johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,599
- 141,415
Mzee Paul Kimiti ambaye amewahi kushika nyadhifa mbalimbali nchini ikiwemo ubunge, ukuu wa mkoa na uwaziri kuanzia enzi za mwalimu Nyerere amemmwagia sifa za kutosha Rais Magufuli.
Mzee Kimiti anasema katika kupambana na wahujumu wa uchumi wa taifa letu Dr Magufuli anafanana sana na aliyekuwa Waziri mkuu awamu ya kwanza Edward Sokoine.
Sokoine hakumuogopa yoyote wala kumuonea aibu au kumpendelea yoyote na ndivyo alivyo Rais wetu mpendwa Dr Magufuli, amesisitiza.
Chanzo: Magazetini.
Maendeleo hayana vyama!
Mzee Kimiti anasema katika kupambana na wahujumu wa uchumi wa taifa letu Dr Magufuli anafanana sana na aliyekuwa Waziri mkuu awamu ya kwanza Edward Sokoine.
Sokoine hakumuogopa yoyote wala kumuonea aibu au kumpendelea yoyote na ndivyo alivyo Rais wetu mpendwa Dr Magufuli, amesisitiza.
Chanzo: Magazetini.
Maendeleo hayana vyama!