Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,956
- 12,592
Hivi kwa nini havijengwi vituo maalumu vyenye hadhi kwa ajili ya "kuchimba dawa" tunapokuwa safarini? Hawa wenye magari wameanzisha vituo rasmi kwa ajili ya kazi hiyo lakini vina upungufu kwa sababu ni porini na watu hawajisitiri vizuri, taabu inakuwa zaidi kwa akina dada na akina mama. Njia nyingine ndio kabisa mapori yenyewe wanaposimama kuna tishio la wanyama wakali kama simba na wengine. Bora njia nyingine angalau kuna ustaarabu wanasimama mahali kuliko na hoteli............
Hili kwa kweli wahusika inabidi walitazame........:angry::angry:
Hili kwa kweli wahusika inabidi walitazame........:angry::angry: