Kudai katiba mpya ili uiondoe CCM ni kufilisika kisiasa na kiakili

The Phylosopher

JF-Expert Member
Mar 11, 2015
1,503
2,046
Yanayoendelea kenya ni kielelezo tosha kua katiba yoyote hutungwa katika mazingira ambapo mwenye ushawishi mkubwa kwa raia ndiye anaeihodhi. Ndio maana pamoja na kenya kua na katiba mpya iliyoridhiwa na pande zote mbili lkn haijaweza kuubeba wala kuusaidia upinzani!
 
waambie!!

wanataka mabadiliko kwenye keyboard

wanataka mabadiliko huku hawawezi kuandamana!

wanataka mabadiliko wakati hawawezi kulala na njaa na familia zao

wanataka mabadiliko huku wanashiriki chaguzi kila wakati kwa tume ile ile
 
Ccm wanatumia mwanya wa katiba mbovu kuendelea kukaa madarakani, hakika kama katiba ikikaa sawa, watabakia kuisoma namba pekee
 
Raila anataka coalition government because he doesn't have the numbers to form a working government.
Ndio maana akipewa hiki ,yeye anataka kile ilimradi tu wakae mezani na yeye awe kwenye coalition government.

Nafikiri hili ni funzo kwetu pia. Huu mfumo wa ' the winner takes all and the loser gets nothing despite the odds' ni wakuutafakari sasa hasa baada ya Kenya kutupatia food for thoughts
 
Refa, mshika kibendera, kamisaa na mlinzi wanatokana na timu B. Mchezaji wa timu B akicheza rafu wa timu A anapewa Red card. Ushindani wa jinsi hii unategemea nini ??? Ukombozi wa Fikra ni Muhimu sana
 
Back
Top Bottom