koboG
JF-Expert Member
- Apr 3, 2016
- 2,482
- 4,391
Kesho ushindi lazma kwa mbinu yoyote ile lazma tushinde
Kesho ushindi lazma kwa mbinu yoyote ile lazma tushinde
Kila la heri Mafarao
4-0
Raja 6-0 Yanga...Hatufanani kabisa!THI5 I5 5IMBA
Sent from myusing Tapatalk
Dstv nimeona itaonyeshwa SAA 17:45 majira ya South afrika uku itakua baada ya lisaa limoja nafikiri... S9CAF wamekataa mechi kuchezwa muda huo..kwahivyo mechi ni saa kumi mkuu..!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahhahaha wamesahau caf makao makuu yapo al ahlyCAF wamekataa mechi kuchezwa muda huo..kwahivyo mechi ni saa kumi mkuu..!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mada imekaa kimipasho nikajua ni tangazo la show ya isha mashauzi.. Kesho mnakula zingine tano Mikia nyie.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mchango popote na wajanja wanakula humo humoMkuu..Ile ni Kampuni tayari kwahivyo ni kiasi cha kutangaza zabuni wakajitokeza.
Simba ilipitia kipindi kigumu wakati ninyi mpo na Manji lakini haikufikia kama Yanga, mchango mpaka uwanjani..!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi muda wa kuanza mechi hupangwa na Caf, Tff au Simba wenyewe? Naomba kueleweshwa hili.Dstv nimeona itaonyeshwa SAA 17:45 majira ya South afrika uku itakua baada ya lisaa limoja nafikiri... S9
Sent using Jamii Forums mobile app
Twende wapi?Jumapili sidhani kama mtakuwa hewani humu.
Mkuu dawa fanyeni uchaguzi..Hapo mianya ya kupiga itapungua..!Mchango popote na wajanja wanakula humo humo
Tambwe alikuwa analipwa mshahara laki saba mikiani..wakati Yanga anachukua mamilioni..Ndio maana hamkuyumba mishahara 40m kwa mwezi..Mkuu..Ile ni Kampuni tayari kwahivyo ni kiasi cha kutangaza zabuni wakajitokeza.
Simba ilipitia kipindi kigumu wakati ninyi mpo na Manji lakini haikufikia kama Yanga, mchango mpaka uwanjani..!
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku zile nilikwambia utapigwa tano na ukapigwa tano kweli Leo nimekutabilia kuwa utapigwa NNE na utapigwa NNE kweliEndeleeni kuhangaika, lakini nakukumbusha tu kuwa mlianza kujipendekeza kwa Mbabane Swallows, Nkana, JS Saoura na Vita na hamkunufaika na chochote
Kwa sasa Al Ahly...Hivi hamuoni aibu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Dstv nimeona itaonyeshwa SAA 17:45 majira ya South afrika uku itakua baada ya lisaa limoja nafikiri... S9
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku zile nilikwambia utapigwa tano na ukapigwa tano kweli Leo nimekutabilia kuwa utapigwa NNE na utapigwa NNE kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie mlishacheza nao mkawafunga