Kwahiyo unachotaka kusema ni kwamba hamna?Unapenda kweli kuweka watu wote kwenye kundi moja!Tunatofautiana wewe!Michelle hapo kashajitaja ila hayuko availabo..mimi nami sema sihitaji!
Wadada bwana . . . .:roll:
Tumefanya nini tena?
na mm naenda kucheat mchana huu....hahahahahaha
Mnaongeza burudani hapa JF :laugh:
utahakikisha vipi sasa?mimi sijawahi cheat........najua wapo na wengine wengi tu hapa JF......:laugh::laugh: