Alvajumaa
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 4,937
- 6,044
Leo hii usiku majira ya saa 5 kamili usiku michuano ya vilabu bingwa barani ulaya itakua inaendelea
Zamani ilizoeleka katika hatua ya robo fainali zilikuwepo timu 2 au mbili, lakini hadi sasa imebaki timu moja tuu Barcelona,
Barcelona ataikaribisha timu ya Olympic Lyon kutoka nchini ufaransa, katika mechi ya kwanza katika hatua hii ya 16 bora timu hizo zilitoka sare (suluhu),
Vyovyote iwavyo Barcelona leo anapaswa kushinda ili kulinda heshima yake na taswira ya soka la Spain, kama atapata sare ya magoli basi hiyo itakua safari imemkuta na robo kutakua hakuna timu kutoka la liga
Je, hii ni ishara ya kushuka soka la liga? Au tatizo ni nini hasa? Tujadiliane hapa
Karibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Zamani ilizoeleka katika hatua ya robo fainali zilikuwepo timu 2 au mbili, lakini hadi sasa imebaki timu moja tuu Barcelona,
Barcelona ataikaribisha timu ya Olympic Lyon kutoka nchini ufaransa, katika mechi ya kwanza katika hatua hii ya 16 bora timu hizo zilitoka sare (suluhu),
Vyovyote iwavyo Barcelona leo anapaswa kushinda ili kulinda heshima yake na taswira ya soka la Spain, kama atapata sare ya magoli basi hiyo itakua safari imemkuta na robo kutakua hakuna timu kutoka la liga
Je, hii ni ishara ya kushuka soka la liga? Au tatizo ni nini hasa? Tujadiliane hapa
Karibu
Sent using Jamii Forums mobile app