Kuelekea hatua ya robo fainali Club bingwa Africa

changaule

JF-Expert Member
Jan 10, 2020
5,587
9,179
Kuna watu wanasema endapo Simba itapata alama tatu dhidi ya El marrekh, Simba itakuwa imefikiaha point kumi na kuwa imefuzu hatua ya robo fainali. Sijaelewa hesabu gani zimetumika kuifanya Simba ifuzu kwasababu mpaka sasa Al Ahly na As Vita wote wana point 4.

Mechi inayofuata As Vita wapo nyumbani dhidi ya Al Ahly na endapo As Vita wakishinda watakuwa wamefikisha point 7 huku Simba ikiwa na point 10.

Mechi inayofuata ni Al Ahly dhidi ya Simba. Hapa Simba wakiwa ugenini, hii mechi Simba wanatakiwa watafute alama moja ili kufuzu kwasababu Al Ahly ikishinda, wanakuwa na alama 7 na mechi ya mwisho wanamaliza dhidi ya kibonde Al Merreikh hivyo wakisha watakuwa na alama 10. Wakati Simba inacheza na Al Ahly, As Vita wao watakuwa nyumbani dhidi ya Al Merreikh hivyo akishinda atakuwa na point 10

Endapo Simba watashindwa kupata alama tatu ama moja Misri, na huku As Vita wakishinda dhidi ya Al Ahly na Al Merreikh, ina maana mechi ya mwisho inachezwa Simba dhidi ya As Vita kwa Mkapa huku As Vita akiwa na point 10, Simba ana point 10 na Al Ahly ana point 7 na kuifanya kundi liwe gumu kwasababu Al Ahly atacheza dhidi ya Al Merreikh hivyo akishinda atakuwa na point 10 pia. Hivyo itaifanya mechi ya mwisho iwe muhimu sana kwa Simba kutoruhusu kufungwa dhidi ya As Vita
 
Mechi inayofuata baada ya Simba na El Merreikh Vita atakuja Dsm kucheza na Simba, so hapo Simba ana mechi mbili za nyumbani ambapo akishinda moja aka draw moja atakuwa ameenda robo fainali, lakini hata kama akipoteza moja bado atakuwa na nafasi kama Vita au Ahly mmojawapo nae atapoteza mechi zinazofuata.
 
Mechi inayofuata baada ya Simba na El Merreikh Vita atakuja Dsm kucheza na Simba, so hapo Simba ana mechi mbili za nyumbani ambapo akishinda moja aka draw moja atakuwa ameenda robo fainali, lakini hata kama akipoteza moja bado atakuwa na nafasi kama Vita au Ahly mmojawapo nae atapoteza mechi zinazofuata.
Kwahiyo mechi ya Al Ahly vs Simba itakuwa mechi ya mwisho?
 
Mechi inayofuata baada ya Simba na El Merreikh Vita atakuja Dsm kucheza na Simba, so hapo Simba ana mechi mbili za nyumbani ambapo akishinda moja aka draw moja atakuwa ameenda robo fainali, lakini hata kama akipoteza moja bado atakuwa na nafasi kama Vita au Ahly mmojawapo nae atapoteza mechi zinazofuata.
Hauko sahihi pia, baada ya El mereikh Simba anakwenda Cairo halafu anamalizia Dar na AS Vita.
 
Ratiba inaweza kuwa hivi,
Simba vs vita
Al ahly vs simba
Simba vs all merreikh
 
Simba na Ahly ni game ya mwisho Cairo. Kimahesabu Simba akishinda hapa dhidi ya wasudani atafika 10points. Alhy ana game na Vita Congo. Yoyote akishinda atafikisha 7points mwingine atabaki na 4points. Wakitoa droo wote watakuwa na 5points.
Kimahesabu 4points meaning one win n a draw in our two home games TUMETOBOA.

As simple as that..

Sent from my PBAT00 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom