Kudos ndalichako. Mitihani haivuji

Nyakageni

JF-Expert Member
Feb 1, 2011
15,045
5,092
Natoa pongezi za pekee kwa mama Ndalichako kwani umerudisha heshima Baraza la Mitihani kwani kwa sasa hakuna uvujaji wa Mitihani. Hongera sana.

Ieleweke hongera hizi hazina uhusiano na waziri wa elimu
 
Sijui nami nipongeze? Anyway, nitarudi kama kutakuwa na umuhimu wa kumpongeza.
 
Oi!!na wakati wa2 wanasolve paper huku kitaa,nyie mnapongezana.
 
sawa haivuji tunamshukuru sana lakini kuna tatizo kubwa kwa ndalichako kubwa ambalo kwa ujumla ni ustawi wa wanaosahihisha mitihani hiyo.Kusema ukweli siasa ni nyingi kwenye suala hili kiwango cha pesa walimu wanaosahihisha mitihani ni ndogo sana kiasi kwamba kwa kizazi hiki cha sasa ipo siku atasahiisha na watu kumi.mimi kama mdau wa elimu naomba sana ufisadi upungue halafu kwa uasalam wa taifa ushihishaji muone kwamba ndiyo nguzo ya usalama wa nchi yetu
 
BIG UP dada you deserve kuwa katibu mtendaji,ni moja ya nafasi zilizopata watu makini tanzania,endelea kuwajibu wanasiasa kwa hoja na ushahidi kama ulivyofanya wakati wa matokeo csee 2011.Ifike wakati mambo ya kitaalam waachiwe wataalam, mfano elimu,
 
Muda wa kuwapongeza bado ndo kwanzaa siku moja imepita na madogo wako cool hawaongelei kabisa paper.siajabu wamebana mwanzo na mwisho au kati wataachia.
 
Back
Top Bottom