Kuelekea EAC: Kenya wanazuia bidhaa toka Tanzania

Toosweet

JF-Expert Member
May 27, 2012
2,141
1,982
Heshima Kwenu,
Kwa sasa Kenya ndiyo wanauza bidhaa nyingi Tanzania kuliko tunavyouza kwao. Kenya huuza kwa wingi hata nje ya Afrika. Mathalan takwimu toka Kenya National Bureau of Statistics kwa mwaka 2014 Juni zinaonesha kuwa Kenya ili export kwenda USA bidhaa zenye thamani ya Ks 3.7 bil au $ 41.8 milioni ;kwenda Tanzania bidhaa zenye thamani ya Ks 2.8 bil au $ 31.6 mil na kwenda Uganda bidhaa zenye thamani ya Ks 2.5 bil au $ 28.3 mil. Uganda imepunguza kuagiza bidhaa toka Kenya kuliko ilivyokuwa awali.
Kitu cha kushangaza ni kuwa pamoja na wenzetu kuuza sana kwetu, wameamua kuzuia bidhaa toka Tanzania kama vile unga wa ngano. Hii ni kwa mujibu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania, TRA. Mamlaka hiyo imetoa taarifa kuwa ikiwa Kenya wataendelea kufanya hivyo, TRA nayo itazuia bidhaa toka Kenya(taarifa ya habari ITV saa mbili usiku huu).
Hawa jamaa si watu wa kuwaamini sana. Hawa ndiyo walihusika kuvunjika Jumuiya ya Afrika Mashariki mnamo 1977.Kuna waziri wao alisherehekea kwa kunywa mvinyo jumuiya iliposambaratika. Sijawahi kuwaamini Wakenya. Ni much know. Kama mbwai na iwe mbwai!
 
Heshima Kwenu,
Kwa sasa Kenya ndiyo wanauza bidhaa nyingi Tanzania kuliko tunavyouza kwao. Kenya huuza kwa wingi hata nje ya Afrika. Mathalan takwimu toka Kenya National Bureau of Statistics kwa mwaka 2014 Juni zinaonesha kuwa Kenya ili export kwenda USA bidhaa zenye thamani ya Ks 3.7 bil au $ 41.8 milioni ;kwenda Tanzania bidhaa zenye thamani ya Ks 2.8 bil au $ 31.6 mil na kwenda Uganda bidhaa zenye thamani ya Ks 2.5 bil au $ 28.3 mil. Uganda imepunguza kuagiza bidhaa toka Kenya kuliko ilivyokuwa awali.
Kitu cha kushangaza ni kuwa pamoja na wenzetu kuuza sana kwetu, wameamua kuzuia bidhaa toka Tanzania kama vile unga wa ngano. Hii ni kwa mujibu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania, TRA. Mamlaka hiyo imetoa taarifa kuwa ikiwa Kenya wataendelea kufanya hivyo, TRA nayo itazuia bidhaa toka Kenya(taarifa ya habari ITV saa mbili usiku huu).
Hawa jamaa si watu wa kuwaamini sana. Hawa ndiyo walihusika kuvunjika Jumuiya ya Afrika Mashariki mnamo 1977.Kuna waziri wao alisherehekea kwa kunywa mvinyo jumuiya iliposambaratika. Sijawahi kuwaamini Wakenya. Ni much know. Kama mbwai na iwe mbwai!
Umehitimisha Vizuri. Ni wajuaji sana na wanajiskia sana. Hawaaminiki na Ni Ndumilakuwili
 
wakenya ni watu wa ajabu.Sijawahi kuwa na mkenya rafiki wa maana hata mmoja. Hawa watu sio wa kuwaamini na ninasema kamwe hatuwezi kuwa nchi moja hizo ni ndoto tu. Hawa watu ni washenzi kweli kweli.
Mnataka tundu Lisu awaombee po!!!
 
Sasa ndo umecomment nn mkuu!!
Hapa tunaongelea maslahi ya nchi ambayo wananchi ndo sisi!!!! Sasa masuala haya utayaachaje yaendelee hivi hivi? Labda wewe ni Mrundi au raia wa nchi tofauti na TZ au Kenya?
Hajui annathirikaje na uamuzi huu, ye anafurahia kula blue band tu
 
Tatizo serikali yetu wenyewe kuweka masharti yasiyo vutia wawekezaji wa viwanda vidogovidogo, unadhani hao wakenya wana cha maana kinacho uzwa huku ni upuuzi mdogomdogo ambao huo huo faida kwao. Nachukia

Wazuie tu, blueband hata Bakhresa atatengeneza, Bakhresa kafungua kiwanda kule kila siku vingamizi.
 
Wasi wasi wetu ni uwezo wa wabunge tuliowachagua kutuwakilisha kwenye bunge la EALA kama wataweza kuhimili janja za hawa wakenya.

Kuimalika kwa uchumi wa Kenya ukilinganisha na Tanzania na Uganda kulitokana na Kenya kupora mali zilizokuwa zinamilikiwa kwa pamoja na nchi hizo tatu kupitia EAC. Hizi zilikuwa ni pamoja na viwanda, treni, ndege na kadhalika. Tanzania tuliambulia jengo la mikutano huko Arusha tu. Uganda sidhani kama waliambulia cho chote baada ya Kenya kuvunja hiyo EAC. Baada ya miaka mingi Kenya wamefanikiwa kutushawishi tuanzishe tena EAC, bila shaka kwa lengo la kuja kutupiga tena. Hivyo tahadhari kubwa inapaswa kuchukuliwa ili ikija tokea jumuiya hii ikaja kuvunjika tena, madhara yasije kuwa makubwa kama yale yaliyotokea mara ya kwanza.
 
Malalamiko kuhusu ubepari wanaotufanyia wakenya kwa namna hizi umeashaandikwa na kulalamikiwa sana na watanzania ila sijawahi kuona hatua mathubuti zikichukuliwa kuharibu hali hiyo.

Mfano, wakenya wamekuwa wakija kucollect maziwa huku kwa bei ndogo halafu hayo hayo wanaenda kuyamanufacture na kuja kutuuzia Brookside kwa bei ghali.

Vilevile kwa bidhaa nyingi tu.

Kwa upande mwingine (Kwa anayeelewa Business na strategies zake) nawasifu wakenya kwa kutumia fursa vizuri

Badala ya kulalamika na kulaumu tuinvest katika viwanda vingi na kucompete nao na hatimaye kuwazidi kihuduma na kibidhaa kwa kadri iwezekanavyo.
 
Umehitimisha Vizuri. Ni wajuaji sana na wanajiskia sana. Hawaaminiki na Ni Ndumilakuwili
Ni kweli kabisa mkuu, Nina binamu ambaye mama yake ni Mkenya. Alipata ofa ya kwenda UK baada ya kumpandisha Kilimanjaro tajiri wa Chelsea, Roman Abramovich. Tulimsaidia kupata kazi Tanzania. Tulimsaidia kupata passport ya Tanzania baada ya kuukana uraia wa Kenya.Alipokuja Dar toka Arusha alikaa kwangu. Sijawaji pokea japo message toka kwake kwa zaidi ya miaka sits. Namba yake nimeifuta. Ni watu very mean.
 
Umehitimisha Vizuri. Ni wajuaji sana na wanajiskia sana. Hawaaminiki na Ni Ndumilakuwili
Mtauana bure wabongo , nchi hii mna nini cha kupeleka nje ? Vijiti vya kuchokonolea meno mnaagiza china huku pamba ya kuoshea vidonda mnatoa mombasa !

Wenye akili wanawacheka tu .
 
wakenya ni watu wa ajabu.Sijawahi kuwa na mkenya rafiki wa maana hata mmoja. Hawa watu sio wa kuwaamini na ninasema kamwe hatuwezi kuwa nchi moja hizo ni ndoto tu. Hawa watu ni washenzi kweli kweli.
Wazanzibari wanasema hivyo hivyo kuhusu Watanganyika!
 
Heshima Kwenu,
Kwa sasa Kenya ndiyo wanauza bidhaa nyingi Tanzania kuliko tunavyouza kwao. Kenya huuza kwa wingi hata nje ya Afrika. Mathalan takwimu toka Kenya National Bureau of Statistics kwa mwaka 2014 Juni zinaonesha kuwa Kenya ili export kwenda USA bidhaa zenye thamani ya Ks 3.7 bil au $ 41.8 milioni ;kwenda Tanzania bidhaa zenye thamani ya Ks 2.8 bil au $ 31.6 mil na kwenda Uganda bidhaa zenye thamani ya Ks 2.5 bil au $ 28.3 mil. Uganda imepunguza kuagiza bidhaa toka Kenya kuliko ilivyokuwa awali.
Kitu cha kushangaza ni kuwa pamoja na wenzetu kuuza sana kwetu, wameamua kuzuia bidhaa toka Tanzania kama vile unga wa ngano. Hii ni kwa mujibu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania, TRA. Mamlaka hiyo imetoa taarifa kuwa ikiwa Kenya wataendelea kufanya hivyo, TRA nayo itazuia bidhaa toka Kenya(taarifa ya habari ITV saa mbili usiku huu).
Hawa jamaa si watu wa kuwaamini sana. Hawa ndiyo walihusika kuvunjika Jumuiya ya Afrika Mashariki mnamo 1977.Kuna waziri wao alisherehekea kwa kunywa mvinyo jumuiya iliposambaratika. Sijawahi kuwaamini Wakenya. Ni much know. Kama mbwai na iwe mbwai!
Japo sijaiona hiyo news ila biashara ya bidhaa za kilimo kwenye soko la EAC linazo rules na protocol zake. Miongoni mwake ni bidhaa hiyo lazima iwe imelimwa Tanzania. Makampuni yote ya unga wa ngano wananunua ngano kutoka Canada na kuisaga kisha kuiuza as a product from Tanzania. Kwa mujibu wa EAC common market na fair trade bidhaa hizi zimekuwa process tuu Tanzania hivyo zinapashwa kulipiwa import duty kama bidhaa nyingine za nje ya EAC. Baadhi ya wasagishaji hununua ngano kidogo kutoka Kwa wakulima ili tuu kupata certificate of orgin ili kuonyesha bidhaa yote ni ya Tanzania. Hivyo they might be right.

Hata bidhaa za Bakheresa is the same wananunua pulp kutoka nje na kuchanganya kidogo na za ndani kisha kuuza as product from Tanzania. Kenya walikataa.

Paskal
 

Attachments

  • EACTariff 2012.pdf
    5.7 MB · Views: 125
  • protocol_eac_common-market.pdf
    507.4 KB · Views: 62
Walikuwa wakiita Tanzania Economic Sleeping Giant toka Rais Magufuli achukue madaraka Tanzania is no longer economically sleeping giant.
 
Back
Top Bottom