MWITONGO MAARIFA
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 276
- 1,428
Hawa watu walianza kusigana kwa utofauti wa Sera mwaka 2015, JPM anaamini anaongoza nchi ipasavyo na analeta maendeleo ya kweli kwa watanzania ikiwa ni pamoja na kurejesha jina la Tanzania kwenye nafasi yake kimataifa.
Lisu anapingana na namna JPM anavyoongoza nchi, anamwona kufeli kwenye kila Sera anayoitekeleza na hivyo kwa mtizamo wake Tanzania itaporomoka na kuchafuka kimataifa kutokana na msimamo wa JPM.
Yapo mambo JPM amemprove Lisu wrong kwa maana ameyafanikisha ikiwemo ununuzi wa ndege na ujenzi wa reli na yapo mambo ambayo Tundu Lisu amemprove JPM wrong hasa Sera zake kuhusu demokrasia na ishu ya mikataba ya madini.Sheria zilizotungwa Katika utawala wa JPM zinaonekana kutolifaa taifa Bali zinalifaa kundi dogo tu la watawala.
Yapo mengi yamesemwa na watu hawa na tunayaona yanavyofanikiwa na kufeli, napenda kujua ulinganisho wako kiutawala ni yupi Kati ya watu hawa wawili unaona anayoyatenda au kuyasema yamekaa kimkakati na yanaweza kulifusha Taifa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Lisu anapingana na namna JPM anavyoongoza nchi, anamwona kufeli kwenye kila Sera anayoitekeleza na hivyo kwa mtizamo wake Tanzania itaporomoka na kuchafuka kimataifa kutokana na msimamo wa JPM.
Yapo mambo JPM amemprove Lisu wrong kwa maana ameyafanikisha ikiwemo ununuzi wa ndege na ujenzi wa reli na yapo mambo ambayo Tundu Lisu amemprove JPM wrong hasa Sera zake kuhusu demokrasia na ishu ya mikataba ya madini.Sheria zilizotungwa Katika utawala wa JPM zinaonekana kutolifaa taifa Bali zinalifaa kundi dogo tu la watawala.
Yapo mengi yamesemwa na watu hawa na tunayaona yanavyofanikiwa na kufeli, napenda kujua ulinganisho wako kiutawala ni yupi Kati ya watu hawa wawili unaona anayoyatenda au kuyasema yamekaa kimkakati na yanaweza kulifusha Taifa?
Sent using Jamii Forums mobile app