kivipi?Aisee,vitu vingi vimetokea mkuu ila hii ishu ya Zito inaweza kuwarudisha nyuma kama sio kudestroy kabisaa
Nimenote watu wamehamasika sana na taarifa za UKAWA/Chadema, nimeona niwakumbushe washishangilie hadi ku miss the target, CCM sio target, target watu!, changing the mindset za watu!.Wanabodi,
Katika thread moja humu jukwaani, nimekutana na mchango wa mwana jf huyu
Kutokana na kauli hiyo, nimekuwa inspired kuandika kidogo kuhusu adui mkuu wa Tanzania wengi wakidhani ni CCM, kumbe sio, bali adui mkuu wa Watanzania ni huyu nimtajae hapa chini na headline imejielekeza kwa Chadema, simply because ndicho chama pekee cha upinzani huku bara, chenye kuonyesha mwelekeo wa matumaini ya uwezekano wa kulipatia taifa letu la Tanzania, ule ukombozi wa pili wa kweli wa Mtanzania!.
Mkuu Jogi, japo umeniomba "Nikubaalie japo mara hii tu kuwa, tatizo linalotumaliza ni zimwi CCM". Samahani sana, sikukubalii, kwa maoni yangu, japo ni kweli CCM ni zimwi, adui sio zimwi, bali wale wanaolifuga hili zimwi na kulipa chakula ili liendelee kuishi!.
16. Suppose 2015, Watanzania tutakuwa Milioni 50 wenye sifa za kupiga kura ni milioni 35, hawa wote wakihamasishwa kujiandikisha na kujitokeza kupiga kura, mgombea wa CCM atajipatia kura zao zile milioni 6 za wanachama wao kwa mujibu wa tovuti ya CCM, halafu hizo kura milioni 29 zimuangukie mgombea wa upinzani, hata NEC ya CCM, wachakachue vipi, there will be no way out!, hivyo adui yetu mkubwa sio CCM, bali ni Watanzania wanaipigia kura CCM!.
Wasalaam.
Pasco.
NB. Pasco wa JF, sio mwanachama, mfuasi wala mshabiki wa chama chochote cha siasa, bali ni Mtanzania wa kawaida mwenye kuweka mbele maslahi ya taifa.
Pasco, unajua mada zako unazipanga vizuri, unaziandika vizuri na unazifafanua vizuri kwa lugha rahisi kiasi kwamba hata kama kimantiki si kweli watu wengi wanaweza kukubaliana na hoja zako? Ndivyo ilivyo hata kwa hoja yako hii ya leo.
Kiukweli kulekea elfu mbili na kumi na tano adui mkubwa wa Chadema ni ..CCM.
Mimi si mwandishi mzuri hivyo nitaenda straight to the point.
1. Well, kuhusu watanzania kuichagua CCM over and over again, wewe unatarajia nini? The whole system is fine-tuned kuiweka CCM madarakani na kimsingi hilo ndilo linalowapa kiburi baadhi ya wasemaji wa CCM kwamba CCM ipo ili kutawala milele na mwingine kuongeza kwamba ni heri afe kuliko kuona Chadema inatawala We unadhani hii ni exercise in political rhetoric tu? Wanamaanisha wanayoyasema na kiukweli kuna kila sababu ya watawala wetu wa sasa na makada wa CCM kutopata hamu au kuogopa kabisa kuona upinzani unachukua serikali. Sababu zinajulikana.
2. Dhana kwamba adui mkubwa wa watanzania si CCM bali ni sisi wenyewe siyo sahihi sana. Ni kweli kwamba kuna vi element fulani vya utamaduni wa kitanzania vinavyotubakisha sana nyuma lakini adui mkubwa ni yule anayecapitalize kwenye udhaifu wetu ili kuendelea kutunyonya na kutukandamiza. CCM haina huruma, haina tofauti na mkoloni wa kiarabu au kijerumani aliyetumia ukarimu wetu, upole wetu na kukosa elimu kwetu ili kujinufaisha juu ya migongo yetu. Ni kweli, hata hivyo, kwamba njia ya kumshinda adui wa namna hii ni kusambaza elimu ya uraia. Hii inatusaidia sana kuongeza ukali kidogo tunapodai haki zetu za kikatiba na kumpinga hasa pale anapoleta uhuni na ndicho Chadema wanachofanya.
Wanabodi,
Mkuu Jogi, japo umeniomba "Nikubaalie japo mara hii tu kuwa, tatizo linalotumaliza ni zimwi CCM". Samahani sana, sikukubalii, kwa maoni yangu, japo ni kweli CCM ni zimwi, adui sio zimwi, bali wale wanaolifuga hili zimwi na kulipa chakula ili liendelee kuishi!.
1. Tatizo kubwa la Watanzania au adui mkubwa wa Tanzania sio CCM, CCM is just the vehicle, haikujiweka hapo ilipo, imewekwa, hivyo tatizo sio CCM iliyowekwa, bali tatizo ni wale walioiweka CCM hapo ilipo!. That simply means, tatizo ni sisi Watanzania tulioiweka CCM madarakani and it plays games on us again and again na sisi tukiendelea kuiweka madarakani again and again and again na sitashangaa kama hata 2015, tukairudisha tena CCM ikulu ya Magogoni!.
2. Hii dhana ya kudhania adui mkubwa wa Tanzania ni CCM, is a wrong concept, na hili ndilo kosa kubwa la wapinzani, katika chaguzi zote za nyuma wapinzani wanaelekeza nguvu nyingi concentration kubwa ya mashambulizi yote kwa CCM wakibeza tuu CCM haikufanya hiki au kile, huku wakijihesabu CCM ndie adui yao mkubwa, hivyo ku miss the real target ya adui halisi ni nani!.
16. Suppose 2015, Watanzania tutakuwa Milioni 50 wenye sifa za kupiga kura ni milioni 35, hawa wote wakihamasishwa kujiandikisha na kujitokeza kupiga kura, mgombea wa CCM atajipatia kura zao zile milioni 6 za wanachama wao kwa mujibu wa tovuti ya CCM, halafu hizo kura milioni 29 zimuangukie mgombea wa upinzani, hata NEC ya CCM, wachakachue vipi, there will be no way out!, hivyo adui yetu mkubwa sio CCM, bali ni Watanzania wanaipigia kura CCM!.
Wasalaam.
Pasco.
NB. Pasco wa JF, sio mwanachama, mfuasi wala mshabiki wa chama chochote cha siasa, bali ni Mtanzania wa kawaida mwenye kuweka mbele maslahi ya taifa.
Nafanya rejea kwa bandiko langu hili la 20th August 2012, wanasema numbers don't lie!, tafiti za number zimeanza kutoka, Nimeipata hii kwa hisani ya Mkuu Ocampo four,Wanabodi,
1. Tatizo kubwa la Watanzania au adui mkubwa wa Tanzania sio CCM, CCM is just the vehicle, haikujiweka hapo ilipo, imewekwa, hivyo tatizo sio CCM iliyowekwa, bali tatizo ni wale walioiweka CCM hapo ilipo!. That simply means, tatizo ni sisi Watanzania tulioiweka CCM madarakani and it plays games on us again and again na sisi tukiendelea kuiweka madarakani again and again and again na sitashangaa kama hata 2015, tukairudisha tena CCM ikulu ya Magogoni!.
14. Voting statistics
Table source
Registered Voters 20,137,303 Total votes 8,626,283 % Turnout 42.84 Valid votes 8,398,394 Spoilt votes 227,889 % Spoilt votes 2.64
Commonwealth 2010, 31.
Results
Table source
Candidate Party Votes % Vote Jakaya Kikwete Chama Cha Mapinduzi (CCM) 5,276,827 62.83 WP Slaa Chama Cha Demokiasia na Maendeleo (CHADEMA) 2,271,941 27.05 Ibrahim Lipumba Civic United Front (CUF) 695,667 8.28 Peter Mziray Kuga Progressive Party of Tanzania (PPT-MAENDELEO) 96,933 1.15 Rungwe Hashim Spunda National Convention for Construction and Reform (NCCR-Mageuzi) 26,388 0.31 Muttamwega Bhatt Mgaywa Tanzania Labour Party (TLP) 17,462 0.21 Yahmi Nassoro Dovutwa
United People's Democratic Party (UPDP) 13,176 0.16 Total
8,398,394 99.99
Commonwealth 2010, 31.
15. Kwa mujibu wa data hizo, JK amechaguliwa kura milioni 5 tuu kati ya watu milioni 40!. Waliojiandikisha ni milioni 20, lakini waliopiga kura ni milioni 8 tuu!, hii inamaanisha kuna watu milioni 12, ambao walijiandikisha lakini hawakupiga kura kwa sababu mbalimbali, ikiwemo wale waliokata tamaa na kuona kupiga kura ni wastage of time, hata upige vipi kura, matokeo ni yale yale lazima CCM ishinde, hivyo kuliko kupoteza muda wakaachana kabisa na kupiga kura!
16. Suppose 2015, Watanzania tutakuwa Milioni 50 wenye sifa za kupiga kura ni milioni 35, hawa wote wakihamasishwa kujiandikisha na kujitokeza kupiga kura, mgombea wa CCM atajipatia kura zao zile milioni 6 za wanachama wao kwa mujibu wa tovuti ya CCM, halafu hizo kura milioni 29 zimuangukie mgombea wa upinzani, hata NEC ya CCM, wachakachue vipi, there will be no way out!, hivyo adui yetu mkubwa sio CCM, bali ni Watanzania wanaipigia kura CCM!.
Wasalaam.
Pasco.
NB. Pasco wa JF, sio mwanachama, mfuasi wala mshabiki wa chama chochote cha siasa, bali ni Mtanzania wa kawaida mwenye kuweka mbele maslahi ya taifa.
Zikiwa zimebaki siku 42 kufikia tarehe 25.10. 2015 siku ya uchaguzi tafiti iliyofanywa na SSSRC imeonyesha kwamba Lowassa anaongoza na atapata kura nyingi kwenye mikoa yenye idadi kubwa ya wapiga kura....
Mikoa hiyo (9) ni Dar es Salaam, Mbeya, Arusha, Mwanza, Kagera, Kigoma, Dodoma, Morogoro, na Tanga ambapo kwa ujumla kuna zaidi ya wapiga kura Millioni 12.1...
Kati ya hao wapiga kura Millioni 12.1 tafiti hiyo inaonyesha (projected) watu Millioni 2.1 hawataweza kupiga kura kutokana na sababu mbalimbali...
Tafiti unaonyesha kwamba katika hiyo mikoa kwa ujumla Lowassa atapata kura Million 6.3 ambayo ni sawa na asilimia 62.9% na kwa upande wa Magufuli atapata kura Millioni 3.28 ambayo ni sawa na asilimia 33%....
Mytake:.. Tafiti ndio njia pekee ya kisayansi inayotoa uhalisia, ni wazi mwaka huu mabadiliko hayaepukiki....
Nafanya rejea kwa bandiko langu hili la 20th August 2012, wanasema numbers don't lie!, tafiti za number zimeanza kutoka, Nimeipata hii kwa hisani ya Mkuu Ocampo four,
Kama utafiti huu ni kweli, numbers don't lie!, then safari imewadia!.
Jumamosi njema.
Pasco
Wanabodi,
Katika thread moja humu jukwaani, nimekutana na mchango wa mwana jf huyu
Kutokana na kauli hiyo, nimekuwa inspired kuandika kidogo kuhusu adui mkuu wa Tanzania wengi wakidhani ni CCM, kumbe sio, bali adui mkuu wa Watanzania ni huyu nimtajae hapa chini na headline imejielekeza kwa Chadema, simply because ndicho chama pekee cha upinzani huku bara, chenye kuonyesha mwelekeo wa matumaini ya uwezekano wa kulipatia taifa letu la Tanzania, ule ukombozi wa pili wa kweli wa Mtanzania!.
Mkuu Jogi, japo umeniomba "Nikubaalie japo mara hii tu kuwa, tatizo linalotumaliza ni zimwi CCM". Samahani sana, sikukubalii, kwa maoni yangu, japo ni kweli CCM ni zimwi, adui sio zimwi, bali wale wanaolifuga hili zimwi na kulipa chakula ili liendelee kuishi!.
1. Tatizo kubwa la Watanzania au adui mkubwa wa Tanzania sio CCM, CCM is just the vehicle, haikujiweka hapo ilipo, imewekwa, hivyo tatizo sio CCM iliyowekwa, bali tatizo ni wale walioiweka CCM hapo ilipo!. That simply means, tatizo ni sisi Watanzania tulioiweka CCM madarakani and it plays games on us again and again na sisi tukiendelea kuiweka madarakani again and again and again na sitashangaa kama hata 2015, tukairudisha tena CCM ikulu ya Magogoni!.
2. Hii dhana ya kudhania adui mkubwa wa Tanzania ni CCM, is a wrong concept, na hili ndilo kosa kubwa la wapinzani, katika chaguzi zote za nyuma wapinzani wanaelekeza nguvu nyingi concentration kubwa ya mashambulizi yote kwa CCM wakibeza tuu CCM haikufanya hiki au kile, huku wakijihesabu CCM ndie adui yao mkubwa, hivyo ku miss the real target ya adui halisi ni nani!.
5. CUF baada ya kujaribu mara 3 ikashindwa, ikaamua kutumia principle ya "if you can't beat them, join them", kwa mara ya 4 katika uchaguzi wa 2010, ikakubali yaishe, ikawajoin ndani ya SUK katika ndoa ya kukubali kutekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM, at the same time, its fighting from within, and it is expected to be hitting them very hard from within, kwa mtindo wa "kikulacho" na kikundi cha "uamsho" ni matokeo chanya ya kipigo hicho kwa serikali ya SUK from within, hivyo kwa 2015 upande wa Zanzibar CUF ni njia nyeupe!.
6. Kwa sasa, angalau Chadema, kupitia M4C, imeshagundua adui halisi anayewakosesha ushindi, na sasa imejielekeza kwa wananchi ambao ndio wenye maamuzi ya mwisho na wamekuwa wakiichagua CCM kwa mazoea tuu, hivyo concentration ikiwekwa kwenye "changing the mindset ya wenye maamuzi, kuacha kuchagua kwa mazoea tuu, bali kuchagua kwa sababu. Wananchi, watafunguka macho, na hawatakuwa na sababu tena ya kuendelea kuichagua CCM!.
7. Ili hili liwezekane, wapinzani wasiwe ni watu wa kulalamika na kulaumu tuu kuhusu CCM, bali sasa wajikite kueleza where CCM does wrong, lakini wao wakiingia, watafanya nini, na kitabadilisha nini, ili wale wanaoichagua CCM kwa mazoea tuu, wapate sababu za msingi za kutoichagua CCM na kuwachagua wapinzani.
8. Mara baada ya uchaguzi wa 2010 na mafanikio makubwa upande wa Chadema, kwenye ile mada yangu ya "CCM Imechokwa, Chadema Haijajipanga", niliwaeleza kuwa wapinzani bado hawajipanga mkao wa kushika dola, lakini kwa kwa sasa kupitia M4C, Chadema wanaonyesha dalili za kujipanga japo bado wanakabiliwa na madhaifu haya na yale, yakiwemo, lile koti la ukanda, udini, ukabila na ubinafsi wa "umimi" etc.
9. Kwa leo naomba nisiingie tena kwenye udini, ukanda na ukabila wa Chadema, bali naomba nijikite kwenye ubinafsi au "umimi" kwa Chadema kujiamini kupita kiasi kuwa peke yao wataweza!, nilisema peke yao hawawezi, na leo nasema te na na tena, "Chadema peke yenu hamuwezi Kuiondoa CCM Madarakani" kwa sababu hili CCM ni dubwana kubwa sana ambalo haliwezi kung'oka bila umoja ambao ni nguvu ya Watanzania wote wenye kuliutakia mema taifa hili.
10. Kabla ya kauli ya majuzi ya Waziri Mkuu, Mhe. Mizengo Pinda kule bungeni, nilikuwa najua ma RC na ma DC ni watendaji wakuu wa serikali mikoani na wilayani baada ya kutenganisha zile kofia mbili za chama kushika hatamu za kuiongoza serikali, kumbe wamevua tuu hizo kofia na kutovaa sare, lakini kiutendaji kumbe wako pale kuhakikisha CCM inatawala milele!, hivyo bila joint foces, hakuna jinsi ya kuipumzisha CCM na ni kweli itatawala milele!.
11. Chadema na wapinzani wengine wote wa ukweli, ni lazima wa join forces kutafuta the common working grounds na wenzenu wengine wote mu work together towards a common enemy hata na nyinyi wenyewe kwa wenyewe lazima mkubali kushirikiana kwa kukubali kutokubaliana kwa hayo madogo madogo lakini lazima mkubaliane kwenye kubwa la msingi kwa kukubali "umoja ni nguvu" vinginevyo matokeo ya 2015 yatakuwa ni yale yale ya, vyama vile vile, na watu wale wale!.
12. Mfano, japo CUF ni mke wa CCM kwa upande wa Zanzibar, hiyo ni "marriage of convinience", hivyo inavunjika wakati wowote "conveniences" zikimalizika, hivyo Chadema inacho kibarua kigumu cha kum..ngoza huyu mke wa mtu kwa kumhakikishia akikubali kutoka nje ya ndoa, yeye sasa hatakuwa mke tena, bali atageuka mume na 2015 ni yeye sasa ndie atageuka kidume na kumuoa huyo mume aliyenae sasa kwa sababu mume huyo ategeuzwa mke!.
13. Hakuna ubishi kuhusu nguvu ya CUF kule Zanzibar na Chadema itake isitake, ipende isipende, ili kujihakikishia njia nyeupe ya kuwa mpangaji wa magogoni kwa 2015, ni lazima ikubali kuisupport ya CUF kwa upande Zanzibar ili CUF nao wakubali kuisupport Chadema huku bara!. Chadema wakae chini na CUF, waainishe maeneo ya strong holds za kila mmoja na kuachiana maeneo hayo ili 2015, kuepuka kumfaidisha kunguru kwa vita vya panzi!.
14. Voting statistics
Table source
Registered Voters
20,137,303 Total votes
8,626,283 % Turnout
42.84 Valid votes
8,398,394 Spoilt votes
227,889 % Spoilt votes
2.64
Commonwealth 2010, 31.
Results
Table source
Candidate
Party Votes % Vote Jakaya Kikwete
Chama Cha Mapinduzi (CCM) 5,276,827 62.83 WP Slaa
Chama Cha Demokiasia na Maendeleo (CHADEMA) 2,271,941 27.05 Ibrahim Lipumba
Civic United Front (CUF) 695,667 8.28 Peter Mziray Kuga
Progressive Party of Tanzania (PPT-MAENDELEO) 96,933 1.15 Rungwe Hashim Spunda
National Convention for Construction and Reform (NCCR-Mageuzi) 26,388 0.31 Muttamwega Bhatt Mgaywa
Tanzania Labour Party (TLP) 17,462 0.21 Yahmi Nassoro Dovutwa
United People's Democratic Party (UPDP) 13,176 0.16 Total
8,398,394 99.99
Commonwealth 2010, 31.
15. Kwa mujibu wa data hizo, JK amechaguliwa kura milioni 5 tuu kati ya watu milioni 40!. Waliojiandikisha ni milioni 20, lakini waliopiga kura ni milioni 8 tuu!, hii inamaanisha kuna watu milioni 12, ambao walijiandikisha lakini hawakupiga kura kwa sababu mbalimbali, ikiwemo wale waliokata tamaa na kuona kupiga kura ni wastage of time, hata upige vipi kura, matokeo ni yale yale lazima CCM ishinde, hivyo kuliko kupoteza muda wakaachana kabisa na kupiga kura!
16. Suppose 2015, Watanzania tutakuwa Milioni 50 wenye sifa za kupiga kura ni milioni 35, hawa wote wakihamasishwa kujiandikisha na kujitokeza kupiga kura, mgombea wa CCM atajipatia kura zao zile milioni 6 za wanachama wao kwa mujibu wa tovuti ya CCM, halafu hizo kura milioni 29 zimuangukie mgombea wa upinzani, hata NEC ya CCM, wachakachue vipi, there will be no way out!, hivyo adui yetu mkubwa sio CCM, bali ni Watanzania wanaipigia kura CCM!.
Wasalaam.
Pasco.
NB. Pasco wa JF, sio mwanachama, mfuasi wala mshabiki wa chama chochote cha siasa, bali ni Mtanzania wa kawaida mwenye kuweka mbele maslahi ya taifa.
Mkuu Zekidon, moja ya majukumu muhimu ya jf ni kuelimisha, katika kuelimishana, utanisaidia sana na kuwasaidia wengine, kama utaonyesha hivyo vitu viwili tofauti kati ya yaliyokwisha fanyika na projections, central theme yangu ni 'watu', 'we the people!", hivyo ukiniambia tofauti iliyopo nitakushukuru!.the numbers dont add up; umehusianisha vitu viwili tofauti; yaliyokwisha fanyika na projection
Nimenote humu watu wakishangilia kila mwanachama mmoja au kiongozi wa CCM akicross kuja upinzani!, uchaguzi wa awamu hii, CCM sio determinant tena!, the determinant ni "we the people!". Nashauri at this point Chadema iache ku deal na kuishambulia tuu CCM, i deal na the ones who matter most, we the people, ituambie itatufanyia nini?!.
Ushindi kwa Chadema kupitia njia ya EL ni mpango wa Mungu, CCM doesn't matter much, but we the people ndio tunaomatter, bado ijaona juhudu za dhati ku deal na sisi tunaomatter much.
Ili kupiga chini CCM, mashambulizi lazima yaelekee kenye the right target to hit the bull!.
P.
Pasco
swPasco,
So far kampeni za Ukawa hadi hivi sasa zina mapungufu kadhaa.
1. Ukawa walipooza sana katika kipindi cha 2014-2015 katika kudai tume huru ya uchaguzi. Nilishangaa sana. Kwa maana tuliaminishwa kutakuwa na juhudi kubwa kuidai. Mhesabu kura na mtangaza matangazo akikugeuka ni tatizo kubwa.
2. Mwaka huu focus ya Ukawa ni ilele. Adui ni CCM. Tunataka mabadiliko CCM itoke..ikishatoka "mengine" yatafuata. Ukiwauliza Ukawa wengi mtaani kwa sauti ya upole "mengine yapi?" na "yatafuatiaje"? Utajibiwa kaa jeuri pisha kule we gamba mwaka huu tutawanyoosha.
Hata ulitoa dukuduku la jinsi Lowassa na Sumaye walivuogeuka majemedari wa Chadema huku wale askari wao machachari wakitoweka majibu uakayopewa ni makali ya yanayoshusha thamani ya utu.
Ukawa wanakosa kura za watu wengi kwa namna hii na inawaacha wapiga kura wengi wasioipenda CCM kwenye mashaka (dilema).
3. Mpaka sasa hakuna anayeongela na kufafanua kwa wananchi Ilani ya Ukawa itatekelezwaje na ahadi za mabadaliko na maendeleo zitafanyikaje.
Vipaumbele 4 vya Lowassa. Sio vipaumbele 4 vya kwenye ilani ya Chadema.
4. Watu tuliaminishwa na Chadema kwa miaka mingi, kuwa Tz si maskini. Ni tajiri sana. Ila maendeleo yake yamedumazwa na ufisadi na ufujaji mkubwa wa mali za umma na raslimali. Hadi leo tumebakia takribani mwezi mmoja kabla ya uchaguzi hakuna anayesema kwa ufasaha...huyu adui aliyetunyonya tunamwondoaje..tunapigana naye vipi....kwahiyo "we the people" tunabaki na mashaka ya hawa nao ni "wale wale" wanaenda kufanya "hii nasi ni zamu yetu".
5. Chadema na Ukawa wamejenga uadui usio na sababu za msingi na " we the people" tulio na mashaka na tunaoihoji njia ya mabadiliko. Katika kutafuta kura ni kama katika kueneza dini (siasa ni imani), nifundishe, nifafanulie, nishawishi. Kura yangu utapata.
Ni hulka ya binadamu ukimdharau na kumbeza hawezi kukupa kilicho chake. Bahati mbaya walichonacho "we the people" safri hii ni "kichinjio". Ukiwabeza na kiwatukana kuwa ni magamba watakutembezea mkasi mpaka uhisi una nuksi ya kukatwa.
Kuna ambao tunajiliwaza na idadi za mafuriko. Tume imeandikisha takribani watu milioni 23 na wanahamasa ya kupiga kura.
Mpaka sasa sidhani kuna ambaye mafuriko yake yamekwisha fikisha watu millioni 11. Kuna watu wengi wasio Ukawa au CCM wako hapo kati kati.
Kwa mfano nimeangalia mafuriko ya Jangwani wakati wa uzinduzi wa kampeni. Sijaona chama chochote kilichokusanya watu milioni 1.5 hapo jangwani. Hakuna chama kilichovuta zaidi ya robo ya wapiga kura kwenye mafuriko yake. Kujiliwaza na mafuriko ni kujihadaa "we the people" wenye vichinjio wengi wetu hatukwenda kwenye mafuriko. Tulikuwa tunakodolea kwenye TV (pale penye umeme) au kukesha JF hadi usalama wa server ukatikisika.
Yes Pasco, "we the people", na katika uchaguzi wa mwaka huu 1 vote is golden.
...................................................Ni kukumbushana tuu to keep the focus, and stay focused not to loose the target!, ibaki kazi moja tuu, tarehe 25 October is to hit the bull! and not to miss it!.
Pasco
Wanabodi,
Mkuu Jogi, japo umeniomba "Nikubaalie japo mara hii tu kuwa, tatizo linalotumaliza ni zimwi CCM". Samahani sana, sikukubalii, kwa maoni yangu, japo ni kweli CCM ni zimwi, adui sio zimwi, bali wale wanaolifuga hili zimwi na kulipa chakula ili liendelee kuishi!.
1. Tatizo kubwa la Watanzania au adui mkubwa wa Tanzania sio CCM, CCM is just the vehicle, haikujiweka hapo ilipo, imewekwa, hivyo tatizo sio CCM iliyowekwa, bali tatizo ni wale walioiweka CCM hapo ilipo!. That simply means, tatizo ni sisi Watanzania tulioiweka CCM madarakani and it plays games on us again and again na sisi tukiendelea kuiweka madarakani again and again and again na sitashangaa kama hata 2015, tukairudisha tena CCM ikulu ya Magogoni!.
16. Suppose 2015, Watanzania tutakuwa Milioni 50 wenye sifa za kupiga kura ni milioni 35, hawa wote wakihamasishwa kujiandikisha na kujitokeza kupiga kura, mgombea wa CCM atajipatia kura zao zile milioni 6 za wanachama wao kwa mujibu wa tovuti ya CCM, halafu hizo kura milioni 29 zimuangukie mgombea wa upinzani, hata NEC ya CCM, wachakachue vipi, there will be no way out!, hivyo adui yetu mkubwa sio CCM, bali ni Watanzania wanaipigia kura CCM!.
Wasalaam.
Pasco.
NB. Pasco wa JF, sio mwanachama, mfuasi wala mshabiki wa chama chochote cha siasa, bali ni Mtanzania wa kawaida mwenye kuweka mbele maslahi ya taifa.
With just 7 days to come, hakuna kipya cha kuwaambia wanabodi, bali ni kukumbushana tuu, tulisema nini, nini kimefanyika, nini kinafanyika sasa, na nini kitafanyika hizo siku 7 zijazo, yaani tarehe 25 October, kiukweli kabisa, sioni jinsi yoyote ya CCM kushinda tena!, Chadema inakwenda kuchukua nchi kiulaini kabisa kama imeokota!, yaani CCM inakwenda kuanguka chini kiulani kabisa kama kumsukuma mlevi!.
Lakini ili hili litimie, ni lazima kila aliyejiandikisha, ajitokeze hiyo tarehe 25, aende kupiga kura na kumchagua Edward Lowassa!.
If "Together wa can!", and "United we Stand", "Victory is ascertain!"
Nawatakia Jumapili njema!.
Pasco
mwaka huu turnout itakuwa kubwa na CCM itashinda kiulaini bila hata goli la mkono.Wanabodi,
Katika thread moja humu jukwaani, nimekutana na mchango wa mwana jf huyu
Kutokana na kauli hiyo, nimekuwa inspired kuandika kidogo kuhusu adui mkuu wa Tanzania wengi wakidhani ni CCM, kumbe sio, bali adui mkuu wa Watanzania ni huyu nimtajae hapa chini na headline imejielekeza kwa Chadema, simply because ndicho chama pekee cha upinzani huku bara, chenye kuonyesha mwelekeo wa matumaini ya uwezekano wa kulipatia taifa letu la Tanzania, ule ukombozi wa pili wa kweli wa Mtanzania!.
Mkuu Jogi, japo umeniomba "Nikubaalie japo mara hii tu kuwa, tatizo linalotumaliza ni zimwi CCM". Samahani sana, sikukubalii, kwa maoni yangu, japo ni kweli CCM ni zimwi, adui sio zimwi, bali wale wanaolifuga hili zimwi na kulipa chakula ili liendelee kuishi!.
1. Tatizo kubwa la Watanzania au adui mkubwa wa Tanzania sio CCM, CCM is just the vehicle, haikujiweka hapo ilipo, imewekwa, hivyo tatizo sio CCM iliyowekwa, bali tatizo ni wale walioiweka CCM hapo ilipo!. That simply means, tatizo ni sisi Watanzania tulioiweka CCM madarakani and it plays games on us again and again na sisi tukiendelea kuiweka madarakani again and again and again na sitashangaa kama hata 2015, tukairudisha tena CCM ikulu ya Magogoni!.
2. Hii dhana ya kudhania adui mkubwa wa Tanzania ni CCM, is a wrong concept, na hili ndilo kosa kubwa la wapinzani, katika chaguzi zote za nyuma wapinzani wanaelekeza nguvu nyingi concentration kubwa ya mashambulizi yote kwa CCM wakibeza tuu CCM haikufanya hiki au kile, huku wakijihesabu CCM ndie adui yao mkubwa, hivyo ku miss the real target ya adui halisi ni nani!.
5. CUF baada ya kujaribu mara 3 ikashindwa, ikaamua kutumia principle ya "if you can't beat them, join them", kwa mara ya 4 katika uchaguzi wa 2010, ikakubali yaishe, ikawajoin ndani ya SUK katika ndoa ya kukubali kutekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM, at the same time, its fighting from within, and it is expected to be hitting them very hard from within, kwa mtindo wa "kikulacho" na kikundi cha "uamsho" ni matokeo chanya ya kipigo hicho kwa serikali ya SUK from within, hivyo kwa 2015 upande wa Zanzibar CUF ni njia nyeupe!.
6. Kwa sasa, angalau Chadema, kupitia M4C, imeshagundua adui halisi anayewakosesha ushindi, na sasa imejielekeza kwa wananchi ambao ndio wenye maamuzi ya mwisho na wamekuwa wakiichagua CCM kwa mazoea tuu, hivyo concentration ikiwekwa kwenye "changing the mindset ya wenye maamuzi, kuacha kuchagua kwa mazoea tuu, bali kuchagua kwa sababu. Wananchi, watafunguka macho, na hawatakuwa na sababu tena ya kuendelea kuichagua CCM!.
7. Ili hili liwezekane, wapinzani wasiwe ni watu wa kulalamika na kulaumu tuu kuhusu CCM, bali sasa wajikite kueleza where CCM does wrong, lakini wao wakiingia, watafanya nini, na kitabadilisha nini, ili wale wanaoichagua CCM kwa mazoea tuu, wapate sababu za msingi za kutoichagua CCM na kuwachagua wapinzani.
8. Mara baada ya uchaguzi wa 2010 na mafanikio makubwa upande wa Chadema, kwenye ile mada yangu ya "CCM Imechokwa, Chadema Haijajipanga", niliwaeleza kuwa wapinzani bado hawajipanga mkao wa kushika dola, lakini kwa kwa sasa kupitia M4C, Chadema wanaonyesha dalili za kujipanga japo bado wanakabiliwa na madhaifu haya na yale, yakiwemo, lile koti la ukanda, udini, ukabila na ubinafsi wa "umimi" etc.
9. Kwa leo naomba nisiingie tena kwenye udini, ukanda na ukabila wa Chadema, bali naomba nijikite kwenye ubinafsi au "umimi" kwa Chadema kujiamini kupita kiasi kuwa peke yao wataweza!, nilisema peke yao hawawezi, na leo nasema te na na tena, "Chadema peke yenu hamuwezi Kuiondoa CCM Madarakani" kwa sababu hili CCM ni dubwana kubwa sana ambalo haliwezi kung'oka bila umoja ambao ni nguvu ya Watanzania wote wenye kuliutakia mema taifa hili.
10. Kabla ya kauli ya majuzi ya Waziri Mkuu, Mhe. Mizengo Pinda kule bungeni, nilikuwa najua ma RC na ma DC ni watendaji wakuu wa serikali mikoani na wilayani baada ya kutenganisha zile kofia mbili za chama kushika hatamu za kuiongoza serikali, kumbe wamevua tuu hizo kofia na kutovaa sare, lakini kiutendaji kumbe wako pale kuhakikisha CCM inatawala milele!, hivyo bila joint foces, hakuna jinsi ya kuipumzisha CCM na ni kweli itatawala milele!.
11. Chadema na wapinzani wengine wote wa ukweli, ni lazima wa join forces kutafuta the common working grounds na wenzenu wengine wote mu work together towards a common enemy hata na nyinyi wenyewe kwa wenyewe lazima mkubali kushirikiana kwa kukubali kutokubaliana kwa hayo madogo madogo lakini lazima mkubaliane kwenye kubwa la msingi kwa kukubali "umoja ni nguvu" vinginevyo matokeo ya 2015 yatakuwa ni yale yale ya, vyama vile vile, na watu wale wale!.
12. Mfano, japo CUF ni mke wa CCM kwa upande wa Zanzibar, hiyo ni "marriage of convinience", hivyo inavunjika wakati wowote "conveniences" zikimalizika, hivyo Chadema inacho kibarua kigumu cha kum..ngoza huyu mke wa mtu kwa kumhakikishia akikubali kutoka nje ya ndoa, yeye sasa hatakuwa mke tena, bali atageuka mume na 2015 ni yeye sasa ndie atageuka kidume na kumuoa huyo mume aliyenae sasa kwa sababu mume huyo ategeuzwa mke!.
13. Hakuna ubishi kuhusu nguvu ya CUF kule Zanzibar na Chadema itake isitake, ipende isipende, ili kujihakikishia njia nyeupe ya kuwa mpangaji wa magogoni kwa 2015, ni lazima ikubali kuisupport ya CUF kwa upande Zanzibar ili CUF nao wakubali kuisupport Chadema huku bara!. Chadema wakae chini na CUF, waainishe maeneo ya strong holds za kila mmoja na kuachiana maeneo hayo ili 2015, kuepuka kumfaidisha kunguru kwa vita vya panzi!.
14. Voting statistics
Table source
Registered Voters
20,137,303 Total votes
8,626,283 % Turnout
42.84 Valid votes
8,398,394 Spoilt votes
227,889 % Spoilt votes
2.64
Commonwealth 2010, 31.
Results
Table source
Candidate
Party Votes % Vote Jakaya Kikwete
Chama Cha Mapinduzi (CCM) 5,276,827 62.83 WP Slaa
Chama Cha Demokiasia na Maendeleo (CHADEMA) 2,271,941 27.05 Ibrahim Lipumba
Civic United Front (CUF) 695,667 8.28 Peter Mziray Kuga
Progressive Party of Tanzania (PPT-MAENDELEO) 96,933 1.15 Rungwe Hashim Spunda
National Convention for Construction and Reform (NCCR-Mageuzi) 26,388 0.31 Muttamwega Bhatt Mgaywa
Tanzania Labour Party (TLP) 17,462 0.21 Yahmi Nassoro Dovutwa
United People's Democratic Party (UPDP) 13,176 0.16 Total
8,398,394 99.99
Commonwealth 2010, 31.
15. Kwa mujibu wa data hizo, JK amechaguliwa kura milioni 5 tuu kati ya watu milioni 40!. Waliojiandikisha ni milioni 20, lakini waliopiga kura ni milioni 8 tuu!, hii inamaanisha kuna watu milioni 12, ambao walijiandikisha lakini hawakupiga kura kwa sababu mbalimbali, ikiwemo wale waliokata tamaa na kuona kupiga kura ni wastage of time, hata upige vipi kura, matokeo ni yale yale lazima CCM ishinde, hivyo kuliko kupoteza muda wakaachana kabisa na kupiga kura!
16. Suppose 2015, Watanzania tutakuwa Milioni 50 wenye sifa za kupiga kura ni milioni 35, hawa wote wakihamasishwa kujiandikisha na kujitokeza kupiga kura, mgombea wa CCM atajipatia kura zao zile milioni 6 za wanachama wao kwa mujibu wa tovuti ya CCM, halafu hizo kura milioni 29 zimuangukie mgombea wa upinzani, hata NEC ya CCM, wachakachue vipi, there will be no way out!, hivyo adui yetu mkubwa sio CCM, bali ni Watanzania wanaipigia kura CCM!.
Wasalaam.
Pasco.
NB. Pasco wa JF, sio mwanachama, mfuasi wala mshabiki wa chama chochote cha siasa, bali ni Mtanzania wa kawaida mwenye kuweka mbele maslahi ya taifa.