Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
Dr amefundishwa na nani?Mwalimu wako siyo Dr isipokuwa amekaririshwa tu
Dr amefundishwa na nani?Mwalimu wako siyo Dr isipokuwa amekaririshwa tu
Na vilaza mwenzakeDr amefundishwa na nani?
ThanksKama una muda soma hii makala utajibiwa maswali yako.
Why treating Covid-19 with drugs is harder than you think
Viruses are much more varied, rapidly evolving and hard to access than bacteria – so scientists searching for drug-based treatments have their work cut out.www.bbc.com
Wakati nipo secondary mwalimu wangu wa Biology alinifundisha kuwa virusi vyote havina dawa. Ndio maana hata mafua pia ni virus lakini hayana dawa bali yanapotea kwa muda lakini baadae yanarudi.
Sasa sijui ni nani yupo sahihi hapa dada yangu.
Nadhani neno sahihi kutumia ni ‘tiba’.Umeona sasa?
Sawa mkuu. Ina maana Corona inaweza ikarudi yenyewe kwa kutokea ndani ya mwili wa mwanadamu yeye kama yeye pasipo kupata maambukizi kutoka kwa mtu mwingine?Vivyo hivyo, hata hizi chanjo za corona, kazi yake siyo kutibu corona. Ni kupunguza tu makali yake na kuifanya isikudhuru sana.
Hilo sijui.Sawa mkuu. Ina maana Corona inaweza ikarudi yenyewe kwa kutokea ndani ya mwili wa mwanadamu yeye kama yeye pasipo kupata maambukizi kutoka kwa mtu mwingine?
Hakika, hakuna dawa ya kuangamiza/kuua virus isipokuwa kuna chanjo ambazo ukidungwa zinazipa kinga mwili mbinu/uwezo wa kupambana na kirusi wa ukweli pale atapoingia mwilini...hizo chanjo huwa na virusi wasio na madhara like a decoy virusWakati nipo secondary mwalimu wangu wa Biology alinifundisha kuwa virusi vyote havina dawa. Ndio maana hata mafua pia ni virus lakini hayana dawa bali yanapotea kwa muda lakini baadae yanarudi.
Sasa sijui ni nani yupo sahihi hapa dada yangu.
Lazima uambukizwe toka kwa mtu aliye na virusi au uwe uligusa mahali palipokuwa na virusi...Sawa mkuu. Ina maana Corona inaweza ikarudi yenyewe kwa kutokea ndani ya mwili wa mwanadamu yeye kama yeye pasipo kupata maambukizi kutoka kwa mtu mwingine?
ThanksLazima uambukizwe toka kwa mtu aliye na virusi au uwe uligusa mahali palipokuwa na virusi...
Sent using Jamii Forums mobile app