Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,893
Kuchiti kwenye mahusiano ni hulka ya mtu mwenyewe au anamkomoa aliye naye au nikutafuta sifa kuwa anayaweza au basi ni tabia ya mtu mwenyewe?
Sometimes kwetu sisi wanaume tunakwazwa na wanawake. Akishaolewa basi hana shida tena. Yote alokuwa anakufanyia faragha yanawekwa pending