Sasa nahamia Algeria na Congo
Mkuu sisi ndiyo simba bwana huwa hatuangali history tunapiga mpira safi bila vikwazo
Pamoja sana muumini wangu, leo wasijaribu kukutania maana wataoga povu la foma goldAbeeeh dada akeee
Ahhh katisha sana huyu jamaa KAGERE ni kama mbape wa PSG hayo magoli ya upande huo huwa hakosiKagereeeeee wouzeeerr yes we can
Asante mkuu..Lakini ungepumzika tu kuhama hama haya matimu aisee! Kwani lengo lako halitatimia hasa hapa kwa mchina.Sasa nahamia Algeria na Congo
Hongereni kwa kubahatisha
Asante mkuu..Lakini ungepumzika tu kuhama hama haya matimu aisee! Kwani lengo lako halitatimia hasa hapa kwa mchina.Sasa nahamia Algeria na Congo
Hongereni kwa kubahatisha
Hahahaaaa. Dkk 90 zikiisha tutaongea lugha moja.
Mechi ya Leo Haina presha kabisha Al Ahly watakuwa wanapoozesha mchezo wakitafuta droo Huku wakivizia kupigana counter attack
Mechi rahisi kabisha hii kwa Simba Mimi ntaicheki Huku nashushia na crips taratibuuuu Huku Chama, kagere na Okwi wakitoa burudani
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku zile nilikwambia utapigwa tano na ukapigwa tano kweli Leo nimekutabilia kuwa utapigwa NNE na utapigwa NNE kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Simba atapigwa hapo kwa mchina na atanyanyaswa sana.
Maana 5imba haiko sawa kisaikolojia had sasa.
hivi ninyi wanazi wa hizi timu mbili za kichawi za mbumbumbu fc na vyura sc..... kwa nini msiwe mnasubiri matokeo ya uwanjani badala yake mnakalia kupiga tu ramli huku uwezo wenu ni mediocre?
yaani hadi inaudhi kwa kweli. timu zetu zote za Tanzania zimeshindwa kufurukuta vs second tiers za hapo Kenya kwenye Sportpesa tournament halafu eti mnatamba mtashinda vs the likes of Al Ahly? get a freaking life you people!
Ha ha ha ha..Yaani mmetepeta kama mate ya mlevi, tutamuachaje kumtegemea Kagere? Hatufanani na VyuraHahahah Siku hizi mmeacha kuwategemea Chama,Okwi na Kagere mnategemea jua? Kweli Mikia mmekamatika safari hii.
Twende wapi?
Mpira ndiyo ugonjwa wetu!