mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,586
- 8,217
Kumbe wewe huielewi na huwaelewi watu wa kanda ya ziwa, kwa taarifa yako watu wa kanda ya ziwa wanayo elimu nzuri tu ya kutosha na pia ukitafuta watu genius utawapata wengi kanda ya ziwa,shida kubwa ya kanda la ziwa ni ukosefu wa fikira, elimu nduni, wale watu wako nyuma miaka 300. umasikini ule uko kanda la ziwa na sio tu wa mali, mbali na pia wa akili, acha tu