Kuchukua mafao NSSF mpaka miaka 55?

steve111

Member
May 29, 2015
91
58
Poleni na majukumu wakuu.

Nilikuwa nafanya kazi sehem X sasa nimeamua kuacha na kuendelea na maisha mengine, sasa nimeenda NSSF kuchukua michango yangu naambiwa mpaka nifikishe Miaka 55? Hii hatari sana.

Wanajamvi hii imekaaje?
 
Poleni na majukumu wakuu.

Nilikuwa nafanya kazi sehem X sasa nimeamua kuacha na kuendelea na maisha mengine, sasa nimeenda NSSF kuchukua michango yangu naambiwa mpaka nifikishe Miaka 55? Hii hatari sana.

Wanajamvi hii imekaaje?
Upo mkoa gani?
Ulipo kuwa umeajiriwa ni unafanyia kazi ni private?
Una muda gani tangu utoke kazini?
Je, ulifukuzwa ama uliacha mwenyewe?

Mkuu, ebu fanya ujibu hayo ili tukupe connection ukavute mtonyo wako
 
Upo mkoa gani?
Ulipo kuwa umeajiriwa ni unafanyia kazi ni private?
Una muda gani tangu utoke kazini?
Je, ulifukuzwa ama uliacha mwenyewe?

Mkuu, ebu fanya ujibu hayo ili tukupe connection ukavute mtonyo wako
Dar es salaam
Private
Miaka 2
Niliacha mwenyewe
 
Back
Top Bottom