- Thread starter
- #61
Lakini ndio MwenyekitiHuyo mwenyekiti sijawahi kumuelewa kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini ndio MwenyekitiHuyo mwenyekiti sijawahi kumuelewa kabisa
Hehehe sisi wa kayumba hata hatuchomoi.
PGO inatisha kama ukoma.Wananchi wanaogopa PGO
Kama sijasahau sana enzi za JK, alikuwa anapokelewa na viongozi kadhaa ; PM, VP, mkuu wa mkoa na baadhi ya viongozi anasalimiana nao ,,anaingia kwenye gari lake anasepa kuelekea ikulu. Idea ya ndelemo na vifijo uwe ni ubunifu ambao nao utaikost budget ya nchi, maana mbongo kila penye jambo naye huweka jambo lake.Nderemonderemo na vifijo hapa na pale.
Mkuu umeshasahau. Walikuwa wnaapokea Mfugale akileta ndege wanakusanya wananchi hutoka morogoro na dodoma.Kama sijasahau sana enzi za JK, alikuwa anapokelewa na viongozi kadhaa ; PM, VP, mkuu wa mkoa na baadhi ya viongozi anasalimiana nao ,,anaingia kwenye gari lake anasepa kuelekea ikulu. Idea ya ndelemo na vifijo uwe ni ubunifu ambao nao utaikost budget ya nchi, maana mbongo kila penye jambo naye huweka jambo lake.
JPM hakuwai kuenda ila nadhani naye asingesupport kufanyiwa sherehe ya mapikezi ya kutoka UN.
Bora kupokea Ndege na sio mtu kutoka UNMkuu umeshasahau. Walikuwa wnaapokea Mfugale akileta ndege wanakusanya wananchi hutoka morogoro na dodoma.
UN ni bora zaidi. Anafungua fursa za uchumi😅😅Bora kupokea Ndege na sio mtu kutoka UN
Kuna mechi gani leo
PGO inatisha kama ukoma.
Ndio hapo sasa PGO inazisi kutisha kama ukoma.😁 😁 Wawaulize watu wa Jogging
Nilishatangulia Burundi kuitikia wito wa Dr Mwigulu.Unaishi gani? Tuanzier hapo kukusaidia?
Kwani ccm wana kazi nyingine zaidi ua hizo??Ulikua unataka watu waende kucheza ngoma pale airport sio! Watu wengine bhana sijui akili zenu mmeficha kwenye masaburi?!
Kuna watu mnateseka sana, lakini kwa kujitakia wenyewe. Move on!wanasema mama kahutubia UNGA.
Watanzani tusiwe majuha.Sote ni mashahidi tangu juzi kuna kakikundi ambako sidhani kama ni watanzania kweli au wachumia tumbo tu wanaolipwa kushibisha nafsi zao au la!
Tangu juzi tumeshuhudua kukurukakara za hapa na pale za kutaka kuaminisha watanzania wachache kuwa Rais Samia Suluhu alitoa hotuba ya kihistoria. Ile ni hotuba ya kawaida sana.
Kwanza niwajulishe tu walioona na kusoma hotuba ya Rais ni watanzania wachache tena wanasiasa ambao wana access ya Mitandao ya kijamii. Huko vijijini na mikoani wala hawama habari na kinachoendelea. Wengi ktk mikoa ya kanda ya ziwa na magharibi hiki ni kipindi cha kuandaa mashamba ya kilimo ktk msimu wa mvua ujao.
Hata hivyo kumekuwa na jitihada za kutaka kulikuza jambo hili kwa kile kilichoandaliwa kama mapokezi ya Rais kutoka Marekani.
Mbali na vijitangazo vidogo vidogo sijaona tukio lolote mahali popote likishangiliwa na watanzania. Sijaona Tv wala mtandao wa social media hata ule wa vijigazeti la chama.
Watanzania wamesusa. Wamesusa kwa sababu hawafurahishwi na kinachoendelea nchini
Matukio ya kubambikiza watu kesi za ugaidi yamewachukiza sana watanzania wapenda amani, haki na maendeleo. Watanzania wamekatishwa tamaa na namna nchi inavyoendeshwa kupitia Tozo na kodi lufufu.
Watanzania hawawezi kufurahia tukio la Mtu na kikundi cha watu wachache kwenda marekani huku wakiacha uvunjifu mkubwa wa haki za kikatiba kama uhuru wa vyombo vya habari, haki za kukusanyika na kufanya shughuli za kisiasa na uchumi.
Nimuombe Mama Rais Samia Suluhu hajachelewa. Arekebishe mienendo yake ya utawala. Ajikite kulinda haki za wananchi makundi yote wakulima, wafugaji, wafanyabiashara, watumishi wa umma na wanasiasa.
Akifanya hivyo hatahitaji nguvu kubwa kusherehesha watanzania. Wakiwa na Furaha watampokea mgeni bila kutumwa.
Si Whatsapp, twitter, facebook, youtube wala instagram huoni shamra shamra. Wikendi imepoa sana kama hakuna kitu.
Wafanye tu kama walivyokuwa wanafanya kupokea used planes za ATCLWatanzani tusiwe majuha.
Kazi yake kutowa speech na amefanya vizuri hana haja ya kupokewa wala maandamano.
hawo wanaotaka kufanya hayo ni kujipendekeza.
Nilishatangulia Burundi kuitikia wito wa Dr Mwigulu.