Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,039
Baadhi ya madomo zege wamekuwa wakipata namba za warembo kwa kupitia njia mbali mbali za panya! Ila ni fedhea ya hali ya juu mwanamke kuanza kukuuliza wewe ni nani wa wapi namba amekupa nani una shida gani! Nyoosha maelezo nitakublock!
Ukishindwa kuomba namba kwa muhusika moja kwa moja ni utopolo wa hali ya juu sana na utazalilika vya kutosha!
Ukishindwa kuomba namba kwa muhusika moja kwa moja ni utopolo wa hali ya juu sana na utazalilika vya kutosha!