Kuelekea 2025: Kanda ya Ziwa Msibemendwe kwa hila

shida kubwa ya kanda la ziwa ni ukosefu wa fikira, elimu nduni, wale watu wako nyuma miaka 300. umasikini ule uko kanda la ziwa na sio tu wa mali, mbali na pia wa akili, acha tu
Kumbe wewe huielewi na huwaelewi watu wa kanda ya ziwa, kwa taarifa yako watu wa kanda ya ziwa wanayo elimu nzuri tu ya kutosha na pia ukitafuta watu genius utawapata wengi kanda ya ziwa,
 
Bado mnaongelea mambo ya ukanda hapa na hizi nyuzi zimeshamiri sana humu JamiiForums na mods hawachukui hatua
 
Amani kwako.

Tayari tumeanza kuliona jua la alfajiri kama bado umelala sikiliza sauti za ndege bila kuamka utafaham kuwa jua linachomiza

Twende kwenye mada; ndugu zangu Watanzania hasa wa kanda ya ziwa mmesikia sauti zinaanza kusikika na si kwa bahati mbaya ni ishara kuelekea 2025.

Kanda ya ziwa inaaminika kuwa ndiyo zone inayoweza kumbeba mgombea kupitia kura hasa za urais.

Mara nyingi wagombea wengi wanawachukulia poa watu wa kanda hiyo na wengine kipindi kile kikikalibia wanaanza kuja kukaa nanyi (kuwabemenda) kwa njia hiyo, msichukulie poa mbadirike.

Mahitaji mengi kwa Kanda ya ziwa hayajafikiwa zaidi ya wagombea kuja kuwapa ahadi zisizofanyiwa kazi au kupeperushwa.

Narudia, kanda ya ziwa jua linachomoza mshtuke msibemendwe mkachelewa kutembea.

PIA SOMA: 👉🏾 Nilichogundua watu wa ukanda ziwa Victoria ni wapole sana, hawana makuu na hawajui majungu
Nikumbushe Rais wa mwisho Tanzania aliyeshinda kwa Kura ndio tuendelee na mjadala
 
Amani kwako.

Tayari tumeanza kuliona jua la alfajiri kama bado umelala sikiliza sauti za ndege bila kuamka utafaham kuwa jua linachomiza

Twende kwenye mada; ndugu zangu Watanzania hasa wa kanda ya ziwa mmesikia sauti zinaanza kusikika na si kwa bahati mbaya ni ishara kuelekea 2025.

Kanda ya ziwa inaaminika kuwa ndiyo zone inayoweza kumbeba mgombea kupitia kura hasa za urais.

Mara nyingi wagombea wengi wanawachukulia poa watu wa kanda hiyo na wengine kipindi kile kikikalibia wanaanza kuja kukaa nanyi (kuwabemenda) kwa njia hiyo, msichukulie poa mbadirike.

Mahitaji mengi kwa Kanda ya ziwa hayajafikiwa zaidi ya wagombea kuja kuwapa ahadi zisizofanyiwa kazi au kupeperushwa.

Narudia, kanda ya ziwa jua linachomoza mshtuke msibemendwe mkachelewa kutembea.

PIA SOMA: 👉🏾 Nilichogundua watu wa ukanda ziwa Victoria ni wapole sana, hawana makuu na hawajui majungu
Bado kuna watu wanatetea ukabila na ukanda usawa huu wa karne ya 21! Kazi kweli kweli. Haya mambo pelekeni kwa jirani zenu kule Burundi, Kenya na Rwanda hata Uganda
 
Na
Amani kwako.

Tayari tumeanza kuliona jua la alfajiri kama bado umelala sikiliza sauti za ndege bila kuamka utafaham kuwa jua linachomiza

Twende kwenye mada; ndugu zangu Watanzania hasa wa kanda ya ziwa mmesikia sauti zinaanza kusikika na si kwa bahati mbaya ni ishara kuelekea 2025.

Kanda ya ziwa inaaminika kuwa ndiyo zone inayoweza kumbeba mgombea kupitia kura hasa za urais.

Mara nyingi wagombea wengi wanawachukulia poa watu wa kanda hiyo na wengine kipindi kile kikikalibia wanaanza kuja kukaa nanyi (kuwabemenda) kwa njia hiyo, msichukulie poa mbadirike.

Mahitaji mengi kwa Kanda ya ziwa hayajafikiwa zaidi ya wagombea kuja kuwapa ahadi zisizofanyiwa kazi au kupeperushwa.

Narudia, kanda ya ziwa jua linachomoza mshtuke msibemendwe mkachelewa kutembea.

PIA SOMA: 👉🏾 Nilichogundua watu wa ukanda ziwa Victoria ni wapole sana, hawana makuu na hawajui majungu
Nani kakwambia kwamba ushindi wa ccm unategemea kura ya mtu? Hata wasipopogia still watatangazwa washindi tu. Samia amesha sema akiw mbeya kwamba hata msipoipigia ccm, itaunda serikali tu. Tafakari chukua hatua....... Haki elimuuuuuui
 
Nani kakwambia kwamba ushindi wa ccm unategemea kura ya mtu? Hata wasipopogia still watatangazwa washindi tu. Samia amesha sema akiw mbeya kwamba hata msipoipigia ccm, itaunda serikali tu. Tafakari chukua hatua....... Haki elimuuuuuui
So unashauli siku zikifika tukapige kura au tukae nyumbani tusubili hiyo kauli ya bimkubwa itimie?.
 
Amani kwako.

Tayari tumeanza kuliona jua la alfajiri kama bado umelala sikiliza sauti za ndege bila kuamka utafaham kuwa jua linachomoza

Twende kwenye mada; ndugu zangu Watanzania hasa wa kanda ya ziwa mmesikia sauti zinaanza kusikika na si kwa bahati mbaya ni ishara kuelekea 2025.

Kanda ya ziwa inaaminika kuwa ndiyo zone inayoweza kumbeba mgombea kupitia kura hasa za urais.

Mara nyingi wagombea wengi wanawachukulia poa watu wa kanda hiyo na wengine kipindi kile kikikalibia wanaanza kuja kukaa nanyi (kuwabemenda) kwa njia hiyo, msichukulie poa mbadirike.

Mahitaji mengi kwa Kanda ya ziwa hayajafikiwa zaidi ya wagombea kuja kuwapa ahadi zisizofanyiwa kazi au kupeperushwa.

Narudia, kanda ya ziwa jua linachomoza mshtuke msibemendwe mkachelewa kutembea.

PIA SOMA: 👉🏾 Nilichogundua watu wa ukanda ziwa Victoria ni wapole sana, hawana makuu na hawajui majungu
Hatukubali kubemendwa
 
Hatukubali kubemendwa
Wenzenu wameanza kwa hasira kampeni za chini chini, huku mkionyeshwa aina ya mtu na binadamu walivyo, moja ni; 'huyo alikuwa ni kakangu, upande wa pili alikuwa jemedali na si msikivu, hiyo ni ishara murua mnaanza kubemendwa haste haste!.
 
Mungu atupe uhai 2025 naona kutakua na uchaguzi/kampeni ngumu kuliko zilizopita.
 
Hv ukimtoa samia ni mgombea gn anaweza shinda urais?? Zitto yupo bize kulamba asali huyu lzm agombee ubunge mwandiga,Mbowe??? Biashara zake zipo mukide hawezi kumpinga mama lissu huyu keshalipwa mafao na stahiki zake yupo kula shushu au mnamtegemea luhaga mpina Kanda ya ziwa
 
Back
Top Bottom