Kama tumekutana kwa ajili ya kupass time, then umbo langu lakuhusu nini? Pata kinachokuhusu mchezo kwisha, hutaki tambaa.....mambo yakuanza kuangalia sijui kucha, macho, hips...kwa mkeooo!!
Nipple wapo ambao hua wanaweka.mwishowe watakuwa wanaweka mpaka vitovu vya bandia, lipsi za bandia, nipples za bandia et al
teh teh teh. Kipipi inapokua unatengeneza cv na unataka uwe mke je?
... Dawa ya dada wa kichinachina ni kaka wa kichinachina!
Mathematically: Fake x Fake = Original
Nipple wapo ambao hua wanaweka.
Na ye inakuwaje for all those days amekuwa my boyfriend sijui mchumba mpaka imefikia hatua ya kwenda kusex.....asijue hata paja langu ndo aje alione siku hiyo ya ufeki???
Hehehehe nadhani hua wanavaa kwaajili ya mwonekano nje tu. Wakifika ndani wanatoa.Dah, ukinyonya cjui hata zin taste vipi! Wanadamu tuna mambo
Hehehehe nadhani hua wanavaa kwaajili ya mwonekano nje tu. Wakifika ndani wanatoa.
Hehehehe nadhani hua wanavaa kwaajili ya mwonekano nje tu. Wakifika ndani wanatoa.
Mambo mengine ya ajabu kweli, unakuta m2 ana hips, nice breasts, hairs, ukienda chumbani kachange! Si ndo wanaitwa majini hao, unapiga ngumi tuu!
sasa pata picha kwamba ndiyo umekuwa impressed na huo muonekano wa nje halafu mkiingia ndani anaanza kuchojoa bandiko moja baada ya lingine.... lazima utoke nduki kwa kudhani umetokewa na popobawa....
Nipple wapo ambao hua wanaweka.
sasa pata picha kwamba ndiyo umekuwa impressed na huo muonekano wa nje halafu mkiingia ndani anaanza kuchojoa bandiko moja baada ya lingine.... lazima utoke nduki kwa kudhani umetokewa na popobawa....
Hahaha kweli inatisha ndio maana nikamwambia bibie awe na kiasi ili asitofautiane na sana na yeye alivyo kiukweli. Maana ule ni uongo sawa na uongo mwingine.. mtu anajibadili mpaka anakua sio yeye tena, unampenda/tamani kama alivyo alafu unakuja kugundua kuwa yote ni fake!Not fair!!!
LOL! inabidi umtolee nje tu...Mama/Dada mie muonekano niliovutiwa nao kwako kumbe ulikuwa artificial hivyo naona siwezi kuendelea tena na mahusiano haya ya kimapenzi.
Baba Ashrat ndo nini hivyo kuaibishana hadharani?! Ina maana siku zote hujagundua kwamba zipo kama mwenyenzi Mungu alivyotaka ziwe?!Mmm...Mama Ashrat, isije na wewe ukawa unanibandikia za kichina
Sema sasa na nyie mnavyodata na mchina mnawakosesha imani ya kuwa wao wakibaki naturale mtawapenda vile vile. Muwe mnawaambia basi!!kweli kabisa...; ni tamu sana kumpenda mwanamke ambaye yuko natural... unapooga naye, unapoamka naye asubuhi, una-appreciate God's creation
kweli kabisa...; ni tamu sana kumpenda mwanamke ambaye yuko natural... unapooga naye, unapoamka naye asubuhi, una-appreciate God's creation
ndio hapo sasa...unakutana na mwanamke ana make up wig mnaenda nae kulala asubuhi anaamka mwanaume unataka kukimbia...akienda kuoga inakua soo....bt ndio dunia ya leo wanawake ni plastic....they aint real inabidi tuzoee hiyo hali