Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,182
- 307
Mimi naona huyu Mkwere aliomba dhamani bila kujiandaa, hakupanga nani atakuwa waziri Mkuu, nani atashika wizara fulani, n.k.
Nilidhani amejifunza kwa miaka mitano akiwa madarakani na nilitegemea safari hii, kila kitu kingekuwa kiko straight forward lakini mambo yanavyoonekana yatakuwa ni yaleyale, sitashangaa kama akija na baraza linalozidi 40 kama ambavyo Mwananchi na magazeti mengine yametabiri, tutegemee kuanzia 45 na kuendelea
Nilidhani amejifunza kwa miaka mitano akiwa madarakani na nilitegemea safari hii, kila kitu kingekuwa kiko straight forward lakini mambo yanavyoonekana yatakuwa ni yaleyale, sitashangaa kama akija na baraza linalozidi 40 kama ambavyo Mwananchi na magazeti mengine yametabiri, tutegemee kuanzia 45 na kuendelea