Kudorora kwa Uchumi Tanzania: Tanga Cement wala hasara, waamua kuweka bayana!

Wizara ya viwanda na biashara, Wizara ya nishati na madini wakae pamoja na kujadili namna ya kufanya kuhakikisha viwanda vya ndani vinazalisha kwa low production cost na kusimamia soko la ndani la bidhaa kutoka viwanda husika..

Cement industry inatakiwa ifuatiliwe kwa karibu sana maana bado mamia ya watanzania wanakaa kwenye makazi duni yanayohitaji cement, kushuka bei kwa cement kufanya ujenzi uwe nafuu kwa mtanzania.. Serikali ikae na viwanda vireview system zao za uzarishaji ili kushusha production cost, Serikali ihakikishe kunakuwa na power supply kwenye viwanda vyote muda woote ili kuepusha matumizi ya diesel power ambayo ni more cost, Serikali irahisishe upatikanaji wa gas viwandani ili kupunguza au kuacha matumizi ya Coal na mafuta mazito, Serikai ipige marufuku na kusimamia importation of coal na ihakikishe Tancoal wanafanya uzarishaji wa kutosha wa coal..
 
e90e085a9fa0d1a7efd68426f744d4bd.jpg


Hii ni ishara kuwa Vyuma vimekaza zaidi ya kawaida.

Huenda Zitto ni mwongo lakini taarifa hizi haziumiumi na wala hazihitaji siasa kuzielewa.
Hali ni mbaya jamani huku site .uko juu wamelikoroga sumu na bado maana mkoraga sumu wala hana habari wapambee wanamletea habari nzuri tuu anazopenda kusikia.hizi za kinaZito azina nafasi
 
Haya wachumi tiririkeni maaana ukileta formula yako ya kusinyaa au kuimarika kwa ujazo wa pesa unakuwa mchochezi.
 
Naomba kutofautiana na wewe katika hili
hapa shrink yao imetokana na excess supply
Price has gone down
Which is good kwa sisi watumiaji
Sioni ni kwa nini wewe ulalamike kwa hili
Umesoma lakini sababu za kushuka bei ??
 
Cement consumption ilitegemewa kuwa juu koz taifa liko ktk ujenzi wa viwanda so idadi ya viwanda iliyotajwa na waziri ingeliweka juu soko la cement
 
Maoni yako yanachekesha sana
Hufikirii production costs
Hufikirii kupungua kwa demand
Hufikirii masuala ya excessive taxes
Unafikiria kisehemu kidogo Sana kwamba ni excess in supply?
Yapo mengi sana hapa na justification ya hali ilivyo kwa sasa
Na mbaya zaidi cement inayo ingizwa toka nje ikiuzwa bei rahisi na serikali hiyo hiyo inayo imiza ujenzi wa viwanda .yaani duuhh anaejua tunaelekezwa wapi ni vema akatupa semina haraka
 
Watu hawajengi sasa iv!!!!

Chezea awamu ya 5

Na bado!!!

01: Walikuwa wanaiba ili wajenge
02: Walikuwa wanalipwa per diem ya kusafiri nje ili wajenge
03: Walikuwa wanalipwa per diem ya kusafiri ndani ya nchi ili wajenge
04: Walikuwa wanalipwa seating allowances ili wajenge
05: Walikuwa wanafanyia mikutano hotelini ili wale bure wa-save ili wajenge
06: Walikuwa wanalipwa mishahara ya wafanyakazi hewa ili wajenge
07: Walikuwa wanakwepa kodi kwenye vibiashara vyao ili wajenge
08: Walikuwa wanafanya ufisadi ili wajenge
09: Walikuwa wanakula rushwa ili wajenge
10: Walikuwa wanachukua ten percent ili wajenge

Sasa vyote hivi ndiyo sababu hawajengi. Hawakuzoea kujenga kwa fedha ya halali!
 
e90e085a9fa0d1a7efd68426f744d4bd.jpg


Hii ni ishara kuwa Vyuma vimekaza zaidi ya kawaida.

Huenda Zitto ni mwongo lakini taarifa hizi haziumiumi na wala hazihitaji siasa kuzielewa.
Je nao walikuwa wana piga Dili? Mfumo wa uchumi kwasasa ni mbovu 'No Welfare Economy' ni aina ya uchumi unao mwezesha mwanainchi kuujiongezea kipato
 
01: Walikuwa wanaiba ili wajenge
02: Walikuwa wanalipwa per diem ya kusafiri nje ili wajenge
03: Walikuwa wanalipwa per diem ya kusafiri ndani ya nchi ili wajenge
04: Walikuwa wanalipwa seating allowances ili wajenge
05: Walikuwa wanafanyia mikutano hotelini ili wale bure wa-save ili wajenge
06: Walikuwa wanalipwa mishahara ya wafanyakazi hewa ili wajenge
07: Walikuwa wanakwepa kodi kwenye vibiashara vyao ili wajenge
08: Walikuwa wanafanya ufisadi ili wajenge
09: Walikuwa wanakula rushwa ili wajenge
10: Walikuwa wanachukua ten percent ili wajenge

Sasa vyote hivi ndiyo sababu hawajengi. Hawakuzoea kujenga kwa fedha ya halali!
Nilijua tu post kama hii haitakosekana, time will tell
 
hata kwenye mabo siriaz unaweka utani usio na tija. Masha anafanya kazi Tanga Cement? kwa watu kama wewe (wengi wetu tuko kama wewe) Tanzania ya viwanda itabakia kuwa ndoto!
taarifa za kutokulitakia mema Taifa mtafeli tu.
 
Back
Top Bottom