Mzee Kibiongo
JF-Expert Member
- Jun 18, 2008
- 241
- 4
Kuna jipya wala tusijidanganye, jamaa atateua mafisadi mpaka mbaki midomo wazi. wale ambao hukutamani waingie watakuwemo.sasa hilo si ndo litakuwa jipya? Kumbuka hii ndo lala salama ya jamaa wa mitandao....fadhila lazima ziendelee.......CCM hawana haya wewe!
Tatizo lenu ni kudhani nanyi mtateuliwa, sasa kimya kingi kinawanyima usingizi. Tulieni, kwani mna ubia na urais ???? Nawauliza, kazi ya urais ina ubia na mtu???? Fanyeni kazi zenu mwacheni na yeye afanye kazi yake. Tatizo siku hizi kila mtu mwanasiasa.