Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 27,542
- 34,871
...hivyo vishindo kwenye dharau,matusi, kejeli na vurugu vinatamanika?...Mke hakimbii midomo isiyopigwa mswaki.
Mke anakimbia akikosa vishindo maridadi
...hivyo vishindo kwenye dharau,matusi, kejeli na vurugu vinatamanika?...Mke hakimbii midomo isiyopigwa mswaki.
Mke anakimbia akikosa vishindo maridadi
Gentamycine umekuwa mtu wa udaku kama kigogo2014Kumbe huu Upole wa hizi Wiki Mbili ni za Kuwaza jinsi ulivyooa kwa Mikogo ( japo waliofanikisha Ndoa yako ndiyo hao hao tena Wanakusaidia Kazi ) na sasa Mke Kakukimbia na unahaha Kumrudisha ila mpaka Mightier naandika Uzi huu hujafanikiwa bado.
Na ili uone kuwa Watu tunajua Kufukunyua Taarifa Ngumu na Nyeri za Kijamii ni kwamba kumbe hata ile Siku uliyotudanganya umepata Ajali Usiku Mkeo alikupiga na Kukuumiza kidogo kwakuwa ulirejea Kwako ukiwa Umelewa Chakari kama Kawaida yako na uliogopa kwenda katika Interview yako kwa Majizzo FM kwakuwa Uso ulikuwa Umeshaumuliwa na Kuumuka vizuri tu.
Ulivyokuwa Ukiwatukana Watu na Kuwadhihaki ulijua kuwa Mwenyezi Mungu hatowajibia kwa namna ya Kipekee? Haya sasa kipo wapi? Huyu ni Mke wa Pili anakukimbia hujiulizi na hujishangai tu?
Siri imeshafichuka Kudadadeki na bado!
Juha mkubwa Wewe naona umeumia sana Kukuambia nimezaliwa Masaki na sasa nakuongezea Nyumba niliyozaliwa hapo hapo Chole Road Jirani zangu walikuwa ni Balozi Masilingi, Mzee Mmari ( Profesa ) na Nyumba ya mwisho aliishi Waziri wa Ardhi sasa Mzee Lukuvi.Hata kisarawe kuna Masaki, hasikuumize akili fala huyu.
Ukiona mtu anajifanya kila kitu anajuwa na kila mtu anamjuwa yeye hujuwe hapo kuna tatizo bora hata huyo Haji yeye anajuwana na matajili tu wanaomuwezesha.
Kuna vipicha picha kavitupia mkuu mmoja tayari vimelegeza code.Hakuna namna KUMEKAZA sana.
Tafuta dikshonari ya wambea
Nahisi mpaka sasa atakuwa anajijuwa maana mitaani watu wanamcheka sana.kadharaulika sana kama hajajijua kwamba watu wanamchora basi IQ yake ni ndogo sana
Kweli kabisa, dogo anaishi mjini kimagumashi sana.....alifikiri atawachezea watanzania akili vile atakavyo, kumbe watu walikuwa wanamchora tu.Kibaya zaidi Mmoja wa Wafadhili wake alipo sasa anamkazia pamoja na Yule Mwandamizi Mstaafu ndani ya Chama chake alichowaibia Magari na Kuyauza Kitapeli.
Ee bwana eee, kumbe ndiyo maana alikuwa anapenda kukata mauno mbele ya kadamnasi, sasa naelewa,Umeshajua kwanini huwa anajinyea? Mtafute aliyempa Trip ya kwenda Dubai ( UAE ) alipoachana na Simba SC na Mtu mwingine ndani ya Klabu yake alipo sasa hao wana Majibu ya Kutosha juu ya huko kupenda Kujinyea Kwake hovyo.
Tunaomjua tokea akiwa Ilala Bungoni jirani na Kwao Mchezaji Ibrahim Ajib na pale Buguruni Malapa Maskani ya akina Samora ( Mchezaji wa zamani wa Boom FC na Simba SC ambaye pia ni Mdogo wake Dua Said ) tunayajua yake mengi na tulikuwa tunamchora tu.
Wake zake wanaomkimbia si wanasema wenyeweUliwai kulala nae??
Ngoja kwanza nauliza tu
Mzee wa makontena ya China au marehemu aliyeponea chupu chupu (Ridhiwani Kikwete).Duh makubwa!
who is the next victim wa semaji la Yanga?
Kumbe tunaongea na watoto hapa au unajikweza bila kuwa na ufahamu wowote ule masikini mkunduh kunuka.Juha mkubwa Wewe naona umeumia sana Kukuambia nimezaliwa Masaki na sasa nakuongezea Nyumba niliyozaliwa hapo hapo Chole Road Jirani zangu walikuwa ni Balozi Masilingi, Mzee Mmari ( Profesa ) na Nyumba ya mwisho aliishi Waziri wa Ardhi sasa Mzee Lukuvi.
Na Kuzaliwa pia nimezaliwa Agha Khan Hospital iliyo Jirani na Ikulu yako na baraka ya Kwanza niliipata kutoka Kwake Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere na Mkewe Mama Maria kwa Kunibeba na hata Jina langu halisi alilolitoa ni Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.
Lofa na Juha kama Wewe haunisumbui.
Watu bana.Kuna vipicha picha kavitupia mkuu mmoja tayari vimelegeza code.
Halafu na vimaneno maneno kama "Jangwani", "Yanga", N.k tayari vimefungua njia.
Ulitaka aweke matangazo mitaani kuwa kakimbiwa na mkewe? Ukikimbiwa na mke unapata mwingine, wanawake wapo wengi.Hopeless Wewe..... Mwanaume kukimbiwa na Wake mara Mbili ni Sifa? Sasa kama si Aibu mbona anahaha Kuficha hili Jambo na hatimaye Mfukunyuaji Mightier nimelipata kama lilivyo?
Mwambieni aendelee tu Kubwabwaja!!
Kuna watu wa kuwacheka wakikimbiwa na mke lkn sio Bugatti,navyomuona yule jamaa hata afiwe na Baba au mama wiki tu anakuwa mtu yule yule wa kila siku sembuse mke?Kumbe huu Upole wa hizi Wiki Mbili ni za Kuwaza jinsi ulivyooa kwa Mikogo ( japo waliofanikisha Ndoa yako ndiyo hao hao tena Wanakusaidia Kazi ) na sasa Mke Kakukimbia na unahaha Kumrudisha ila mpaka Mightier naandika Uzi huu hujafanikiwa bado.
Na ili uone kuwa Watu tunajua Kufukunyua Taarifa Ngumu na Nyeri za Kijamii ni kwamba kumbe hata ile Siku uliyotudanganya umepata Ajali Usiku Mkeo alikupiga na Kukuumiza kidogo kwakuwa ulirejea Kwako ukiwa Umelewa Chakari kama Kawaida yako na uliogopa kwenda katika Interview yako kwa Majizzo FM kwakuwa Uso ulikuwa Umeshaumuliwa na Kuumuka vizuri tu.
Ulivyokuwa Ukiwatukana Watu na Kuwadhihaki ulijua kuwa Mwenyezi Mungu hatowajibia kwa namna ya Kipekee? Haya sasa kipo wapi? Huyu ni Mke wa Pili anakukimbia hujiulizi na hujishangai tu?
Siri imeshafichuka Kudadadeki na bado!
Ameachika tena😁😁😁Jamaa ameshakimbiwa tena na Mkewe.
Ndiyo, Mkuu!Watu bana.
Umbea unawaweka mjini
Haya kaolewe wewe sasaKumbe huu Upole wa hizi Wiki Mbili ni za Kuwaza jinsi ulivyooa kwa Mikogo ( japo waliofanikisha Ndoa yako ndiyo hao hao tena Wanakusaidia Kazi ) na sasa Mke Kakukimbia na unahaha Kumrudisha ila mpaka Mightier naandika Uzi huu hujafanikiwa bado.
Na ili uone kuwa Watu tunajua Kufukunyua Taarifa Ngumu na Nyeri za Kijamii ni kwamba kumbe hata ile Siku uliyotudanganya umepata Ajali Usiku Mkeo alikupiga na Kukuumiza kidogo kwakuwa ulirejea Kwako ukiwa Umelewa Chakari kama Kawaida yako na uliogopa kwenda katika Interview yako kwa Majizzo FM kwakuwa Uso ulikuwa Umeshaumuliwa na Kuumuka vizuri tu.
Ulivyokuwa Ukiwatukana Watu na Kuwadhihaki ulijua kuwa Mwenyezi Mungu hatowajibia kwa namna ya Kipekee? Haya sasa kipo wapi? Huyu ni Mke wa Pili anakukimbia hujiulizi na hujishangai tu?
Siri imeshafichuka Kudadadeki na bado!