Mfukutuzi
JF-Expert Member
- Feb 15, 2015
- 239
- 175
Ni ajabu ila ndivyo ilivyo, mambo ya siasa hayo, nimepita hapa Dodoma guest zote zimejaa, kila unapoenda unaambiwa kuna watu wa CCM wamechukua.
Nilipofanya utafiti mdogo, waliokuja si wote wajumbe wa Kamati za uteuzi, walio wengi ni wapambe wa wagombea, tena kwa study ya haraka haraka ni watu waliodhamiria, si watu waliojiandaa kupokea matokeo tofauti na waliyokuja nayo
Ninachojiuliza kama hawa wote wamekuja kuwashangilia watia nia wao, je ikitokea hajatajwa?
"Tahadhari lazima ichukuliwe"
Nilipofanya utafiti mdogo, waliokuja si wote wajumbe wa Kamati za uteuzi, walio wengi ni wapambe wa wagombea, tena kwa study ya haraka haraka ni watu waliodhamiria, si watu waliojiandaa kupokea matokeo tofauti na waliyokuja nayo
Ninachojiuliza kama hawa wote wamekuja kuwashangilia watia nia wao, je ikitokea hajatajwa?
"Tahadhari lazima ichukuliwe"