Elections 2015 Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM Bali ni ...

Attachments

  • 1426352957629.jpg
    1426352957629.jpg
    54.5 KB · Views: 634
Last edited by a moderator:
Wanabodi,

Katika thread moja humu jukwaani, nimekutana na mchango wa mwana jf huyu



Kutokana na kauli hiyo, nimekuwa inspired kuandika kidogo kuhusu adui mkuu wa Tanzania wengi wakidhani ni CCM, kumbe sio, bali adui mkuu wa Watanzania ni huyu nimtajae hapa chini na headline imejielekeza kwa Chadema, simply because ndicho chama pekee cha upinzani huku bara, chenye kuonyesha mwelekeo wa matumaini ya uwezekano wa kulipatia taifa letu la Tanzania, ule ukombozi wa pili wa kweli wa Mtanzania!.

Mkuu Jogi, japo umeniomba "Nikubaalie japo mara hii tu kuwa, tatizo linalotumaliza ni zimwi CCM". Samahani sana, sikukubalii, kwa maoni yangu, japo ni kweli CCM ni zimwi, adui sio zimwi, bali wale wanaolifuga hili zimwi na kulipa chakula ili liendelee kuishi!.


16. Suppose 2015, Watanzania tutakuwa Milioni 50 wenye sifa za kupiga kura ni milioni 35, hawa wote wakihamasishwa kujiandikisha na kujitokeza kupiga kura, mgombea wa CCM atajipatia kura zao zile milioni 6 za wanachama wao kwa mujibu wa tovuti ya CCM, halafu hizo kura milioni 29 zimuangukie mgombea wa upinzani, hata NEC ya CCM, wachakachue vipi, there will be no way out!, hivyo adui yetu mkubwa sio CCM, bali ni Watanzania wanaipigia kura CCM!.

Wasalaam.

Pasco.

NB. Pasco wa JF, sio mwanachama, mfuasi wala mshabiki wa chama chochote cha siasa, bali ni Mtanzania wa kawaida mwenye kuweka mbele maslahi ya taifa.
Nimenote watu wamehamasika sana na taarifa za UKAWA/Chadema, nimeona niwakumbushe washishangilie hadi ku miss the target, CCM sio target, target watu!, changing the mindset za watu!.

Pasco
 
Pasco, unajua mada zako unazipanga vizuri, unaziandika vizuri na unazifafanua vizuri kwa lugha rahisi kiasi kwamba hata kama kimantiki si kweli watu wengi wanaweza kukubaliana na hoja zako? Ndivyo ilivyo hata kwa hoja yako hii ya leo.

Kiukweli kulekea elfu mbili na kumi na tano adui mkubwa wa Chadema ni…..CCM.

Mimi si mwandishi mzuri hivyo nitaenda straight to the point.

1. Well, kuhusu watanzania kuichagua CCM over and over again, wewe unatarajia nini? The whole system is fine-tuned kuiweka CCM madarakani na kimsingi hilo ndilo linalowapa kiburi baadhi ya wasemaji wa CCM kwamba “CCM ipo ili kutawala milele…” na mwingine kuongeza kwamba “ni heri afe kuliko kuona Chadema inatawala…” We unadhani hii ni exercise in political rhetoric tu? Wanamaanisha wanayoyasema na kiukweli kuna kila sababu ya watawala wetu wa sasa na makada wa CCM kutopata hamu au kuogopa kabisa kuona upinzani unachukua serikali. Sababu zinajulikana.

2. Dhana kwamba adui mkubwa wa watanzania si CCM bali ni sisi wenyewe siyo sahihi sana. Ni kweli kwamba kuna vi element fulani vya utamaduni wa kitanzania vinavyotubakisha sana nyuma lakini adui mkubwa ni yule anayecapitalize kwenye udhaifu wetu ili kuendelea kutunyonya na kutukandamiza. CCM haina huruma, haina tofauti na mkoloni wa kiarabu au kijerumani aliyetumia ukarimu wetu, upole wetu na kukosa elimu kwetu ili kujinufaisha juu ya migongo yetu. Ni kweli, hata hivyo, kwamba njia ya kumshinda adui wa namna hii ni kusambaza elimu ya uraia. Hii inatusaidia sana kuongeza ukali kidogo tunapodai haki zetu za kikatiba na kumpinga hasa pale anapoleta uhuni na ndicho Chadema wanachofanya.

Bwana Zimmerman nimekuvulia kofia kwa maelezo yako mafupi yenye ukweli unaotosheleza kuliko kitabu cha kinafiki cha Pasco. Ni ukweli ulio wazi kuwa adui mkubwa wa watanzania ni ccm na mfumo wao.
 
Wanabodi,

Mkuu Jogi, japo umeniomba "Nikubaalie japo mara hii tu kuwa, tatizo linalotumaliza ni zimwi CCM". Samahani sana, sikukubalii, kwa maoni yangu, japo ni kweli CCM ni zimwi, adui sio zimwi, bali wale wanaolifuga hili zimwi na kulipa chakula ili liendelee kuishi!.

1. Tatizo kubwa la Watanzania au adui mkubwa wa Tanzania sio CCM, CCM is just the vehicle, haikujiweka hapo ilipo, imewekwa, hivyo tatizo sio CCM iliyowekwa, bali tatizo ni wale walioiweka CCM hapo ilipo!. That simply means, tatizo ni sisi Watanzania tulioiweka CCM madarakani and it plays games on us again and again na sisi tukiendelea kuiweka madarakani again and again and again na sitashangaa kama hata 2015, tukairudisha tena CCM ikulu ya Magogoni!.

2. Hii dhana ya kudhania adui mkubwa wa Tanzania ni CCM, is a wrong concept, na hili ndilo kosa kubwa la wapinzani, katika chaguzi zote za nyuma wapinzani wanaelekeza nguvu nyingi concentration kubwa ya mashambulizi yote kwa CCM wakibeza tuu CCM haikufanya hiki au kile, huku wakijihesabu CCM ndie adui yao mkubwa, hivyo ku miss the real target ya adui halisi ni nani!.


16. Suppose 2015, Watanzania tutakuwa Milioni 50 wenye sifa za kupiga kura ni milioni 35, hawa wote wakihamasishwa kujiandikisha na kujitokeza kupiga kura, mgombea wa CCM atajipatia kura zao zile milioni 6 za wanachama wao kwa mujibu wa tovuti ya CCM, halafu hizo kura milioni 29 zimuangukie mgombea wa upinzani, hata NEC ya CCM, wachakachue vipi, there will be no way out!, hivyo adui yetu mkubwa sio CCM, bali ni Watanzania wanaipigia kura CCM!.

Wasalaam.

Pasco.

NB. Pasco wa JF, sio mwanachama, mfuasi wala mshabiki wa chama chochote cha siasa, bali ni Mtanzania wa kawaida mwenye kuweka mbele maslahi ya taifa.

Nimenote humu watu wakishangilia kila mwanachama mmoja au kiongozi wa CCM akicross kuja upinzani!, uchaguzi wa awamu hii, CCM sio determinant tena!, the determinant ni "we the people!". Nashauri at this point Chadema iache ku deal na kuishambulia tuu CCM, i deal na the ones who matter most, we the people, ituambie itatufanyia nini?!.

Ushindi kwa Chadema kupitia njia ya EL ni mpango wa Mungu, CCM doesn't matter much, but we the people ndio tunaomatter, bado ijaona juhudu za dhati ku deal na sisi tunaomatter much.

Ili kupiga chini CCM, mashambulizi lazima yaelekee kenye the right target to hit the bull!.

P.

Pasco
 
Wanabodi,

1. Tatizo kubwa la Watanzania au adui mkubwa wa Tanzania sio CCM, CCM is just the vehicle, haikujiweka hapo ilipo, imewekwa, hivyo tatizo sio CCM iliyowekwa, bali tatizo ni wale walioiweka CCM hapo ilipo!. That simply means, tatizo ni sisi Watanzania tulioiweka CCM madarakani and it plays games on us again and again na sisi tukiendelea kuiweka madarakani again and again and again na sitashangaa kama hata 2015, tukairudisha tena CCM ikulu ya Magogoni!.



14. Voting statistics

Registered Voters20,137,303
Total votes8,626,283
% Turnout42.84
Valid votes8,398,394
Spoilt votes227,889
% Spoilt votes2.64
Table source

Commonwealth 2010, 31.
Results

CandidatePartyVotes% Vote
Jakaya KikweteChama Cha Mapinduzi (CCM)5,276,82762.83
WP SlaaChama Cha Demokiasia na Maendeleo (CHADEMA)2,271,94127.05
Ibrahim LipumbaCivic United Front (CUF)695,6678.28
Peter Mziray KugaProgressive Party of Tanzania (PPT-MAENDELEO)96,9331.15
Rungwe Hashim SpundaNational Convention for Construction and Reform (NCCR-Mageuzi)26,3880.31
Muttamwega Bhatt MgaywaTanzania Labour Party (TLP)17,4620.21
Yahmi Nassoro Dovutwa
United People's Democratic Party (UPDP)13,1760.16
Total
8,398,39499.99
Table source

Commonwealth 2010, 31.

15. Kwa mujibu wa data hizo, JK amechaguliwa kura milioni 5 tuu kati ya watu milioni 40!. Waliojiandikisha ni milioni 20, lakini waliopiga kura ni milioni 8 tuu!, hii inamaanisha kuna watu milioni 12, ambao walijiandikisha lakini hawakupiga kura kwa sababu mbalimbali, ikiwemo wale waliokata tamaa na kuona kupiga kura ni wastage of time, hata upige vipi kura, matokeo ni yale yale lazima CCM ishinde, hivyo kuliko kupoteza muda wakaachana kabisa na kupiga kura!

16. Suppose 2015, Watanzania tutakuwa Milioni 50 wenye sifa za kupiga kura ni milioni 35, hawa wote wakihamasishwa kujiandikisha na kujitokeza kupiga kura, mgombea wa CCM atajipatia kura zao zile milioni 6 za wanachama wao kwa mujibu wa tovuti ya CCM, halafu hizo kura milioni 29 zimuangukie mgombea wa upinzani, hata NEC ya CCM, wachakachue vipi, there will be no way out!, hivyo adui yetu mkubwa sio CCM, bali ni Watanzania wanaipigia kura CCM!.

Wasalaam.

Pasco.

NB. Pasco wa JF, sio mwanachama, mfuasi wala mshabiki wa chama chochote cha siasa, bali ni Mtanzania wa kawaida mwenye kuweka mbele maslahi ya taifa.
Nafanya rejea kwa bandiko langu hili la 20th August 2012, wanasema numbers don't lie!, tafiti za number zimeanza kutoka, Nimeipata hii kwa hisani ya Mkuu Ocampo four,
Zikiwa zimebaki siku 42 kufikia tarehe 25.10. 2015 siku ya uchaguzi tafiti iliyofanywa na SSSRC imeonyesha kwamba Lowassa anaongoza na atapata kura nyingi kwenye mikoa yenye idadi kubwa ya wapiga kura....

Mikoa hiyo (9) ni Dar es Salaam, Mbeya, Arusha, Mwanza, Kagera, Kigoma, Dodoma, Morogoro, na Tanga ambapo kwa ujumla kuna zaidi ya wapiga kura Millioni 12.1...

Kati ya hao wapiga kura Millioni 12.1 tafiti hiyo inaonyesha (projected) watu Millioni 2.1 hawataweza kupiga kura kutokana na sababu mbalimbali...

Tafiti unaonyesha kwamba katika hiyo mikoa kwa ujumla Lowassa atapata kura Million 6.3 ambayo ni sawa na asilimia 62.9% na kwa upande wa Magufuli atapata kura Millioni 3.28 ambayo ni sawa na asilimia 33%....

Mytake:.. Tafiti ndio njia pekee ya kisayansi inayotoa uhalisia, ni wazi mwaka huu mabadiliko hayaepukiki....

Kama utafiti huu ni kweli, numbers don't lie!, then safari imewadia!.
Jumamo
si njema.
Pasco
 
Nafanya rejea kwa bandiko langu hili la 20th August 2012, wanasema numbers don't lie!, tafiti za number zimeanza kutoka, Nimeipata hii kwa hisani ya Mkuu Ocampo four,


Kama utafiti huu ni kweli, numbers don't lie!, then safari imewadia!.
Jumamo
si njema.
Pasco

the numbers dont add up; umehusianisha vitu viwili tofauti; yaliyokwisha fanyika na projection
 
CCM Imetufanya sisi kama taifa kuonekana wajinga mbele ya uso wa dunia. Hivyo hatupaswi kurudia huu ujinga
 
Wanabodi,

Katika thread moja humu jukwaani, nimekutana na mchango wa mwana jf huyu



Kutokana na kauli hiyo, nimekuwa inspired kuandika kidogo kuhusu adui mkuu wa Tanzania wengi wakidhani ni CCM, kumbe sio, bali adui mkuu wa Watanzania ni huyu nimtajae hapa chini na headline imejielekeza kwa Chadema, simply because ndicho chama pekee cha upinzani huku bara, chenye kuonyesha mwelekeo wa matumaini ya uwezekano wa kulipatia taifa letu la Tanzania, ule ukombozi wa pili wa kweli wa Mtanzania!.

Mkuu Jogi, japo umeniomba "Nikubaalie japo mara hii tu kuwa, tatizo linalotumaliza ni zimwi CCM". Samahani sana, sikukubalii, kwa maoni yangu, japo ni kweli CCM ni zimwi, adui sio zimwi, bali wale wanaolifuga hili zimwi na kulipa chakula ili liendelee kuishi!.

1. Tatizo kubwa la Watanzania au adui mkubwa wa Tanzania sio CCM, CCM is just the vehicle, haikujiweka hapo ilipo, imewekwa, hivyo tatizo sio CCM iliyowekwa, bali tatizo ni wale walioiweka CCM hapo ilipo!. That simply means, tatizo ni sisi Watanzania tulioiweka CCM madarakani and it plays games on us again and again na sisi tukiendelea kuiweka madarakani again and again and again na sitashangaa kama hata 2015, tukairudisha tena CCM ikulu ya Magogoni!.

2. Hii dhana ya kudhania adui mkubwa wa Tanzania ni CCM, is a wrong concept, na hili ndilo kosa kubwa la wapinzani, katika chaguzi zote za nyuma wapinzani wanaelekeza nguvu nyingi concentration kubwa ya mashambulizi yote kwa CCM wakibeza tuu CCM haikufanya hiki au kile, huku wakijihesabu CCM ndie adui yao mkubwa, hivyo ku miss the real target ya adui halisi ni nani!.

5. CUF baada ya kujaribu mara 3 ikashindwa, ikaamua kutumia principle ya "if you can't beat them, join them", kwa mara ya 4 katika uchaguzi wa 2010, ikakubali yaishe, ikawajoin ndani ya SUK katika ndoa ya kukubali kutekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM, at the same time, its fighting from within, and it is expected to be hitting them very hard from within, kwa mtindo wa "kikulacho" na kikundi cha "uamsho" ni matokeo chanya ya kipigo hicho kwa serikali ya SUK from within, hivyo kwa 2015 upande wa Zanzibar CUF ni njia nyeupe!.

6. Kwa sasa, angalau Chadema, kupitia M4C, imeshagundua adui halisi anayewakosesha ushindi, na sasa imejielekeza kwa wananchi ambao ndio wenye maamuzi ya mwisho na wamekuwa wakiichagua CCM kwa mazoea tuu, hivyo concentration ikiwekwa kwenye "changing the mindset ya wenye maamuzi, kuacha kuchagua kwa mazoea tuu, bali kuchagua kwa sababu. Wananchi, watafunguka macho, na hawatakuwa na sababu tena ya kuendelea kuichagua CCM!.

7. Ili hili liwezekane, wapinzani wasiwe ni watu wa kulalamika na kulaumu tuu kuhusu CCM, bali sasa wajikite kueleza where CCM does wrong, lakini wao wakiingia, watafanya nini, na kitabadilisha nini, ili wale wanaoichagua CCM kwa mazoea tuu, wapate sababu za msingi za kutoichagua CCM na kuwachagua wapinzani.

8. Mara baada ya uchaguzi wa 2010 na mafanikio makubwa upande wa Chadema, kwenye ile mada yangu ya "CCM Imechokwa, Chadema Haijajipanga", niliwaeleza kuwa wapinzani bado hawajipanga mkao wa kushika dola, lakini kwa kwa sasa kupitia M4C, Chadema wanaonyesha dalili za kujipanga japo bado wanakabiliwa na madhaifu haya na yale, yakiwemo, lile koti la ukanda, udini, ukabila na ubinafsi wa "umimi" etc.

9. Kwa leo naomba nisiingie tena kwenye udini, ukanda na ukabila wa Chadema, bali naomba nijikite kwenye ubinafsi au "umimi" kwa Chadema kujiamini kupita kiasi kuwa peke yao wataweza!, nilisema peke yao hawawezi, na leo nasema te na na tena, "Chadema peke yenu hamuwezi Kuiondoa CCM Madarakani" kwa sababu hili CCM ni dubwana kubwa sana ambalo haliwezi kung'oka bila umoja ambao ni nguvu ya Watanzania wote wenye kuliutakia mema taifa hili.

10. Kabla ya kauli ya majuzi ya Waziri Mkuu, Mhe. Mizengo Pinda kule bungeni, nilikuwa najua ma RC na ma DC ni watendaji wakuu wa serikali mikoani na wilayani baada ya kutenganisha zile kofia mbili za chama kushika hatamu za kuiongoza serikali, kumbe wamevua tuu hizo kofia na kutovaa sare, lakini kiutendaji kumbe wako pale kuhakikisha CCM inatawala milele!, hivyo bila joint foces, hakuna jinsi ya kuipumzisha CCM na ni kweli itatawala milele!.

11. Chadema na wapinzani wengine wote wa ukweli, ni lazima wa join forces kutafuta the common working grounds na wenzenu wengine wote mu work together towards a common enemy hata na nyinyi wenyewe kwa wenyewe lazima mkubali kushirikiana kwa kukubali kutokubaliana kwa hayo madogo madogo lakini lazima mkubaliane kwenye kubwa la msingi kwa kukubali "umoja ni nguvu" vinginevyo matokeo ya 2015 yatakuwa ni yale yale ya, vyama vile vile, na watu wale wale!.

12. Mfano, japo CUF ni mke wa CCM kwa upande wa Zanzibar, hiyo ni "marriage of convinience", hivyo inavunjika wakati wowote "conveniences" zikimalizika, hivyo Chadema inacho kibarua kigumu cha kum..ngoza huyu mke wa mtu kwa kumhakikishia akikubali kutoka nje ya ndoa, yeye sasa hatakuwa mke tena, bali atageuka mume na 2015 ni yeye sasa ndie atageuka kidume na kumuoa huyo mume aliyenae sasa kwa sababu mume huyo ategeuzwa mke!.

13. Hakuna ubishi kuhusu nguvu ya CUF kule Zanzibar na Chadema itake isitake, ipende isipende, ili kujihakikishia njia nyeupe ya kuwa mpangaji wa magogoni kwa 2015, ni lazima ikubali kuisupport ya CUF kwa upande Zanzibar ili CUF nao wakubali kuisupport Chadema huku bara!. Chadema wakae chini na CUF, waainishe maeneo ya strong holds za kila mmoja na kuachiana maeneo hayo ili 2015, kuepuka kumfaidisha kunguru kwa vita vya panzi!.

14. Voting statistics

Registered Voters
20,137,303
Total votes
8,626,283
% Turnout
42.84
Valid votes
8,398,394
Spoilt votes
227,889
% Spoilt votes
2.64
Table source

Commonwealth 2010, 31.
Results

Candidate
PartyVotes% Vote
Jakaya Kikwete
Chama Cha Mapinduzi (CCM)5,276,82762.83
WP Slaa
Chama Cha Demokiasia na Maendeleo (CHADEMA)2,271,94127.05
Ibrahim Lipumba
Civic United Front (CUF)695,6678.28
Peter Mziray Kuga
Progressive Party of Tanzania (PPT-MAENDELEO)96,9331.15
Rungwe Hashim Spunda
National Convention for Construction and Reform (NCCR-Mageuzi)26,3880.31
Muttamwega Bhatt Mgaywa
Tanzania Labour Party (TLP)17,4620.21
Yahmi Nassoro Dovutwa
United People's Democratic Party (UPDP)13,1760.16
Total

8,398,39499.99
Table source

Commonwealth 2010, 31.

15. Kwa mujibu wa data hizo, JK amechaguliwa kura milioni 5 tuu kati ya watu milioni 40!. Waliojiandikisha ni milioni 20, lakini waliopiga kura ni milioni 8 tuu!, hii inamaanisha kuna watu milioni 12, ambao walijiandikisha lakini hawakupiga kura kwa sababu mbalimbali, ikiwemo wale waliokata tamaa na kuona kupiga kura ni wastage of time, hata upige vipi kura, matokeo ni yale yale lazima CCM ishinde, hivyo kuliko kupoteza muda wakaachana kabisa na kupiga kura!

16. Suppose 2015, Watanzania tutakuwa Milioni 50 wenye sifa za kupiga kura ni milioni 35, hawa wote wakihamasishwa kujiandikisha na kujitokeza kupiga kura, mgombea wa CCM atajipatia kura zao zile milioni 6 za wanachama wao kwa mujibu wa tovuti ya CCM, halafu hizo kura milioni 29 zimuangukie mgombea wa upinzani, hata NEC ya CCM, wachakachue vipi, there will be no way out!, hivyo adui yetu mkubwa sio CCM, bali ni Watanzania wanaipigia kura CCM!.

Wasalaam.

Pasco.

NB. Pasco wa JF, sio mwanachama, mfuasi wala mshabiki wa chama chochote cha siasa, bali ni Mtanzania wa kawaida mwenye kuweka mbele maslahi ya taifa.


Wananchi Wa Tanzania wametawaliwa na
1)ujinga
2)ushamba
3)ushabiki na kutojiamini
4)kuishi kwa mazoea kutokana na kutowekwa wazi kuhusu tuko katika capitalism au socialism
5)uswahili we angalia vizuri waswahili wengi sana wanapenda taarabu ndo maana ccm wanatumia taarabu kuwa konga nyoyo zao
6) ukosefu Wa elimu na hata waliosoma bado hawajaelimika wanakosa exposure
7)uvivu Wa kufikiria na uwoga uliopitiliza
8)unafiki na umbea Wa hali ya juu


Hizo ndo sababu Kuu za ccm kutawala hapa bongo hizo zikipanguliwa ccm haitakuwepo na hata upinzani ukishika taifa litaendelea otherwise tutapiga marktime sanaaa

My take:- mtoa mada piga ela kivyako achana na wajinga wakija kistuka too late
 
the numbers dont add up; umehusianisha vitu viwili tofauti; yaliyokwisha fanyika na projection
Mkuu Zekidon, moja ya majukumu muhimu ya jf ni kuelimisha, katika kuelimishana, utanisaidia sana na kuwasaidia wengine, kama utaonyesha hivyo vitu viwili tofauti kati ya yaliyokwisha fanyika na projections, central theme yangu ni 'watu', 'we the people!", hivyo ukiniambia tofauti iliyopo nitakushukuru!.

Pasco
 
Nimenote humu watu wakishangilia kila mwanachama mmoja au kiongozi wa CCM akicross kuja upinzani!, uchaguzi wa awamu hii, CCM sio determinant tena!, the determinant ni "we the people!". Nashauri at this point Chadema iache ku deal na kuishambulia tuu CCM, i deal na the ones who matter most, we the people, ituambie itatufanyia nini?!.

Ushindi kwa Chadema kupitia njia ya EL ni mpango wa Mungu, CCM doesn't matter much, but we the people ndio tunaomatter, bado ijaona juhudu za dhati ku deal na sisi tunaomatter much.

Ili kupiga chini CCM, mashambulizi lazima yaelekee kenye the right target to hit the bull!.

P.

Pasco

Pasco,

So far kampeni za Ukawa hadi hivi sasa zina mapungufu kadhaa.

1. Ukawa walipooza sana katika kipindi cha 2014-2015 katika kudai tume huru ya uchaguzi. Nilishangaa sana. Kwa maana tuliaminishwa kutakuwa na juhudi kubwa kuidai. Mhesabu kura na mtangaza matangazo akikugeuka ni tatizo kubwa.

2. Mwaka huu focus ya Ukawa ni ilele. Adui ni CCM. Tunataka mabadiliko CCM itoke..ikishatoka "mengine" yatafuata. Ukiwauliza Ukawa wengi mtaani kwa sauti ya upole "mengine yapi?" na "yatafuatiaje"? Utajibiwa kaa jeuri pisha kule we gamba mwaka huu tutawanyoosha.
Hata ulitoa dukuduku la jinsi Lowassa na Sumaye walivuogeuka majemedari wa Chadema huku wale askari wao machachari wakitoweka majibu uakayopewa ni makali ya yanayoshusha thamani ya utu.

Ukawa wanakosa kura za watu wengi kwa namna hii na inawaacha wapiga kura wengi wasioipenda CCM kwenye mashaka (dilema).

3. Mpaka sasa hakuna anayeongela na kufafanua kwa wananchi Ilani ya Ukawa itatekelezwaje na ahadi za mabadaliko na maendeleo zitafanyikaje.

Vipaumbele 4 vya Lowassa. Sio vipaumbele 4 vya kwenye ilani ya Chadema.

4. Watu tuliaminishwa na Chadema kwa miaka mingi, kuwa Tz si maskini. Ni tajiri sana. Ila maendeleo yake yamedumazwa na ufisadi na ufujaji mkubwa wa mali za umma na raslimali. Hadi leo tumebakia takribani mwezi mmoja kabla ya uchaguzi hakuna anayesema kwa ufasaha...huyu adui aliyetunyonya tunamwondoaje..tunapigana naye vipi....kwahiyo "we the people" tunabaki na mashaka ya hawa nao ni "wale wale" wanaenda kufanya "hii nasi ni zamu yetu".

5. Chadema na Ukawa wamejenga uadui usio na sababu za msingi na " we the people" tulio na mashaka na tunaoihoji njia ya mabadiliko. Katika kutafuta kura ni kama katika kueneza dini (siasa ni imani), nifundishe, nifafanulie, nishawishi. Kura yangu utapata.

Ni hulka ya binadamu ukimdharau na kumbeza hawezi kukupa kilicho chake. Bahati mbaya walichonacho "we the people" safri hii ni "kichinjio". Ukiwabeza na kiwatukana kuwa ni magamba watakutembezea mkasi mpaka uhisi una nuksi ya kukatwa.

Kuna ambao tunajiliwaza na idadi za mafuriko. Tume imeandikisha takribani watu milioni 23 na wanahamasa ya kupiga kura.
Mpaka sasa sidhani kuna ambaye mafuriko yake yamekwisha fikisha watu millioni 11. Kuna watu wengi wasio Ukawa au CCM wako hapo kati kati.

Kwa mfano nimeangalia mafuriko ya Jangwani wakati wa uzinduzi wa kampeni. Sijaona chama chochote kilichokusanya watu milioni 1.5 hapo jangwani. Hakuna chama kilichovuta zaidi ya robo ya wapiga kura kwenye mafuriko yake. Kujiliwaza na mafuriko ni kujihadaa "we the people" wenye vichinjio wengi wetu hatukwenda kwenye mafuriko. Tulikuwa tunakodolea kwenye TV (pale penye umeme) au kukesha JF hadi usalama wa server ukatikisika.

Yes Pasco, "we the people", na katika uchaguzi wa mwaka huu 1 vote is golden.
 
Pasco,

So far kampeni za Ukawa hadi hivi sasa zina mapungufu kadhaa.

1. Ukawa walipooza sana katika kipindi cha 2014-2015 katika kudai tume huru ya uchaguzi. Nilishangaa sana. Kwa maana tuliaminishwa kutakuwa na juhudi kubwa kuidai. Mhesabu kura na mtangaza matangazo akikugeuka ni tatizo kubwa.

2. Mwaka huu focus ya Ukawa ni ilele. Adui ni CCM. Tunataka mabadiliko CCM itoke..ikishatoka "mengine" yatafuata. Ukiwauliza Ukawa wengi mtaani kwa sauti ya upole "mengine yapi?" na "yatafuatiaje"? Utajibiwa kaa jeuri pisha kule we gamba mwaka huu tutawanyoosha.
Hata ulitoa dukuduku la jinsi Lowassa na Sumaye walivuogeuka majemedari wa Chadema huku wale askari wao machachari wakitoweka majibu uakayopewa ni makali ya yanayoshusha thamani ya utu.

Ukawa wanakosa kura za watu wengi kwa namna hii na inawaacha wapiga kura wengi wasioipenda CCM kwenye mashaka (dilema).

3. Mpaka sasa hakuna anayeongela na kufafanua kwa wananchi Ilani ya Ukawa itatekelezwaje na ahadi za mabadaliko na maendeleo zitafanyikaje.

Vipaumbele 4 vya Lowassa. Sio vipaumbele 4 vya kwenye ilani ya Chadema.

4. Watu tuliaminishwa na Chadema kwa miaka mingi, kuwa Tz si maskini. Ni tajiri sana. Ila maendeleo yake yamedumazwa na ufisadi na ufujaji mkubwa wa mali za umma na raslimali. Hadi leo tumebakia takribani mwezi mmoja kabla ya uchaguzi hakuna anayesema kwa ufasaha...huyu adui aliyetunyonya tunamwondoaje..tunapigana naye vipi....kwahiyo "we the people" tunabaki na mashaka ya hawa nao ni "wale wale" wanaenda kufanya "hii nasi ni zamu yetu".

5. Chadema na Ukawa wamejenga uadui usio na sababu za msingi na " we the people" tulio na mashaka na tunaoihoji njia ya mabadiliko. Katika kutafuta kura ni kama katika kueneza dini (siasa ni imani), nifundishe, nifafanulie, nishawishi. Kura yangu utapata.

Ni hulka ya binadamu ukimdharau na kumbeza hawezi kukupa kilicho chake. Bahati mbaya walichonacho "we the people" safri hii ni "kichinjio". Ukiwabeza na kiwatukana kuwa ni magamba watakutembezea mkasi mpaka uhisi una nuksi ya kukatwa.

Kuna ambao tunajiliwaza na idadi za mafuriko. Tume imeandikisha takribani watu milioni 23 na wanahamasa ya kupiga kura.
Mpaka sasa sidhani kuna ambaye mafuriko yake yamekwisha fikisha watu millioni 11. Kuna watu wengi wasio Ukawa au CCM wako hapo kati kati.

Kwa mfano nimeangalia mafuriko ya Jangwani wakati wa uzinduzi wa kampeni. Sijaona chama chochote kilichokusanya watu milioni 1.5 hapo jangwani. Hakuna chama kilichovuta zaidi ya robo ya wapiga kura kwenye mafuriko yake. Kujiliwaza na mafuriko ni kujihadaa "we the people" wenye vichinjio wengi wetu hatukwenda kwenye mafuriko. Tulikuwa tunakodolea kwenye TV (pale penye umeme) au kukesha JF hadi usalama wa server ukatikisika.

Yes Pasco, "we the people", na katika uchaguzi wa mwaka huu 1 vote is golden.
sw

Mkuu Jozi 1, kwanza asante sana kwa objectivity kwenye bandiko lako hili!. Ukipata nafasi, pitia baadhi ya nyuzi hizi kuhusu Chadema na ushindi wa uchaguzi wa October,'15.
Bada ya uchaguzi wa 2010, niliibuka humu na uzi huu
[h=3]CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga![/h] nikashauri kuchoka kwa CCM, Chadema ikutumie kama fursa, niliishia kubezwa!.
[h=3]Yametimia!, CCM Imechokwa!, CHADEMA Njia Nyeupe 2015!
[/h]Chadema walipohubiri mfuko wa cement utakuwa 5,000 na kutoa elimu bure hadi chuo kikuu na afya bure nikashauri, sasa watuletee wachumi watukokotolee uwezekano huo kiuchumi!, kwa kuonyesha CCM inakusanya kiasi hiki, inatumia vibaya kiasi hiki, ubadhirifu wa kiasi hiki, umefanya ufisadi wa kiasi hiki!, hivyo Chadema ikiingia, vyanzo vya mapato vitakua hivi, tutabana matumizi kwenye maeneo haya, hivyo tutaokoa kiasi hiki!, mahitaji ya cement ni haya, hivyo tutatamia kiasi hiki kama ruzuku!, mahitaji ya afya na elimu bure hadi chuo kikuu ni haya hivyo tutatumia kiasi hiki kugharimia afya na elimu!, hili halikufanyika!. Nilishauri Chadema iwape wananchi reasons za kuichagua besides kuchokwa kwa CCM!.
[h=3]Kuelekea 2015: Kama CCM Itamsimamisha Edward Lowassa
[/h]Pia nikaeleza
[h=3]Kuelekea 2015: Chadema Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!...
[/h]siku ile ya mafuriko ya Ukawa Jangani, nilipita pale na kukuta watu wamewehuka na Lowassa, ila ukiwauliza sababu, why Lowassa, hawana sababu!, just Lowassa!.

Hivyo ushindi wa Lowassa utatokana na the 'spirit of victory' iliochochewa na the 'wind of change' which is sweeping accross Tanzania, watu wameichoka CCM for a reason, sasa wanataka mabadiliko, ila ataichagua Chadema na kumchagua Lowassa for no reasons at all!, just that!.
[h=3]Kuelekea Octoba 2015: Je, Hii "Vox Populi" ni "Vox Dei?"
[/h]Pasco
 
Ni kukumbushana tuu to keep the focus, and stay focused not to loose the target!, ibaki kazi moja tuu, tarehe 25 October is to hit the bull! and not to miss it!.

Pasco
 
Ni kukumbushana tuu to keep the focus, and stay focused not to loose the target!, ibaki kazi moja tuu, tarehe 25 October is to hit the bull! and not to miss it!.

Pasco
...................................................
 
Wanabodi,
Mkuu Jogi, japo umeniomba "Nikubaalie japo mara hii tu kuwa, tatizo linalotumaliza ni zimwi CCM". Samahani sana, sikukubalii, kwa maoni yangu, japo ni kweli CCM ni zimwi, adui sio zimwi, bali wale wanaolifuga hili zimwi na kulipa chakula ili liendelee kuishi!.

1. Tatizo kubwa la Watanzania au adui mkubwa wa Tanzania sio CCM, CCM is just the vehicle, haikujiweka hapo ilipo, imewekwa, hivyo tatizo sio CCM iliyowekwa, bali tatizo ni wale walioiweka CCM hapo ilipo!. That simply means, tatizo ni sisi Watanzania tulioiweka CCM madarakani and it plays games on us again and again na sisi tukiendelea kuiweka madarakani again and again and again na sitashangaa kama hata 2015, tukairudisha tena CCM ikulu ya Magogoni!.


16. Suppose 2015, Watanzania tutakuwa Milioni 50 wenye sifa za kupiga kura ni milioni 35, hawa wote wakihamasishwa kujiandikisha na kujitokeza kupiga kura, mgombea wa CCM atajipatia kura zao zile milioni 6 za wanachama wao kwa mujibu wa tovuti ya CCM, halafu hizo kura milioni 29 zimuangukie mgombea wa upinzani, hata NEC ya CCM, wachakachue vipi, there will be no way out!, hivyo adui yetu mkubwa sio CCM, bali ni Watanzania wanaipigia kura CCM!.

Wasalaam.

Pasco.

NB. Pasco wa JF, sio mwanachama, mfuasi wala mshabiki wa chama chochote cha siasa, bali ni Mtanzania wa kawaida mwenye kuweka mbele maslahi ya taifa.

With just 7 days to come, hakuna kipya cha kuwaambia wanabodi, bali ni kukumbushana tuu, tulisema nini, nini kimefanyika, nini kinafanyika sasa, na nini kitafanyika hizo siku 7 zijazo, yaani tarehe 25 October, kiukweli kabisa, sioni jinsi yoyote ya CCM kushinda tena!, Chadema inakwenda kuchukua nchi kiulaini kabisa kama imeokota!, yaani CCM inakwenda kuanguka chini kiulani kabisa kama kumsukuma mlevi!.

Lakini ili hili litimie, ni lazima kila aliyejiandikisha, ajitokeze hiyo tarehe 25, aende kupiga kura na kumchagua Edward Lowassa!.

If "Together wa can!", and "United we Stand", "Victory is ascertain!"

Nawatakia Jumapili njema!.

Pasco
 

With just 7 days to come, hakuna kipya cha kuwaambia wanabodi, bali ni kukumbushana tuu, tulisema nini, nini kimefanyika, nini kinafanyika sasa, na nini kitafanyika hizo siku 7 zijazo, yaani tarehe 25 October, kiukweli kabisa, sioni jinsi yoyote ya CCM kushinda tena!, Chadema inakwenda kuchukua nchi kiulaini kabisa kama imeokota!, yaani CCM inakwenda kuanguka chini kiulani kabisa kama kumsukuma mlevi!.

Lakini ili hili litimie, ni lazima kila aliyejiandikisha, ajitokeze hiyo tarehe 25, aende kupiga kura na kumchagua Edward Lowassa!.

If "Together wa can!", and "United we Stand", "Victory is ascertain!"

Nawatakia Jumapili njema!.

Pasco

Pasco Unaumwa na ugonjwa wako ni wa mahaba niue....Lowasa hapiti...na haamtakua rais wa nchi yoyote hapa duniani
 
Mkuu unatakiwa sasa upewe heshima ya 'Muandishi Nguli'.

Hoja yako ya mwaka 2012 inageuka hali halisi ya sasa. Hongera.
 
Wanabodi,

Katika thread moja humu jukwaani, nimekutana na mchango wa mwana jf huyu



Kutokana na kauli hiyo, nimekuwa inspired kuandika kidogo kuhusu adui mkuu wa Tanzania wengi wakidhani ni CCM, kumbe sio, bali adui mkuu wa Watanzania ni huyu nimtajae hapa chini na headline imejielekeza kwa Chadema, simply because ndicho chama pekee cha upinzani huku bara, chenye kuonyesha mwelekeo wa matumaini ya uwezekano wa kulipatia taifa letu la Tanzania, ule ukombozi wa pili wa kweli wa Mtanzania!.

Mkuu Jogi, japo umeniomba "Nikubaalie japo mara hii tu kuwa, tatizo linalotumaliza ni zimwi CCM". Samahani sana, sikukubalii, kwa maoni yangu, japo ni kweli CCM ni zimwi, adui sio zimwi, bali wale wanaolifuga hili zimwi na kulipa chakula ili liendelee kuishi!.

1. Tatizo kubwa la Watanzania au adui mkubwa wa Tanzania sio CCM, CCM is just the vehicle, haikujiweka hapo ilipo, imewekwa, hivyo tatizo sio CCM iliyowekwa, bali tatizo ni wale walioiweka CCM hapo ilipo!. That simply means, tatizo ni sisi Watanzania tulioiweka CCM madarakani and it plays games on us again and again na sisi tukiendelea kuiweka madarakani again and again and again na sitashangaa kama hata 2015, tukairudisha tena CCM ikulu ya Magogoni!.

2. Hii dhana ya kudhania adui mkubwa wa Tanzania ni CCM, is a wrong concept, na hili ndilo kosa kubwa la wapinzani, katika chaguzi zote za nyuma wapinzani wanaelekeza nguvu nyingi concentration kubwa ya mashambulizi yote kwa CCM wakibeza tuu CCM haikufanya hiki au kile, huku wakijihesabu CCM ndie adui yao mkubwa, hivyo ku miss the real target ya adui halisi ni nani!.

5. CUF baada ya kujaribu mara 3 ikashindwa, ikaamua kutumia principle ya "if you can't beat them, join them", kwa mara ya 4 katika uchaguzi wa 2010, ikakubali yaishe, ikawajoin ndani ya SUK katika ndoa ya kukubali kutekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM, at the same time, its fighting from within, and it is expected to be hitting them very hard from within, kwa mtindo wa "kikulacho" na kikundi cha "uamsho" ni matokeo chanya ya kipigo hicho kwa serikali ya SUK from within, hivyo kwa 2015 upande wa Zanzibar CUF ni njia nyeupe!.

6. Kwa sasa, angalau Chadema, kupitia M4C, imeshagundua adui halisi anayewakosesha ushindi, na sasa imejielekeza kwa wananchi ambao ndio wenye maamuzi ya mwisho na wamekuwa wakiichagua CCM kwa mazoea tuu, hivyo concentration ikiwekwa kwenye "changing the mindset ya wenye maamuzi, kuacha kuchagua kwa mazoea tuu, bali kuchagua kwa sababu. Wananchi, watafunguka macho, na hawatakuwa na sababu tena ya kuendelea kuichagua CCM!.

7. Ili hili liwezekane, wapinzani wasiwe ni watu wa kulalamika na kulaumu tuu kuhusu CCM, bali sasa wajikite kueleza where CCM does wrong, lakini wao wakiingia, watafanya nini, na kitabadilisha nini, ili wale wanaoichagua CCM kwa mazoea tuu, wapate sababu za msingi za kutoichagua CCM na kuwachagua wapinzani.

8. Mara baada ya uchaguzi wa 2010 na mafanikio makubwa upande wa Chadema, kwenye ile mada yangu ya "CCM Imechokwa, Chadema Haijajipanga", niliwaeleza kuwa wapinzani bado hawajipanga mkao wa kushika dola, lakini kwa kwa sasa kupitia M4C, Chadema wanaonyesha dalili za kujipanga japo bado wanakabiliwa na madhaifu haya na yale, yakiwemo, lile koti la ukanda, udini, ukabila na ubinafsi wa "umimi" etc.

9. Kwa leo naomba nisiingie tena kwenye udini, ukanda na ukabila wa Chadema, bali naomba nijikite kwenye ubinafsi au "umimi" kwa Chadema kujiamini kupita kiasi kuwa peke yao wataweza!, nilisema peke yao hawawezi, na leo nasema te na na tena, "Chadema peke yenu hamuwezi Kuiondoa CCM Madarakani" kwa sababu hili CCM ni dubwana kubwa sana ambalo haliwezi kung'oka bila umoja ambao ni nguvu ya Watanzania wote wenye kuliutakia mema taifa hili.

10. Kabla ya kauli ya majuzi ya Waziri Mkuu, Mhe. Mizengo Pinda kule bungeni, nilikuwa najua ma RC na ma DC ni watendaji wakuu wa serikali mikoani na wilayani baada ya kutenganisha zile kofia mbili za chama kushika hatamu za kuiongoza serikali, kumbe wamevua tuu hizo kofia na kutovaa sare, lakini kiutendaji kumbe wako pale kuhakikisha CCM inatawala milele!, hivyo bila joint foces, hakuna jinsi ya kuipumzisha CCM na ni kweli itatawala milele!.

11. Chadema na wapinzani wengine wote wa ukweli, ni lazima wa join forces kutafuta the common working grounds na wenzenu wengine wote mu work together towards a common enemy hata na nyinyi wenyewe kwa wenyewe lazima mkubali kushirikiana kwa kukubali kutokubaliana kwa hayo madogo madogo lakini lazima mkubaliane kwenye kubwa la msingi kwa kukubali "umoja ni nguvu" vinginevyo matokeo ya 2015 yatakuwa ni yale yale ya, vyama vile vile, na watu wale wale!.

12. Mfano, japo CUF ni mke wa CCM kwa upande wa Zanzibar, hiyo ni "marriage of convinience", hivyo inavunjika wakati wowote "conveniences" zikimalizika, hivyo Chadema inacho kibarua kigumu cha kum..ngoza huyu mke wa mtu kwa kumhakikishia akikubali kutoka nje ya ndoa, yeye sasa hatakuwa mke tena, bali atageuka mume na 2015 ni yeye sasa ndie atageuka kidume na kumuoa huyo mume aliyenae sasa kwa sababu mume huyo ategeuzwa mke!.

13. Hakuna ubishi kuhusu nguvu ya CUF kule Zanzibar na Chadema itake isitake, ipende isipende, ili kujihakikishia njia nyeupe ya kuwa mpangaji wa magogoni kwa 2015, ni lazima ikubali kuisupport ya CUF kwa upande Zanzibar ili CUF nao wakubali kuisupport Chadema huku bara!. Chadema wakae chini na CUF, waainishe maeneo ya strong holds za kila mmoja na kuachiana maeneo hayo ili 2015, kuepuka kumfaidisha kunguru kwa vita vya panzi!.

14. Voting statistics

Registered Voters
20,137,303
Total votes
8,626,283
% Turnout
42.84
Valid votes
8,398,394
Spoilt votes
227,889
% Spoilt votes
2.64
Table source

Commonwealth 2010, 31.
Results

Candidate
PartyVotes% Vote
Jakaya Kikwete
Chama Cha Mapinduzi (CCM)5,276,82762.83
WP Slaa
Chama Cha Demokiasia na Maendeleo (CHADEMA)2,271,94127.05
Ibrahim Lipumba
Civic United Front (CUF)695,6678.28
Peter Mziray Kuga
Progressive Party of Tanzania (PPT-MAENDELEO)96,9331.15
Rungwe Hashim Spunda
National Convention for Construction and Reform (NCCR-Mageuzi)26,3880.31
Muttamwega Bhatt Mgaywa
Tanzania Labour Party (TLP)17,4620.21
Yahmi Nassoro Dovutwa
United People's Democratic Party (UPDP)13,1760.16
Total

8,398,39499.99
Table source

Commonwealth 2010, 31.

15. Kwa mujibu wa data hizo, JK amechaguliwa kura milioni 5 tuu kati ya watu milioni 40!. Waliojiandikisha ni milioni 20, lakini waliopiga kura ni milioni 8 tuu!, hii inamaanisha kuna watu milioni 12, ambao walijiandikisha lakini hawakupiga kura kwa sababu mbalimbali, ikiwemo wale waliokata tamaa na kuona kupiga kura ni wastage of time, hata upige vipi kura, matokeo ni yale yale lazima CCM ishinde, hivyo kuliko kupoteza muda wakaachana kabisa na kupiga kura!

16. Suppose 2015, Watanzania tutakuwa Milioni 50 wenye sifa za kupiga kura ni milioni 35, hawa wote wakihamasishwa kujiandikisha na kujitokeza kupiga kura, mgombea wa CCM atajipatia kura zao zile milioni 6 za wanachama wao kwa mujibu wa tovuti ya CCM, halafu hizo kura milioni 29 zimuangukie mgombea wa upinzani, hata NEC ya CCM, wachakachue vipi, there will be no way out!, hivyo adui yetu mkubwa sio CCM, bali ni Watanzania wanaipigia kura CCM!.

Wasalaam.

Pasco.

NB. Pasco wa JF, sio mwanachama, mfuasi wala mshabiki wa chama chochote cha siasa, bali ni Mtanzania wa kawaida mwenye kuweka mbele maslahi ya taifa.
mwaka huu turnout itakuwa kubwa na CCM itashinda kiulaini bila hata goli la mkono.
 
Back
Top Bottom