Ndugu wadau au yeyote mwenye uelewa:
Naomba kujua, hivi inawezekana kuchukuliwa pesa toka kwenye account yangu na mtu mwingine(rafiki/ndugu) bila kutumia ATM (yaani kwa cashier)? Ni vitu gani vinatakiwa kufanya kama nataka kumtuma mtu akanichukulie pesa yangu maana nimeshindwa kwenda bank mwenyewe na ATM card yangu naambiwa imeisha muda wa kutumika kwake. Asanteni.
Naomba kujua, hivi inawezekana kuchukuliwa pesa toka kwenye account yangu na mtu mwingine(rafiki/ndugu) bila kutumia ATM (yaani kwa cashier)? Ni vitu gani vinatakiwa kufanya kama nataka kumtuma mtu akanichukulie pesa yangu maana nimeshindwa kwenda bank mwenyewe na ATM card yangu naambiwa imeisha muda wa kutumika kwake. Asanteni.