Wakulonga
JF-Expert Member
- Oct 29, 2012
- 762
- 772
Hivi ni kweli Zamoyoni Mogera na Malota soma walicheza zile enzi za 80’s sio 90’s kama nijuavyo mimiFlashBack Klabu Bingwa Afrika 1984/1985; Simba SC waliwachapa National Al Ahly mabao 2-1 kwenye uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza ukiwa ni mchezo wa kwanza.
Magoli ya Simba yaliwekwa kimiani na Streika Matata Zamoyoni Mogella 'Golden Boy' akipokea pasi safi kutoka kwa Malota Soma Ball Juggler na bao la pili lilifungwa na Mtemi Ramadhan akipokea pasi safi ya Zamoyoni Mogella
Kila la heri Mnyama Mkali..Ushindi ndo lengo letu
Sent using Jamii Forums mobile app