Kuchimba Dawa Safarini!!!

Katavi

Platinum Member
Aug 31, 2009
41,983
12,700
Hivi kwa nini havijengwi vituo maalumu vyenye hadhi kwa ajili ya "kuchimba dawa" tunapokuwa safarini? Hawa wenye magari wameanzisha vituo rasmi kwa ajili ya kazi hiyo lakini vina upungufu kwa sababu ni porini na watu hawajisitiri vizuri, taabu inakuwa zaidi kwa akina dada na akina mama. Njia nyingine ndio kabisa mapori yenyewe wanaposimama kuna tishio la wanyama wakali kama simba na wengine. Bora njia nyingine angalau kuna ustaarabu wanasimama mahali kuliko na hoteli............
Hili kwa kweli wahusika inabidi walitazame........:angry::angry:
 
yaaaaaahaaaaaaaaaaaaaaa ni kweli hilo neno maaana kuna siku nilikua naenda moro na abood likasimama sehemu ambayo hakuna kichaka kabisa halafu watu wachimbe dawa ilikua shida sana kwa akina dada na mama.
 
Uchafuzi mkubwa wa mazingira for a proof notice maeneo haya mawili kama mfano, ukitoka morogoro kama waenda nyanda za juu kusini baada ya kutoka njia panda ya Mzumbe, kuna sehemu pale mpaka nyasi zimekauka iwe majira ya mvua au kiangazi. Pananuka si mchezo. Pia eneo moja kabla ya kuingia makambako, ukitoka mbeya, mnapoiacha makambazo kwa ku-drive after not more than ten minutes, hata kama mabasi kumi yamefuatana, lazima yote yatasimama eneo lile ili watu wachime dawa (wachafue mazingira) - funny thing is, they are also business centers, utakuta jamaa wanauza mahindi ya kuchoma, ndizi, sambusa etc
 
Uchafuzi mkubwa wa mazingira for a proof notice maeneo haya mawili kama mfano, ukitoka morogoro kama waenda nyanda za juu kusini baada ya kutoka njia panda ya Mzumbe, kuna sehemu pale mpaka nyasi zimekauka iwe majira ya mvua au kiangazi. Pananuka si mchezo. Pia eneo moja kabla ya kuingia makambako, ukitoka mbeya, mnapoiacha makambazo kwa ku-drive after not more than ten minutes, hata kama mabasi kumi yamefuatana, lazima yote yatasimama eneo lile ili watu wachime dawa (wachafue mazingira) - funny thing is, they are also business centers, utakuta jamaa wanauza mahindi ya kuchoma, ndizi, sambusa etc

Kumbe kuna uchafuzi wa mazingira pia!...................kwa kweli hili ni tatizo kubwa linatakiwa litafutiwe ufumbuzi wa kudumu.
 
Sasa funga kazi hayo maeneo ya kuchimba dawa unakuta kuna watu wanauza nyama choma na vitafunio vinginevyo! Na abiria wanajinunulia kama kawa!!!
 
Inatisha lakini tutafanyaje. Inabidi wenye mabasi walazimishwe kujenga sehemu za watu kupumzikia wakiwa safarini. Inawezekana
 
Uchafuzi mkubwa wa mazingira for a proof notice maeneo haya mawili kama mfano, ukitoka morogoro kama waenda nyanda za juu kusini baada ya kutoka njia panda ya Mzumbe, kuna sehemu pale mpaka nyasi zimekauka iwe majira ya mvua au kiangazi. Pananuka si mchezo. Pia eneo moja kabla ya kuingia makambako, ukitoka mbeya, mnapoiacha makambazo kwa ku-drive after not more than ten minutes, hata kama mabasi kumi yamefuatana, lazima yote yatasimama eneo lile ili watu wachime dawa (wachafue mazingira) - funny thing is, they are also business centers, utakuta jamaa wanauza mahindi ya kuchoma, ndizi, sambusa etc

Hii ni hali ya kushangaza sana, mabasi yote hulazimishwa kuingia stendi hata kama hakuna abiria anayeshuka na kupanda, mbaya zaidi standi kama ya Makambako haina vyoo vya kutosha kuhudumia mamia ya wasafiri wanaolazimishwa kuingia ndani ya standi hiyo. Jambo la kushangaza basi likiondoka standi kuelekea Iringa baada ya dakika 10 basi husimamishwa porini na abiria kutakiwa kwenda kuchimba dawa, eneo hilohilo biashara za vyakula mbalimbali huuzwa eneo hilohilo bila ya kujali afya za abiria.
 
Ni advanture ,na kuna siku jamaa walimtukana dereva kwa kusimamish basi kwenye uwanja
 
Pale eneo la makambako kuna choo cha kulipia lakini bado utakuta dereva anasimama eneo lisilo na choo na kuruhusu watu kuchimba dawa.

Wanahitaji kupigwa fine woooooote wanochimba dawa porini. Na dereva apigwe fine kwa kila abiria aliyeshuka kuchimba dawa.
 
Pale eneo la makambako kuna choo cha kulipia lakini bado utakuta dereva anasimama eneo lisilo na choo na kuruhusu watu kuchimba dawa.

Wanahitaji kupigwa fine woooooote wanochimba dawa porini. Na dereva apigwe fine kwa kila abiria aliyeshuka kuchimba dawa.

sasa yakikushika ya kukushika utashika wapi?
 
Hivi kwa nini havijengwi vituo maalumu vyenye hadhi kwa ajili ya "kuchimba dawa" tunapokuwa safarini? Hawa wenye magari wameanzisha vituo rasmi kwa ajili ya kazi hiyo lakini vina upungufu kwa sababu ni porini na watu hawajisitiri vizuri, taabu inakuwa zaidi kwa akina dada na akina mama. Njia nyingine ndio kabisa mapori yenyewe wanaposimama kuna tishio la wanyama wakali kama simba na wengine. Bora njia nyingine angalau kuna ustaarabu wanasimama mahali kuliko na hoteli............
Hili kwa kweli wahusika inabidi walitazame........:angry::angry:


mkuu hilo dili la konda na dreva wanakula chabo!!!!
 
njia ya kuja Yaeda kidogo tuna bahati, kuna vyoo sehemu mbalimbali tena maji na toilet paper vinapatikana....kwa wale waliowahi kutembelea huku wanaweza kuthibitisha hilo, kati ya makuyuni na mto wa mbu kuna vyoo, mto wa mbu na kibaoni manyara kuna vyoo.........na kuendelea.......raaaaaaaahaaaa mustarehe....tena ukitoka ****** unasogea pembeni kidogo unapiga picha mandhari ya eneo na kupata upepo mwanana.....swaaaaafi
 
njia ya kuja Yaeda kidogo tuna bahati, kuna vyoo sehemu mbalimbali tena maji na toilet paper vinapatikana....kwa wale waliowahi kutembelea huku wanaweza kuthibitisha hilo, kati ya makuyuni na mto wa mbu kuna vyoo, mto wa mbu na kibaoni manyara kuna vyoo.........na kuendelea.......raaaaaaaahaaaa mustarehe....tena ukitoka ****** unasogea pembeni kidogo unapiga picha mandhari ya eneo na kupata upepo mwanana.....swaaaaafi
Inabidi tushauri iundwe timu ya wataalamu waje wajifunze huko ili sehemu zote za nchi hii ziwe na vyoo vyenye hadhi kama huko.
 
Wiki mbili zilizopita ITV walionyesha katika kipindi chao cha Ripoti Maalumu namna abiria wa Mbeya-Dar wanavyochimba dawa njiani........dah ilikuwa ni aibu!!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom