Watu kama wewe wanapaswa kuchomwa moto na wakufe tuTafuta maisha yako, live ur life mambo ya hizi nchi yaache kama yalivyo, kama ukitaka kuishi vizuri
Ahsante Mkuu ,nitafuatilia.Kenya hawakuhusika na kuvunjika na EAC bali kuporomoka kwa uhusiano kati ya Nyerere na Idi Amin Dada wa Uganda.
Kumbuka kipindi hicho tuliwaita "manyang'au" kutokana na wao kunufaika zaidi na EAC kwa hiyo hawakuwa na sababu ya kuivunja bali kuimarisha ili wanufaike zaidi
Makinikia .
Walikuwa wakiita Tanzania Economic Sleeping Giant toka Rais Magufuli achukue madaraka Tanzania is no longer economically sleeping giant.
Chini ya hii hii CCM??