kesho kutakuwa na mechi kali kati ya watani wa jadi yaani Yanga na Simba.
Kwa ushauri wangu nakuomba upange timu mahiri yenye kuzuia akina Okwi, Kagere, Bocco, Chuma n.k. Kamwe siku ya kesho usimpange Chikupe.
Huyu beki ni mfupi na hana mbio kabisa. Ukimpanga hapa ndiyo itakuwa upenyo wa magoli. Badala yake umpange Ninja. Kila la kheri najua kesho mechi itakuwa kali sana ingawaje Simba wana ubora kuwazidi Yanga.
Kwa ushauri wangu nakuomba upange timu mahiri yenye kuzuia akina Okwi, Kagere, Bocco, Chuma n.k. Kamwe siku ya kesho usimpange Chikupe.
Huyu beki ni mfupi na hana mbio kabisa. Ukimpanga hapa ndiyo itakuwa upenyo wa magoli. Badala yake umpange Ninja. Kila la kheri najua kesho mechi itakuwa kali sana ingawaje Simba wana ubora kuwazidi Yanga.