TAJIRI MKUU WA MATAJIRI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 5,708
- 10,201
Mwambie nazjaz akupeleke kwa kaka yake
mimi sijawahi kucheat kwa kweli.
Na sitegemei kucheat.
mimi sijawahi kucheat kwa kweli.
Na sitegemei kucheat.
oooops!!
kumbe ni galz with galz,angeanzisha boy hii thread kungewaka moto humu jf!!!
Mimi sijawahi kucheat kwa kweli.
Na sitegemei kucheat.
Mimi sijawahi ila ndio nimeshaolewa tena..
Mie sijawahi hata siku moja
utahakikisha vipi sasa?mimi sijawahi cheat........najua wapo na wengine wengi tu hapa JF......:laugh::laugh:
Inategemea definition ya kucheat ni nini..., A akiwa na B wakaachana akakutana na C..., je bado atakuwa anamcheat B.., jibu ni hapana sababu alishamuacha yule wa mwanzo... labda kama unasema kaka yako anatafuta virgin,Ni mwanamke gani mwaminifu na hajawahi kucheat hata mara moja maishani mwake?
Namtafuta huyo ili nimuoze kwa kaka yangu, maana anajidanganya kuwa eti ataoa mwanamke ambaye hajawahi kuchepuka hata mara moja.
Ni mwanamke gani mwaminifu na hajawahi kucheat hata mara moja maishani mwake?
Namtafuta huyo ili nimuoze kwa kaka yangu, maana anajidanganya kuwa eti ataoa mwanamke ambaye hajawahi kuchepuka hata mara moja.
Ni mwanamke gani mwaminifu na hajawahi kucheat hata mara moja maishani mwake?
Namtafuta huyo ili nimuoze kwa kaka yangu, maana anajidanganya kuwa eti ataoa mwanamke ambaye hajawahi kuchepuka hata mara moja.
La la la la la
Watu wanavyoogopa kusema aliwahi ku-cheat, utafikiri wameambiwa wataonganishwa ktk kesi ya dowans :laugh:
Zingatia lugha ya wakati babu, anataka ambaye hajawahi kucheat. Sio hatacheat.Mwanamke ambaye haja cheat au hatacheat?........stupid question!
Ni mwanamke gani mwaminifu na hajawahi kucheat hata mara moja maishani mwake?
Namtafuta huyo ili nimuoze kwa kaka yangu, maana anajidanganya kuwa eti ataoa mwanamke ambaye hajawahi kuchepuka hata mara moja.