Wakuu hivi ndani ya katiba yetu kuna time limitation kuhusu kutangaza baraza la mawaziri? Say Raisi anaaamua kukaa miezi mitatu bila kulitangaza kuna namna yeyote anaweza kuwa anakiuka sheria.
Je leo hii November 23, 2010. Mawaziri wa zamani bado ni mawaziri? Mfano Masha ni waziri wa mambo ya ndani bado?
Wakuu hivi ndani ya katiba yetu kuna time limitation kuhusu kutangaza baraza la mawaziri? Say Raisi anaaamua kukaa miezi mitatu bila kulitangaza kuna namna yeyote anaweza kuwa anakiuka sheria.
Je leo hii November 23, 2010. Mawaziri wa zamani bado ni mawaziri? Mfano Masha ni waziri wa mambo ya ndani bado?
Kimsingi mimi Rais wangu ni Dr. W.P. Slaa, mtu ambaye ni mzalendo mwenye kujali wanyonge, mpenda haki, na anipenda hii nchi na watu wake kwa dhati.
Tumuunge mkono na wabunge wake 48 aliowapata, maana huyu JK hana mpango na mtanzania wa kawaida kwake issue ya msingi ni kutetea ufisadi.
Urais wa Kikwete ni jina - there are people who driving him remotely. Naamini those guys hawajaamua atangaze. Hivyo omba waamue mapema ili JK atangaze mapema.
Nchi hii haina Rais, ila ina mtu anayeona fahari kuitwa Rais.
umenena Stein, tupo pamoja.
Kweli mwenye macho haambiwi Tazama, soma katiba vizuri !
Siwezi kusoma Katiba iliyosainiwa na Andrew Chenge.