Ali Muhammad
Member
- Feb 22, 2021
- 5
- 3
Hivi ni kwanini NECTA hawajatoa ratiba ya mtihani wa kidato cha sita hadi leo. Tunaelekea mwezi wa tatu Tena na hakuna taarifa yoyote juu ya mtihani.
Na kawaida necta hutua ratiba toka mwezi wa kumi na mbili au mwezi wa kwanza.
Na kawaida necta hutua ratiba toka mwezi wa kumi na mbili au mwezi wa kwanza.